simulizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Chanjo, teknolojia ya kiafrika na simulizi ya Onesimus, mtumwa wa Kiafrika aliyeiokoa dunia

    Mnamo mwanzoni mwa miaka ya 1700, mji wa Boston, Massachusetts kama ilivyokuwa kwa dunia nzima kipindi hiko, ulikumbwa na ugonjwa mbaya wa Ndui uliosababisha vifo vya watu wengi. Inakadiliwa watu zaidi ya milioni 300 walifariki kwa ugonjwa wa Ndui duniani kote. Ugonjwa wa Ndui kipindi hiko...
  2. Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Wakuu leo naomba kuleta Story yangu ya kweli ya jinsi nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu kule wala mtu wa kunipokea. Ukweli kuna wakati ilifika nilichoka sana maisha ya hapa nyumbani, ilikuwa Mwaka 2014, nilikuwa napitia changamoto nyingi za maisha hasa katika familia. Ukweli akili...
  3. Simulizi ya Kijasusi: C.O.D.EX.

    Simulizi : C.O.D.EX. 1 Mwandishi : TARIQ HAJI Imeletwa kwenu na: BURE SERIES C.O.D.EX. 1 ................... SEHEMU YA 1 Allen James ni jina langu, ni dereva wa taxi katika jiji moja maarufu sana duniani Los Angels maarufu kama LA. Kama kawaida mapema vijana tunaingia kazini kutafuta mapeni...
  4. Chozi la furaha

    SIMULIZI FUPI - CHOZI LA FURAHA Nilishuka garini nikiwa na furaha,hii baada ya kutoka likizo baada ya miezi sita ya kukaa chuoni.Mtu wa kwanza kumuoana alikuwa ni mama yangu ambaye alikuwa amemshika mkono mdogo wangu ambaye alikuwa darasa la kwanza.Nilimkumbatia mamangu huku nikiwa siamini...
  5. Zijue tovuti za kusoma Simulizi na Chombezo

    Zifuatazo ni tovuti bora ambazo zitakuwezesha kusoma tovuti bure au kwa gharama 1. Jamiiforums Tembelea tovuti ya Jamiiforums kisha nenda katika jukwaa la Sports & Entertainment halafu chagua jukwaa la Entertainment Katika jukwaa hili utaweza kusoma simulizi na chombezo mbalimbali bure...
  6. J

    Simulizi yangu ya kwenda kwa waganga wa kienyeji sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi

    Waungwana habari ya leo fuatana nami kwenye simulizi yangu hii ambapo niliwahi kwenda kwa waganga wa kienyeji sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi baada ya kukutana na changamoto mbalimbali za kimaisha. Kiukweli ni vigumu kumjua yupi ni mganga wa kweli na yupi ni mganga feki ni kama vile...
  7. Simulizi za Othman Masoud

    Yaliyojiri ndani ya Bunge la Katiba na kulichopelekea kufukuzwa kwake. Alichomwambia Dr. Shein baada ya kupora Ushindi wa Maalim Seif. Maisha yake nje ya harakati. Ukaribu wake na watu. Anavyowajali Wazanzibari. Simulizi hii ni sehemu ya pili ya muendelezo wa simulizi za Othman Masoud...
  8. Simulizi ya kweli ya maisha yangu

    Kisa cha kweli kilichompata rafiki yangu. SEHEMU YA KWANZA Umasikini ulikua chanzo cha mimi kugundua mapema kabisa tofauti iliyokuepo kati ya baba na mama yangu, Nililala na baba na mama yangu chumba kimoja hadi nilipoanza darasa la kwanza hapo ndipo uhalisia ukauzidi nguvu ukimya wa kuzuga...
  9. Simulizi ya Kijasusi: Tutarudi Na Roho Zetu?

