shinyanga

Shinyanga, also known as Shinyanga mji in the local Swahili language, is a city in northern Tanzania. The city is the location of the regional headquarters of Shinyanga Region as well as the district headquarters of Shinyanga Urban District. The region and district are named after the town.

View More On Wikipedia.org
  1. chizcom

    DOKEZO Kahama ni inasifika kimapato ila maendeleo ya mapato ni kama yapo shinyanga

    wilaya ya kahama kuwa na vyanzo vya mapato na madini lakini kama naona makao makuu ya mkoa yana lazimisha shinyanga kuwa yenye kila kitu kizuri kuanzia barabara za ndani mataa ya barabara wakati kumejaa baiskeli nyingi. Kwa nini kahama ilikataliwa kuwa mkoa au kupewa hadhi ambayo bila magufuri...
  2. Mkalukungone mwamba

    CCM Shinyanga yawataka Wazazi kuepuka Mahusiano ya Kimapenzi na Vijana wadogo

    Katibu wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga amewataka wazazi kuacha kushiriki mahusiano ya kimapenzi na vijana wadogo wanaowazidi umri, akisema vitendo hivyo vinawaharibu vijana na kuwadhalilisha wazazi wenyewe. Akizungumza leo, Machi 14, 2025 katika ziara ya kukagua uhai...
  3. Roving Journalist

    Mjiolojia Daniel Mapunda: Almasi, dhahabu zinaipaisha Shinyanga, yafikia 82% ya lengo ukusanyaji maduhuli

    MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Shinyanga yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha ulioanza Julai 2024/ 2025 ni Shilingi Bilioni 21.5 Mkoa wa Shinyanga ulipangiwa kukusanya Shilingi Bilioni 26.2 ambapo mpaka mwishoni mwa mwezi...
  4. L

    Tanesco boresheni maslahi ya vibarua Shinyanga mjini

    Habari TANESCO boresheni maslahi ya vibarua shinyanga mjini kwa maana wanateseka na kupitia changamoto ngumu sana kwa sasa ni miezi miwili huu wa tatu hawajalipwa wengi wao huacha kazi kwa kuamini wamezulumika kazi ni ya nguvu nyingi inapaswa wale lakini watakula nini ikiwa hawana pesa mamlaka...
  5. Mkalukungone mwamba

    RC Shinyanga aonya Wanawake Mikopo ya kausha damu

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha amewaonya wanawake wa Wilaya ya Msalala kukopa mikopo ya kausha damu badala yake ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kwa wanawake, vijana na watu wenye walemavu. Macha ameyasema hayo katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani...
  6. The Watchman

    RC Shinyanga, Anamringi Macha aweka jiwe la msingi Shule mpya ya sekondari Bumva, Kata ya Segese

    MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha ameweka jiwe la msingi Shule mpya ya sekondari Bumva, Kijiji cha Bumva Kata ya Segese Halmshauri ya Wilaya ya Msalala iliyojengwa kwa gharama ya Sh. Milioni 603,890,563/=. Shule hiyo inatarajiwa kupokea wanafunzi zaidi ya 100 kutoka shule za sekondari...
  7. upupu255

    RC Shinyanga apiga marufuku Watoto kutumikishwa mashambani, ataka wapelekwe Shuleni

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha amepiga marufuku wazazi na walezi kuwatumikisha watoto mashambani na kuchunga mifugo badala ya kuwapeleka shule. Msingi wa kauli ya Macha ni kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kusoma wanaandikishwa na wanahudhuria shuleni, akidokeza kuwa...
  8. T

    Pre GE2025 Mhandisi James Jumbe Wiswa, amechangia mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga

    Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mjini, Mhandisi James Jumbe Wiswa, amechangia mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga. Mhandisi Jumbe amekabidhi mifuko hiyo ya saruji wakati wa...
  9. The Watchman

    Pre GE2025 Wananchi kutoka Vijiji 112 kutoka Ushetu, Shinyanga wanatarajia kuanza kunufaika na Mradi wa Maji kutoka Ziwa Viktoria, mabomba lukuki yashushwa

    Wananchi kutoka Vijiji 112 katika Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga wanatarajia kuanza kunufaika na Mradi wa Maji kutoka Ziwa Viktoria ambao kwa sasa utekelezaji wake unaendelea kwa Awamu ya kwanza. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ushetu Gagi Lala wakati akizungumza...
  10. The Watchman

    Pre GE2025 Shinyanga: Ujenzi wa zahanati ambayo haujakamilika tangu 2012, wananchi waililia serikali ikamilishe ujenzi huo

    Wakazi wa Kijiji cha Bushimani kata ya Chambo Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Boma la Zahanati walilolijenga kwa nguvu zao mwaka 2012 ili kuwaondolea adha ya kufuata huduma za Matibabu umbali wa kilomita 10. Veronica Michael na Elizabeth Mabula ni...
  11. Venus Star

