Shetani (kwa Kiebrania שָׂטָן Satan, kwa Kigiriki Σατανᾶς Satanâs, kwa Kilatini Sátanas) ni jina linalomaanisha "Mpinzani"; "Mshtaki".
Shetani anajulikana pia kama Ibilisi (kutoka Kigiriki Diabolos, -ou, "Anayetenganisha"), Mtawala wa giza, Mkuu wa ulimwengu huu, Belzebub (jina la dhihaka kwa mungu Baal linalotafsiriwa "Bwana wa nzi"), Belial, Lusiferi (kutoka Kilatini Lucifer, "Mleta mwanga").
Kadiri ya imani ya dini mbalimbali, hasa zile zinazokubali ufunuo waliopewa Waisraeli, shetani ni malaika, roho, au mungu mdogo anayewakilisha uovu unaopingana na Mungu. Baadhi ya watu, kwa mfano Wakristadelfiani, hufundisha kwamba Shetani si nafsi hai, bali mfano tu wa uovu na dhambi.
Tukisema tunaambiwa tunayo-andika ni conspiracy theories.Kama watu wanaweza bila aibu na woga kwenda mahakamami kutetea eti "haki yao ya kutoa watoto wachanga kafara," kuna jambo ambalo hawawezi kufanya kweli?Mimi naamini hakuna.Kiranga Yoda na wengine mnao-tetea kazi za Shetani, njoni msome...
Wana JF kwema!
Kiufupi siku hizi wàpenzi wengi hukutana kupitia njia za shetani kuliko njia za muumba (sahihi).
Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda chura tuu basi mahusiano button ON.
Hizi ni tamaa sio mapenzi. Kama unawaza kuwa na mpenzi kwa...
GTs,
Hakika Mungu alituepusha na Korona 19 kipindi kile mataifa mengine yanazika wafu wao kwa mamia kama si kwa maelfu.
Hakika Mungu aliiponya Tanzania baada ya Kiongozi wetu wa nchi kujinyenyekeza mbele za Mungu.
Hakika shetani hukiri matendo makuu ya Mungu.
Kila anayebeza pale ambapo...
Ukisoma kitabu cha Daniel. Kuna kipindi Daniel wakati yupo huko Uajemi aliamua kufunga kwa wiki tatu. Hakuoga, hakunywa pombe(divai), hakula nyama wala msosi wowote mzuri. Sasa kumbe malaika aliyekuwa ametumwa kuleta majibu wakati analeta akakutana na mkuu wa ufalme wa Uajemi, wakaanza kupigana...
Mijitu mingine sijui ikoje....hovyo sana. Mtu anakuomba ushauri halafu kumbe tayari ana maamuzi yake kichwani. Unataabika kufikiri unampa ushauri anaanza kuongea shit tena.
Mijitu kama hii ngekuwa na uwezo ngekuwa naiponda tu na nyundo ya kupondea kokoto kichwani.
Mjomba wangu ana kansa...
Tujipe muda wakupitia clips za zamani wakati wa kampeni, baada ya kampeni, akiwa anakula kiapo Bungeni na katika uwasilishaji wake wa mada maeneo mbalimbali utabaini yupo vizuri na wala ababaiki.
Siamini nguvu za giza ila naamini shetani anaweza akajitutumua na kujipa utukufu pasipo stahili...
Tarehe 19 mwezi wa 6 mwaka 1982, katika makazi ya mwanamama ajulikanaye kama Francesca Roja katikamji mdogo wa Necochea, Argentina, kulitokea mauaji ya kutisha. Watoto wawili wa Rojas waliuawa kwa kuchomwa na kisu.
Yalikuwa ni mauaji ya kutisha sana. Rojas alidai kwamba, mwanaume mmoja...
Shetani au ibilisi kama kweli yupo duniani na sio dhana tu ya wajanja wa dunia ili wapige hela basi atakuwa amebeba faida kuntu kuliko hasara zake.
