slaa

Sex and Love Addicts Anonymous (SLAA) is a twelve-step program for people recovering from sex addiction and love addiction. SLAA was founded in Boston, Massachusetts in 1976, by a member of Alcoholics Anonymous (AA). Though he had been a member of AA for many years, he repeatedly acted out and was serially unfaithful to his wife. He founded SLAA as an attempt to stop his compulsive sexual and "romantic" behavior. SLAA is also sometimes known as the Augustine Fellowship, because early members saw many of their shared symptoms described by St. Augustine of Hippo in his work Confessions. COSLAA is another twelve-step fellowship created to support the family members and friends of sex and love addicts.
SLAA encourages members to identify their own "bottom-line behaviors." The organization identifies these behaviors as "any sexual or emotional act, no matter what its initial impulse may be, which leads to loss of control over rate, frequency, or duration of its occurrence or recurrence, resulting in spiritual, mental, physical, emotional, and moral destruction of oneself and others." Maintaining "sobriety" in the SLAA program requires abstaining from one's bottom-line behaviors. However, these behaviors are never set in stone and may change as SLAA members continue in the program. Examples of bottom-line behaviors might include sexual or romantic activity outside the scope of monogamous relationships, anonymous or casual sex, compulsive avoidance of intimacy or emotional attachment, one-night stands, compulsive masturbation, obsessive fantasy, compulsive attraction to unavailable or abusive partners, and a wide variety of addictive sexual, romantic, or avoidant behaviors.
Many of those practicing the SLAA recovery program develop the ability to engage in a healthy committed relationship. SLAA encourages recovery from sexual anorexia, emotional anorexia and social anorexia, three related areas of self-deprivation that lead to isolation and often accompany patterns of addictive behavior.SLAA publishes the book Sex and Love Addicts Anonymous. It is approved by the organization for use in their fellowship. In an article regarding the applicability of 12-Step fellowships to black women, Feminist theorist Christine Saulnier criticized the SLAA book, contending that it ignored the social and political circumstances under which sexual behaviors arise and are labeled deviant.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Dkt. Wilbroad Slaa: Viongozi wakubwa serikalini na CCM wapatao 38 wamenipigia kuniunga mkono katika kupinga uuzwaji wa bandari za Tanganyika

    Ameyasema hayo katika Club House. Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika. Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili. Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try
  2. olimpio

    Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

    Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa, baada ya makovu waliyopitia CHADEMA baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015. Lakini mvutano mkubwa umeibuka, huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha...
  3. chiembe

    Nani alilipia gharama za Dkt. Slaa na Lipumba kuponda maraha Kigali mara baada ya kuisaliti UKAWA mwaka 2015?

    Mwaka 2015, uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na Rwanda factor. Dk. Slaa na Lipumba, mara baada ya kuisaliti UKAWA, walipelekwa kwa ndege ya kukodi mpaka Kigali, wakawekwa kwenye hoteli ya kifahari sana na ulinzi mkali wakipewa Kila wanachotaka. Walikula maisha sana, baadae, Kila mmoja akapewa...
  4. B

    Dk. Slaa: Mkataba wa DP World kama Taifa - Tumeuzwa!

    Hoja hupingwa kwa hoja: Ukweli mchungu: "Mkataba wa DP World ni mmoja akiita jiwe hata mwenda wazimu hawezi kuusaini." Heshima kwake Dk. Slaa.
  5. THE BIG SHOW

    Wilbroad Slaa kusema Rais Samia amejificha kana kwamba nchi haina kiongozi, ungethubutu kusema hivyo kwa Hayati Magufuli?

    Friends and Enemies, Kwa tuliomsikiliza Wilbroad Slaa juzi pindi akihojiwa na kituo kimoja Cha redio amesikika akitoa kaul nyingi sana za dhihaka na kejeli Kwa serikali,Slaa akafikia hadi hatua ya kusema kwamba Rais AMEJIFICHA,hatoi kaul kana kwamba nchi hii haina Kiongoz. Slaa lazima atambue...
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Rostam Aziz: Historia ya Dkt. Slaa haimpi uhalali wa kujifanya anajali maslahi ya Mtanzania. Kampuni zangu hazihusiki na uwekezaji wa DP World

    Mfanyabiashara mkubwa nchini Rostam Aziz amezungumza na waandishi wa habari Juni 26, 2023 ambapo ameeleza mambo mbalimbali ikiwemo sakata la bandari ya Dar na kuhusika kwake kwenye uwekezaji huo mkubwa. --- Juzi katika mdahalo pale hoteli ya Serena nilisema kuwa sihusiki na hili jambo (mkataba...
  7. Kabende Msakila

    Mbowe, Lissu, Dkt Kitima, Jenerali Ulimwengu, Dkt Slaa - ni wapotoshaji kuhusu DP World?

    Taifa la Tanzania limebahatika kuwa wa baadhi ya watu wenye ushawishi ktk jamii - ingawa wakati mwingine watu hawa huweza kupotosha jamii kwa maslahi ya vyama au madhehebu yao. Hili suala DP World kuwekeza ktk bandari zetu halina hasara kwetu kama Taifa. Lina faida nyingi sana kwetu tofauti na...
  8. Suley2019

    Chalamila: Namuonya Dkt. Slaa aache kupotosha taifa, Bandari haijauzwa

    "Nimeona kwenye mtandao, ndugu yangu balozi Dkt. Wilbroad Slaa na yeye akieleza mambo yake kwenye mtandao, moja ya watu ambao kwa miaka mingi nimewaheshimu, kwa umri wao, kwa nafasi zao, kwa usomi wao ni pamoja na Dkt Wilbroad Slaa. Sasa na yeye pia nimuonye kwamba kwa umri wake, kwa hadhi...
  9. Roving Journalist

