simba vs yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DR HAYA LAND

    Kesho simba atashinda huu ndo utabiri wangu

    Mimi sio shabiki wa mpira Ila nimeamua kufanya utabiri Simba anashinda kesho nimeona hivyo
  2. Mwanadiplomasia Mahiri

    Saa sita usiku wa leo, utashangaa nyuzi za Simba Vs Yanga zaidi ya moja, hivi kwanini huwa mnagombania?

    Kumekuwa na kasumba ya kila mdau wa JF aonekane yeye ndio wa kwanza kufungua thread ya mechi ya Simba Vs Yanga. Matokeo yake mpaka ni mlundikano wa nyuzi japo huwa zinakujwa kuunganishwa. Mbaya zaidi kuna jamaa yeye ni mod, huwa anafoji hadi muda ili tu thread yake ionekane ya mapema zaidi.
  3. M

    Mnyama meno yanawasha tafuna huyo uto hadi aseme nimekoma

    Msiseme hatukujua!! wewe unajipeleka kwenye mdomo wa simba huku ukijua ana njaa unategemea nini? Simba 3 - 0 Yanga.
  4. Mwanadiplomasia Mahiri

    Tabiri mechi ya Simba Vs Yanga itaishaje baada ya filimbi ya mwisho

    Kama uzi unavyojieleza; Simba 2-1 Yanga Twende kazi,tuone utabiri wako…
  5. Kidagaa kimemwozea

    Nimechungulia game ya Simba dhidi ya Yanga, inamalizika bila goli

    Tayari nimechungulia, gemu inaisha 0-0. Wawekezaji, kazi kwenu! Matokeo ni baada ya dakika 90 na za nyongeza. Sisi Simba hatutakubali Yanga watufunge tena!
  6. JanguKamaJangu

    Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko

    KARIAKOO DERBY | Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtangaza mwamuzi Ramadhan Kayoko kutoka Dar es Salaam kuwa ndiye refa atakayesimamia Sheria 17 za mchezo wa soka, kesho Oktoba 18, 2024 kwenye #KariakooDerby Kayoko atasaidiwa na Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga kutoka Dar es...
  7. Labani og

    Gamondi: Simba watapewa dozi kulingana na ugonjwa wake

    GAMONDI:UNAPEWA DOZI KULINGANA NA UGONJWA WAKO. ''Mechi yetu dhidi ya Simba maandalizi yetu hayana tofauti na mechi yoyote ya ligi kuu. Hii ni mechi kubwa sana kwa mashabiki na wapenzi wa soka, lakini kwetu kama technical stuff hii ni study ya kawaida. Idadi ya goli tutakazofunga itategemea na...
  8. M

    Kuna kila dalili kwamba game ya Kesho Simba inaweza kushinda goli nyingi

    Zinaweza kufika 7 na kama zitapungua zitakuwa 4. Baada ya game msiniulize nilijuaje
  9. ngara23

    Kwenye ulimwengu wa roho, Simba 1 Yanga 3

    Mechi ya tarehe 19 Ambayo itaikutanisha miamba ya Kariakoo yaani Simba na Yanga Mechi imechezwa na imemalizika tayari ampabo Yanga amefunga magoli matatu ya Prince Dube dk ya 17, Azizi ki dk 39 na Duke Abuya dk ya 76. Goli pekee la Simba limefungwa na Ngoma Tumepambana kwenye ulimwengu wa...
  10. Pdidy

    Kama kuna siku Simba mtajuta kucheza na Yanga ni 19 Oktoba

    Hii mechi n kati ya mechi nyepesi sana ya Yanga Pengine ni zaidi ya vs Kagera Kama kuna mechi Simba atajuta kuingiza timu uwanjan n Derby ijayo. Halii si nzuri kwao mpaka sasa najua kamati inahangaika kupindua matokeo na ukweli wanajua walichoelezwa Kifupi tu yanga atashinda kuanzia goki 3...
  11. Pdidy

    Bacca kuikosa derby?