    Hapi atema cheche Shinyanga "Tumejipanga kuhakikisha Dkt. Samia anapata ushindi wa sunami"

    Na Mwandishi Wetu KATIBU MKUU WAZAZI ALLY HAPI AWATAKA VIONGOZI KUTOA USHIRIKIANO KWA MBUNGE KATAMBI. KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ndugu. Ally Salum Hapi (MNEC) amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wa mkutano mkuu kumpa ushirikiano wa kutosha Mbunge wa...
  12. SAYVILLE

    Nataka kwenda Shinyanga kutafuta mke

    Wakuu, nimekuwa na wazo la kwenda Shinyanga kutafuta pisi moja ambayo nitatulia nayo tuanzishe familia. Unaweza kuniuliza why Shinyanga? Kipindi kile Haji Manara alipomuibua Rushayna, baada ya kugombana naye nakumbuka alisema alimuibua huko Shinyanga. Rushayna ni pisi kwa kweli, naikubali sana...
  13. OKW BOBAN SUNZU

    Wajumbe mtakaochagua Mbowe mtafanya kazi na nani ikiwa kila mwanachama anamtaka Lissu?

    https://youtu.be/nLcsl_rWxOo?si=p2kxWopIgVxceR8x Wajumbe wenye sifa za kupiga kura kumbukeni mnawakilisha wanachama wa maeneo mnapotoka. Chagueni kulingana na matakwa ya wanachama badala ya kuangalia njaa zako. Wanachama kutoka kila kanda wameshatoa matamko ya kumtaka Tundu Lissu, sasa ole...
  14. Teko Modise

    KERO Kuna kipande kikubwa cha barabara eneo la Nzega kina mashimo makubwa na hatari kwa usalama wa watumiaji wa Barabara Kuu ya Shinyanga - Singida

    Ukitoka mizani ya Tinde kabla ya kufika Nzega hapo katikati kuna kipande kikubwa cha barabara kimeharibika na kutengeneza mashimo makubwa sana kwenye lami. Hii ni hatari kwa watumiaji wa barabara hii na hasa kwa madereva ambao hawaijui njia hii wanaweza kupata ajali. Nimepita usiku huu...
  15. The Watchman

    KWELI Emmanuel Ntobi amevuliwa uongozi uenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga

    Wakuu naomba msaada wa taarifa hii kuwa Kamati tendaji ya Kanda ya Serengeti imefikia maamuzi ya kumvua Uongozi Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Shinyanga Bw. Emmanuel Ntobi kutokana na utovu wa nidhamu na maadili ikiwemo kuchafua Viongozi wa Chama chake Kitaifa...
  16. Torra Siabba

    KERO TANROAD Tabora mko wapi? Barabara ya Shinyanga - Nzega changamoto

    Nilikuwa nasafiri hivi karibuni nikitoka Shinyanga kwenda Igunga, nikiwa kwenye gari sikuamini macho yangu, kama kilometa mbili kabla ya kufika Stendi kuu ya mabasi Nzega, barabara imeliwa na vile mvua zinanyesha kila wakati kila dereva anapita anakojua. Kama Barabara itaendelea kuwa vile kuna...
  17. BigTall

    KERO Ujenzi wa Interchange ya SGR - Mwanza umesimama, Barabara nayo ni mbovu, kero ya foleni ya magari imekuwa kubwa

    Ujenzi wa Mradi wa SGR hapa Mwanza ambao kwa muda mrefu umekuwa hauna mwendelezo umesababisha kero ya foleni hasa katika Barabara ya magari eneo la Mswahili Mkoani Mwanza. Kero hiyo ipo zaidi katika Interchange ya SGR ambapo Barabara inayotumika kwa chini ni mbovu na wakati wa mvua hali huwa...
  18. Ojuolegbha

    Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inasambaza mitungi ya gesi 13,020 mkoani Shinyanga

    Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inasambaza mitungi ya gesi 13,020 mkoani Shinyanga. Mitungi ya gesi ya kilo 6 yenye thamani ya shilingi milioni 545.538, Itasambazwa kwa bei ruzuku ya shilingi 20,950, badala ya shilingi 41,900 Lengo ni kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya...
  19. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Shinyanga: Wanachama 18 wa CHADEMA wahamia CCM

    Naona sasa mwaka wa Uchaguzi umewadia na mambo yamekuwa mengi kweli kweli. Wanasiasa wengine wanaenda kutafuta malisho ya kijana kibichi =================== Wanachama 18 wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, Wakiwemo Viongozi wa jumuiya mbalimbali za chama hicho Halmashauri ya Ushetu...
  20. M

    Tetesi: SHINYANGA: Mke wa Wenje pamoja na rafiki wa Esther Matiko wafika na kugawa shilingi milioni moja kwa kila mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa CHADEMA

    Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga. "Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba ambae ni mke wa kaka Wenje, Tayari leo wamefika Viunga vya Kahama na wameanza Mipango ya Kukutana na...
Back
Top Bottom