    Taarifa ya Balozi Dkt. Slaa kuhusu Mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa

    (Kwa mujibu wa Katiba ya JMT. Ibara ya 18(2): Ndugu Waandishi wa Habari, Kwa kutumia Haki yetu ya Kikatiba, “ Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za Wananchi, na pia juu ya maswala muhimu...
  10. Tajiri wa kusini

    Dkt. Slaa aache udini na undumilakuwili

    Dr. Slaa: Mkataba wa Bandari na DP World ya Dubai ni uuzwaji wa nchi Akiongea na waandishi wa habari kuhusu sakata la bandari leo 13th June 2023 Dr. Slaa amesema kuwa mkataba huo ni uuzaji wa nchi kwenye kipindi ambacho serikali iliyopo madarakani ina uhalali wa wasiwasi kutokana na uchaguzi...
  11. T

    Tuseme tu ukweli, Dkt. Slaa kadiri anavyozeeka anazidi kuvurugika

    Yule Dkt. Slaa 'mtabe' wa kujenga hoja sio Dkt. Slaa huyu anayepuyanga tu bila hoja. Na hapa ndio tunakumbushwa juu ya kuchana na baadhi ya mambo umri ukikutupa mkono, balozi dkt. Slaa kaamua kukataa dhana hii ya wahenga. Kauli ya kusema Waziri Mkuu sio halali kwa sababu mahakama ilibatilisha...
  12. GENTAMYCINE

    Dkt. Slaa nakukubali kama nawe unavyonikubali hapa JF, ila Hoja zako za leo hazina Ushawishi wa Kuaminika

    Nakuomba tu Mzee wangu achana na hao Wanaokudanganya na Kukutumia ili Kumtikisa Rais Samia na Serikali yake kwani ukishayafanikisha Malengo yao Watakutupa hovyo kama zitupwavyo Condoms zilizokwisha tumika. 75% ya Hoja zako ulizozitoa Leo zinajichanganya mno Kimafikirio kiasi kwamba Mimi mwenye...
  13. JanguKamaJangu

    Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

    Balozi Dkt. Willibrod Slaa anazungumza na Wanahabari katika Hoteli ya Regency Jijini Dar es Salaam, leo Juni 13 2023 kuhusu hati ya makubaliano yaliyoingiwa kati ya Tanzania na DP World. Soma hapa hotuba nzima ======= Dkt. Slaa: Hadi kufikia hatua ya azimio hili kuridhiwa na Bunge, ikumbukwe...
  14. Nyendo

    Dkt. Slaa: Wapo viongozi walichaguliwa kwa uchaguzi unaopatikana Tanzania tu

    Dkt. Slaa amesema wabunge wa CCM baadhi walichaguliwa kwa uchaguzi unaopatikana Tanzania tu, yaani uchaguzi wa kupita bila kupingwa, moja ya madhara ya kuwepo kwa jambo hilo ni kuzalisha idadi kubwa ya wabunge ambao ni wa chama kimoja (CCM). Kuwepo kwa wabunge wengi wa chama kimoja bungeni...
  15. BARD AI

    Dkt. Slaa: Katiba haipaswi kutungwa kwa maagizo ya Rais, kinachofanyika ni kiinimacho

    Wakati safari ya Watanzania kwenda kupata Katiba mpya ikiendelea, Balozi Willibrod Slaa ameukosoa mchakato huo, akisema kinachofanyika ni kiinimacho na hakina uhalali kisheria. Hoja ya mwanasiasa huyo aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA, inajengwa kwenye msingi kwamba “Katiba haipaswi...
  16. Suley2019

    Dkt. Slaa: Msimamo wangu ni ule ule, wananchi wasipangiwe idadi ya watoto

    NI nadra kusikia jambo hili likizingumzwa na wanasiasa na hata viongozi wa serikali, lakini ni kweli kwamba miaka 1980, Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere alipendekeza kuwe na Sera ya Watu. Katika sera hiyo, Mwalimu Nyerere alitaka kuwekwe masharti kwamba kila familia isiwe na zaidi...
  17. OKW BOBAN SUNZU

    Dkt. Slaa: Kina Mdee watoke bungeni, Spika ni Kiburi

    Picha: Dkt. Wibord Slaa Aliyekuwa Balozi wa Tanzania Sweden, Wilbroad Slaa, amesema haoni sababu inayowezesha wabunge 19 wanaoongozwa na Halima Mdee kuendelea kuwapo bungeni ilihali chama chao kilishafanya uamuzi dhidi yao. Dk. Slaa aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na...
  18. comte

    Dkt. Slaa hili la Rais Mstaafu wa Marekani kushitakiwa halina ukweli unatupotosha

  19. DR HAYA LAND

    Jerry Silaa hauwezi kurudi bungeni. Asia Msangi popote ulipo jiandae kwenda Bungeni 2025

    Mkuu Jerry Slaa popote ulipo nakwaambia kuwa barabara za Kivule na Bomba mbili hadi kwa Mkoremba watu wamevunjika migongo. Barabara chafu, hazina lami, zina mashimo, hivi unakwama wapi yaani nyie CCM! Sasa popote ulipo Asia Msangi jiandae kwenda Bungeni.
  20. S

    Heche ampinga Jerry Silaa hoja ya kuongeza bei ya mafuta

    hechejohn Hivi ccm huwa inatoa wapi wabunge wajinga wa kiwango hiki!!!!! Imagine huyu ni kijana, kwasababu ya mshahara mkubwa na Posho hajui jinsi maisha yalivyo magumu kwa watu.. Bado anataka kuongeza mzigo!!! Pesa zipo za kutosha lakini zinaibiwa kwasababu ya wajinga kama huyu Kushindwa...
Back
Top Bottom