    Kuna taarifa zinasambaa mtandaon baka kuikosa Derby Ana majerahaaa wenye ushahidi yujuzane tusipoteezee muda kwenda uwanjan kabisa
  12. Dalton elijah

    Maxi Mpia Nzengeli (24) kuelekea mchezo wa Kariakoo Derby

    siku ya jumamosi ndiye namuona kama mchezaji hatari kwa Simba SC kutokana na ubora wake ndani ya uwanja, Maxi kama yupo fiti lazima atakupa mechi bora sana kuanzia nguvu hata kasi na ufanisi kwenye maeneo mengi ndani ya uwanja yameipa uhai mkubwa sana Young Africans Mechi tatu zilizopita za...
  13. JanguKamaJangu

    Kuelekea Kariakoo Dabi, Mwigulu atoa utabiri wake - "Mechi itakuwa ngumu, Yanga unaifungaje?

    Mechi ya watani wa jadi huwa ni mechi ya wakubwa inaheshima yake na kwa ukubwa ulele huwa autabiriki. Matokeo yanapatikanaga baada ya filimbi ya mwisho ndiyo inajulikana nani ameshinda. Lakini kwa kiu najuwa Simba watakuwa na kiu kubwa sana ya kushinda mechi hiyo na kwa kweli najuwa mechi...
  14. Labani og

    Gamondi: Simba Wana ndoto kubwa ya kuifunga Yanga

    "Simba Sc wana ndoto ya kutufunga ili wafurahi sie tunataka kuwafunga ili tuwe mabingwa hiyo ndio tofauti" - Gamondi #FutbalPlanetUpdates
  15. Dabil

    Refa yupi anafaa zaidi achezeshe mechi ya Derby ya Kariakoo ya tarehe 19 Oktaba 2024?

    1. Ramadhan Kayoko 2.Herry Sassi 3.Arajiga. Kwenye hao watatu ningependa Arajiga awe mwamuzi wa kati.
  16. U

    Mzee Mwandiga adai kanuni ya asili inaipa ushindi goli zisizopungua 4 klabu ya Simba katika mechi yake na Yanga

    Wadau hamjamboni nyote? Nimekutana bila kutarajia na huyu Mzee aliyeshiba siku na uso uliojaa hekima hapa maeneo ya mwandiga tukipata chai mida ya saa tatu hivi asubuhi ya leo. Namsikia Mzee huyu kwa masikio yangu akieleza Kanuni ya Asili inaonyesha Klabu ya simba itapata ushindi magoli...
  17. SAYVILLE

    Mnyama gani anafaa rasmi kwendana na timu ya Yanga?

    Embu tuweke utani pembeni. Duniani kote kuanzia vilabu hadi timu za taifa, kuanzia katika soka, basketball hadi American Football na michezo mingine ni kawaida timu kubwa kujilinganisha na mnyama fulani anayebeba mfanano wa falsafa na haiba ya ile timu. Kuna timu zimeweka mnyama wao katika...
  18. Mkalukungone mwamba

    Wali kuku wenye nazi wamtia kiburi Leonel Ateba. Atamba kufanya balaa kwenye dabi Oktoba 19

    Leonel Ateba kitu pekee anachokikosa Tanzania ni chakula cha Okok ambacho ni mchanganyiko wa mboga za majani zilizosagwa zinazoliwa na mihogo. Hii Ilimlazimu kutafuta chakula mbadala cha kitanzania ambacho kitaziba pengo na hapo ndipo alipopagawa na Wali kuku nazi.
  19. MwananchiOG

    Baada ya mchezo na Singida BS wanaume kimya kimya wakajifungia Avic town walipoibuka ikawa vilio kila kona

    Ninaipenda sana hii system ya ukimya wa Yanga, huwa hawaongei wala kujimwambafy linapokuja suala la michezo mikubwa, hauwezi kumkuta Max akizungumza na waandishi au Job akiwa busy na camera, labda ikiwalazimu kufanya hivyo. Utakumbuka mechi dhidi ya CRB hakuna aliyejua au kutarajia Yanga...
  20. C

    Kuna tatizo mahali kwa viongozi wa Simba, mnawezaje kuruhusu wachezaji wahojiwe na kutamba kuhusu Derby?

    Nimesikitishwa na kuona mahojiano ya mchezaji wa Simba anayetamba eti ni lazima aifunge Yanga na kwamba haamgalii mabeki walio nao. Jambo hili linasikitisha sana ukizingatia kuwa hizi ni tabia za wachezaji wa timu ndogo kutamba tamba lakini hatimae hufungwa tu. Wakatazeni wachezaji wasiongee...
Back
Top Bottom