shetani

Shetani (kwa Kiebrania שָׂטָן Satan, kwa Kigiriki Σατανᾶς Satanâs, kwa Kilatini Sátanas) ni jina linalomaanisha "Mpinzani"; "Mshtaki".

Shetani anajulikana pia kama Ibilisi (kutoka Kigiriki Diabolos, -ou, "Anayetenganisha"), Mtawala wa giza, Mkuu wa ulimwengu huu, Belzebub (jina la dhihaka kwa mungu Baal linalotafsiriwa "Bwana wa nzi"), Belial, Lusiferi (kutoka Kilatini Lucifer, "Mleta mwanga").

Kadiri ya imani ya dini mbalimbali, hasa zile zinazokubali ufunuo waliopewa Waisraeli, shetani ni malaika, roho, au mungu mdogo anayewakilisha uovu unaopingana na Mungu. Baadhi ya watu, kwa mfano Wakristadelfiani, hufundisha kwamba Shetani si nafsi hai, bali mfano tu wa uovu na dhambi.
  1. J

    RC Chalamila: Mbowe aliona shetani, majeneza na vifo lakini Rais Magufuli alimuona Mungu na kuishinda Corona

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema katika kuikabili Corona mh Mbowe wa Chadema aliona shetani, majeneza na vifo ndio maana aliogopa na kukimbilia chumbani kujificha yeye na kundi lake. Lakini Rais Magufuli alimwona Mungu akazipeleka haja zetu mbele zake, Mungu akatupigania nasi...
  2. Mr Q

    Shetani yuko wapi? Nani alimshawishi Aasi huko kunakoitwa Mbinguni?

    Maswali yanaendelea.... Mungu ndiye chanzo cha yote[kwa wale wanaoamini] je ndio chanzo cha mbegu ya uasi wa shetani? Kwanini laana ya Mungu iendelee kutafuna vizazi hata vizazi kwa kosa lililofanywa na watuwawili waliombwa na Mungu mwenyewe? Kuna mahali kokote kwenye biblia pameonesha...
  3. Mzukulu

    Dada zetu muwe mnaangalia wa kuwapa Mioyo yenu wanaume wengine ni Mawakala wa Shetani

    MUME AMWEKEA PILIPILI NA KUZIBA NA GUNDI NYETI ZA MKEWE POLISI katika Kaunti ya Taraka Nithi nchini kenya, wanamshikilia mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la James Muriuki, kwa tuhuma za kumuwekea Mke wake Pilipili kwenye sehemu zake za siri na kisha kumziba na gundi. Kwa mujibu wa...
  4. BABU KIDUDE

    Najiuliza nilikosea kumuoa wife au ni tamaa au labda shetani?

    Ndugu zangu, Wife bana kajifungua kama mwezi hivi, tunashukuru sana kwa Mungu mtoto wa 2 sasa. Safari hii tofauti na mwanzo kajifungulia hapa hapa na tukiwa tushaamia mjengoni nje ya jiji hukoo sijui. Kama ilivyo kawaida japo tuna Dada wa kazi lazima tupate mtu wakukaa na Mzazi hapo ndo...
  5. Mzukulu

    Ni Kazi gani (Profession) ambayo ukiwa nayo au ukiifanya tu basi tayari umeshaachana kuwa na Mungu na unamtumikia Shetani?

    Nasikia kuna Kazi (Ajira) za Fani (Professions) fulani ambazo ukizifanya hizo hata kama uwe kila Siku unasali Kumuomba Mwenyezi Mungu hawezi Kukubariki kwani zina Dhambi ndani yake na pia zimekaa Kilawamalawama na huwezi Kuzifanya bila kwenda Kinyume kabisa na Maandiko ya Kiimani. Kuna Mtu...
  6. K

    Bado kuna wanaobisha misiba ni mingi kuliko mwaka jana

    Hii Corona haiui kwenye kitu kimoja wakati mwingine inachochoe ugojwa mwingine na nampongeza sana Magu kwa kujificha kijijini kwa zaidi ya mwezi. Kila siku tutasikia misiba lakini kibaya wale wengi ambao si wanasiasa hatuwasikiia.Tuombe Mungu dawa ipatikane maana hali ni mbaya. Pamoja na...
  7. Kigonash

