Mkoa wa Simiyu wafunga mwaka wa fedha unaoishia Juni30, 2022 kwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya Halmashauri,
Simiyu imekusanya 14.2bn sawa na asilimia 108% kulinganisha na makusanyo ya 10.9bn sawa na asilimia 76% mwaka ulioisha Juni30, 2021.
Huku Maswa ikiongoza kwa makusanyo ya asilimia...