Moja ya faida kuntu za kuwepo shetani duniani ni kama ifuatavyo:-
(i) KUSHUSHWA NA KUANDIKWA VITABU VITAKATIFU
Mungu aliamua kushusha Quran na...
Kwa upande wa udiwani matokeo yaliyokwishatoka yanaonyesha CCM ikiwa mbele kwa kuzoa kata nyingi.
Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame.
CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa...
Huu ndio ukweli mchungu kwa hawa watu hawa ambao wameamua kutumia mabavu kunyanyasa wengine, tena wakitimiza wajibu waliopewa kwa doublestand ya hali ya juu.
Mnawalazimisha watu kutafuta haki zao nje ya mifumo iliyopo kwasababu mifumo hiyo haitendi haki, alafu cha ajabu, nyie ndio mnakuwa wa...
Naposema mlinganyo wa shetani namaanisha hivi, una-graduate chuo na gpa nzuri tu, una-apply kazi sehemu tofauti zaidi ya Mara 104 hivi, na zote unakosa..
Unajaribu biashara kadhaa, lakini biashara zote zinafeli, na kabla ya kufeli, zikiwa zinaendelea, zinakupa hela ya kula tu, hela ambayo...
Leo Jumapili, siku ya Wakristo ama madhehebu mengi ya Kikiristo kuabudu ama kusali.
Hivyo basi naomba tutafakari jambo moja la imani, je kati ya shetani na binadamu ni nani hasa mwenye dhambi nyingi zaidi?
Maandiko yanasema Mungu ni mtakatifu sana asiye na mawaa, ambae dhambi ama uovu haukai...
Scopolamine ni dawa inayotumika hospital kwenye ishu za upasuaji nk. Lakini hii dawa ikifanyiwa kalabo hutengeneza kitu kibaya kabisa
Ninini hicho?
Ni burundanga kwa jina la kihalifu.... Huu hutumika kuondoa utashi wa mtu hasa kwenye kufikiri na kuchukua maamuzi sahihi. Humfanya mtu atekeleze...
“Watu hatutofautiani sana katika uelewa wetu kuhusu vitu gani vinaitwa matendo mabaya; bali, tunatofautiana sana katika utayari na ujasiri wetu wa kuhimiza na kutekeleza matendo mabaya.” –- G.K.Chesterton (1874-1936)
"Ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote...
Kwanini hamchukulii hatua shetani ?
Shetani ana nguvu kumliko?
Anafurahishwa na matendo ya shetani?
Wana lengo moja?
Hana njia yoyote ya kumzuia mpaka binadamu tumsaidie?
Kama Gwajima, Mwamposa kweli wanatoa mapepo/mashetani ndani ya watu yeye anashindwa nini kumtoa duniani kabisa?
Mbona...
Natazama 360 Clouds naona Hassan Ngoma anambana Spika maswali mpaka anajichanganya kuhusu suala la Mbowe.
Kuhusu sheria ya habari analalamika lalamika tu kuwa wapinzani wanapendelewa na mitandao ya kijamii na waandishi wa habari.
=====
Katika Mahojiano ya Spika Job Ndungai na Clouds Media...
Moyo wangu umejawa na simanzi, macho yamefunga kwa huzuni, uso umesawajika kwa haya ninayoyasoma yaliyotendwa na binadamu kwa binadamu wenzao.
Romeo Dallaire ameelezea mambo kwa mtazamo wake. Mengi ya mambo aliyoyaandika nmeyasoma pia toka kwa waandishi wengine na wana JamiiForums pia humu...
Awali ya yote, mtakaokwazika mtanisamehe tu. Kwa sababu kichwa kikuu cha mada hii imebebwa na maneno magumu na makali kidogo.
Imebidi iwe hivi kwa sababu nimetafuta maneno mbadala ili ujumbe ama maudhui ya ujumbe ninaotaka kila mtu apate, nikakosa.
Pokeeni na twendeni hivyo hivyo kwa sababu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.