    Hapa duniani kuna mbegu mbili; aliyopanda Mungu na ile aliyopanda Shetani

    Kuna andiko katika biblia sikumbuki mstari gani lakini nakumbuka yesu alikuwa anafundisha wafuasi wake akasema mpanzi alikwenda kupanda mbegu katika konde lakini zilipoota zikaota na magugu mwenye shamba alauliza mbona nilipanda mbegu nzuri magugu yametoka wapi? Yesu akawaambia yule mwovu Usk...
  8. Pascal Mayalla

    Mtu kama huyu ni binadamu au shetani? Anaombeaje Corona ifike Tanzania. Kuiombea nchi yako majanga, sio zaidi ya uendawazimu? Huu sio ushetani?

    Wanabodi Japo kwa kawaida usiku ni wakati wa kulala na kupumzika, ila kwa watu ma jobless wakiwemo kada yangu ya watu wa "mishe mishe", moja ya usiku ngumu sana, huwa ni usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu ambayo umeipitisha weekend kwa mazabe mazabe, halafu blue Monday inakuja!, usingizi huwa...
  9. kid ink tz

    Mwanaume mmoja nchini Nigeria amjeruhi vibaya mkewe baada ya vipimo vya DNA kuonesha kuwa watoto wao watatu sio wa mwanamme huyo

    Mwanamke mmoja huko Nigeria amechakazwa vibaya na MTU anayedhaniwa kuwa ni Mme wake baadaya kutokea hali yenye utata dhidi ya watoto wao. Mwanaume huyo tajiri na mfanyabiashara alikuwa na mpango wa kuhamisha family yake kutoka Benin kwenda Canada ndipo ubalozi wa NCHI hiyo Ulipohitaji Vipimo...
  10. Erythrocyte

    Ushuhuda: Tunaposema Shetani hana rafiki hatudanganyi

    Wakuu mtanisamehe sana kwa kuwarudisha nyuma mwaka 2015 kwenye uzinduzi wa bunge Jipya baada ya Uchaguzi Mkuu ambayo ilikuwa ndio siku ya kwanza kabisa kwa Rais mpya kulihutubia bunge hilo jipya na kulizindua. Wabunge wote wa Upinzani waliotokana na (UKAWA) walitoka nje kama ishara ya kupinga...
  11. BASIASI

    Shetani anazidi kuwafanya Watanzania masikini kupitia vifurishi vya data

    Kama kuna pepo linalowamaliza watanzania leo hii ukiacha cancer na hiv n vifurishi vya data Yaani Watanzanià wameingiliwa na hili pepo ambalo imefika radhi wanunue vifurushi watoto wanywe chai na mkate Wako radhi wakose nauli kesho wawatumie mahawara zao ama bibizao vifurushi Kiukweli...
  12. Erythrocyte

    CHADEMA kataeni kuonewa tena , unyonge wenu sasa basi , wala Msiogope maana Shetani hajawahi kumshinda Mungu

    Unyama mliofanyiwa dunia nzima imeona na wala hakutakuwa na mshangao wowote iwapo mtakataa kuonewa tena , mmeuawa waziwazi , mmeteswa waziwazi , mmekamatwa hovyo hovyo , mmekatwa mapanga kwa namna walivyotaka , mmebambikwa kesi nyingi za kutunga , mmefungwa bila huruma , mmenyanyaswa kwa kiwango...
  13. matunduizi

    Kwa mara ya kwanza Shetani Katoa Point: Majibu yq kanisa la Shetani kwa Jamaa aliyeomba Kujiunga na Illuminati kwa kutweet account ya kanisa hilo.

    Jamaa kauliza '' Kanisa la shetani ninawezaje kujiunga na Illuminati? ''. '' nataka kuwa tajiri'''. JIBU LA KANISA LA SHETANI '' Illuminati inamaanisha kuwa na akili au mwangaza, Hivyo soma vitabu, Jielimishe hivyo utakuwa Illuminati, kama bonasi kujielimisha kutakufanya kuwa na hatua nzuri ya...
Back
Top Bottom