    Simulizi : TUTARUDI NA ROHO ZETU? Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 KAMA maji ya bahari ya hindi yangekuwa na hisia, basi yangejisiskia fahari sana kwa kupata fursa nyingine ya kuiburudisha miili ya viumbe hawa wawili ambao walikuwa wakiogelea kandokando ya...
  10. Simulizi ya Kijasusi: Noti Bandia

    Simulizi : NOTI BANDIA Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na : BURE SERIES SEHEMU YA 1 JIJI la Dar es Salaam linatingishika, wezi sugu wanaingiza noti bandia, watu wanaibiwa. Baadhi wanauza majumba, magari na viwanja. Wafanyabiashara hatari wa dawa za kulevya nao wanacharuka, wanatangaza...
  11. Simulizi : Safari Ndefu Kuelekea Kaburini

    Simulizi : SAFARI NDEFU KUELEKEA KABURINI Mwandishi : NYEMO CHILONGANI Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Muda ulikuwa ukizidi kwenda mbele huku dereva wa gari ndogo aina ya Prado akiwa amesimama nje ya gari hilo huku akimsubiri msichana mrembo, Patricia Thomson aweze kutoka ndani...
  12. Simulizi ya Kijasusi: Kiguu Na Njia

    Simulizi : KIGUU NA NJIA Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 likuwa mara yangu ya kwanza kumuona baba akitokwa na machozi. Kwa kweli, ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona mwanamume yeyote mwenye umri wa baba akilia, iwe sirini au hadharani. Kitendo cha...
  13. Simulizi ya Kijasusi: Salamu Kutoka Kuzimu

    Simulizi : SALAMU KUTOKA KUZIMU Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 KIFO kaja duniani kwa kazi moja tu. Akikukuta umekwisha... Akikusalimia umekwisha... Hana mdhaha. Lakini sasa huyu anataka watu mashuhuri, watu wakubwa zaidi. Anataka kuifanya Afrika nzima...
  14. Simulizi ya Kijasusi: Mikononi Mwa Nunda

    Simulizi : MIKONONI MWA NUNDA Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 UKEKE Maulana alikuwa mzee ambaye siku zote alipingana na uzee, mzee ambaye hakukubali uzee umtawale hata mara moja. Alikuwa vitani akiupinga na kuudhihaki hadi uzee ukaelekea kumpigia...
  15. C

    SIMULIZI: Notebook

    NOTEBOOK: SEHEMU YA KWANZA Mshale wa saa ulisimama kwenye 4 na dakika zake ,Carry alikuwa akijigeuza upande wa pil ili alale vizuri Ila mwanga wa jua ulionekana kumkera pindi ulipomchoma usoni, Carry alifumbua macho yake kwa tabu sana na kwa hasira juu ya mwanga ule alianza kujinyoosha taratibu...
  16. Simulizi: Ajira Toka Kuzimu

    Simulizi: AJIRA TOKA KUZIMU Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Aliitazama nchi hii kwa mbali sana, aliyekuwa mkuu wake alimuonyesha kwa kutumia kidole kimoja. Ilikuwa ina rangi ya bluu hii ndio ilikuwa nchi kubwa aliyokuwa ameagizwa kumfanyia kazi yake...
  17. Simulizi: Jamani Mchungaji

    Simulizi: JAMANI MCHUNGAJI !! Mwandishi: GEORGE IRON MOSENYA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Masikio yake hayakuamini anachokisikia lakini ubongo wake uliamini kuwa mkewe alikuwa kwenye ndoto nzito sana, jasho lilikuwa linamtoka na alikuwa anajiviringisha pale kitandani kwa staili...
  18. Simulizi : Ukweli Wenye Kuuma (Painful Truth)

    Simulizi: UKWELI WENYE KUUMA ( PAINFUL TRUTH ) Mwandishi: NYEMO CHILONGANI Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Msichana Happy alikuwa akilalamikia uchungu ambao ulikuwa umemshika katika kipindi ambacho alikuwa shambani akilima. Damu zikaanza kumtoka katika sehemu zake za siri...
  19. Simulizi: Akwelina

    Simulizi: AKWELINA Mwandishi: RUVULY DE FINISHER Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 """ Mke wangu unajua hii inchi yetu ina mambo mengi mno ambayo tukiyaangalia kwa macho tunaona ya kawaida sana lakini kwa mwenye akili na mwenye mtazamo wa kufikiria mbali lazima atatambua kwamba...
  20. Simulizi : Beyond Love (Zaidi Ya Mapenzi)

    Simulizi: BEYOND LOVE (ZAIDI YA MAPENZI) Mwandishi: 2JIACHIE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 Tom aliheshimika na kutisha, hakuna mtu aliyechezea shughuli zake kutokana na uhusiano mzuri aliokuwa nao na viongozi Serikalini, akiwa mdhamini wa Chama Tawala. Hakuna mtu ambaye...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…