Nawapongeza Simba wana project nzuri, wameamini damu na wanacheza vyema
Coach Fadlu amekuwa coach Bora kabisa, amefanya rotation ya kikosi na kila mchezaji amempa nafasi
Mashabiki waache kuipa timu pressure ya ubingwa, naona level za kuwa bingwa Bado kidogo
Marekebisho
1. Shabalala akae...