Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabir Bakari amesema hadi takwimu za mwezi January mwaka huu ni Asilimia 27 pekee ya Watanzania ndio wanamiliki Simu janja (Smartphone) na kusema malengo ya Serikali ni kuhakikisha Watumiaji wa Smartphone wanafikia 100%,
Dr. Jabir...
Nimekaa na kujiuliza sana juu ya hii ishu. Maana hata kama watu huwa wanajisahau na kuacha hotspot on ndio kusema watu wote wanajisahau? Au ndio kusema simu zote huwa zina app zinazofanya kazi nyuma ya pazia kimyakimya?
Bando zinayeyuka kama barafu.
Grab this Offer Now!
Xiaomi Redmi 7
Rom: 32 GB ( store more videos, photos,etc)
Ram : 3 GB
Condition: Used but still in a good condition
Battery: 12 hrs +
Delivery: From Dar es Salaam to any region in TZ
OFFER: 199,000 TZs
CALL: +255 757 700 510
Serious buyers only!
Smartphone for Sale
Grab this Offer Now!
Xiaomi Redmi 7
Rom: 32 GB ( store more videos, photos,etc)
Ram : 3 GB
Condition: Used but still in a good condition
Battery: 12 hrs +
Delivery: From Dar es Salaam to any region in TZ
OFFER: 219,000 TZs
CALL: 0658 700 510
Serious buyers only!
Simu Janja zinatengenezwa kwa madini kadhaa ikiwemo dhahabu, fedha, platinamu, shaba na paladi. Ukikusanya simu nyingi na kuvuna madini hayo unaweza kuwa milionea ndani ya muda mfupi sana
Imeajwa kuwa Iphone ina gramu 0.034 za dhahabu hiyo ni sehemu ya utajiri unaobaki hata baada ya simu...
Nyanja: Biashara
Taswira zote kwa hisani ya Google
Kwenye kikao cha Bunge la bajeti kilichokwisha 2021-2022 Mhe. Waziri wa Fedha aliwasilisha kwamba tozo kwenye manunuzi ya simujanja na vishkwambi zitapunguzwa ili wananchi wengi wamudu kuzinunua ili...
Video ni hii hapo chini, kama una muda wakutosha na una bando na lugha ya malkia haikupigi chenga, basi itazame.
Siku zijazo, taarifa zako zote binafsi na za kibenki zitatunzwa humo, na manunuzi pia unaweza ukayafanya kwa kutumia kifaa hicho kama ATM kadi yako. Kutumia pesa cash kufanya...
It is absolutely fascinating just knowing the fact that, we are currently living in the best era in terms of technological advancement. This is of course, relative to the past times when every tech-item was very dull, probably heavy, and functionally slow.
The breakthrough invention of a...
Samsung Galaxy A03s zimeshafika brand new
Karibu tukuhudumie tupo kariakoo china plaza ground floor shop no 4 ,tupigie 0622666111
zinakuja na warranty ya miaka 2
Key Specs
☑️Display
6.50-inch (720x1600)
☑️Processor
MediaTek Helio P35
☑️Front Camera
5MP
☑️Rear Camera
13MP + 2MP + 2MP
☑️RAM
3GB...
Habari ya mchana,
Kwa wana it wote lakini kwa upande wakutengeneza mambo haya
Mobile Application
Desktop Application
Website
Kama umewahi kutana na changamoto ya kazi kushindikana kwa vitu hivyo au unayo kazi imeshindikana au umetafuta mtu akufanyie kazi ikashindikana. Basi weka komenti yako...
Leapfrogging is overrated, says a Harvard development professor, Yinka Adegoke
West Africa Cellular Telecommunications business
A revolution without industrialization. (EPA/Legnan Koula)
Over the past few weeks there have been several stories about the growing penetration of smartphones...
Niliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake.
Zina nini hizi?
Ni raisi sana kuiset smartphone yako iwe kama CCTV camera, IPwebcam ndio suluisho la tatizo ilo. Fatana name mpaka mwisho wa Tutorial hii. IPwebcam is easily the best of the lot because it works through your browser, which gives it the cross platform compatibility.
Ili kuset simu yako iwe kama...
Huku kwetu Buzza mpaka Kwamtogole ukiwa na smartphone unajiunga na Instagram unatangaza uwezo wako wa kitu chochote unachoweza kufanya. Shughuli isiyohitaji mtaji mkubwa ni kufanya kazi za ndani. Kufua, kupiga pasi, kusafisha vyombo, usafi wa nyumba, kupika nk.
Si watu wengi wanahitaji...
Sasa hivi watu wako busy kuperuzi mitandaoni kwani dunia ni kama Kijiji mtu unapata vyote ambavyo unavihitaji..
Ukitaka kufurahi na kuvunja mbavu huitaji mpenzi akuchekeshe unaingia katika page za vituko unakutana na comedy.
Ukitaka mtu wa kufanya naye sex unaingia tu katika site za X...
Habari!
Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu wakati kampuni hiyo ikigeukia katika maeneo mengine ya kibiashara wakati biashara yake ya simu janja...
Asalaam aleikum. Kila siku kuna watumiaj wapya wa mitandao mbalimbali ya kijamii na internet kwa ujumla. Nichukue ukurasa huu tusaidiane kujua mitandao yenye faida kwa kila mpenda habar, maono, hekma na mambo ya kufaidisha kupitia simu ya mhusika.
Wengine wanakuwa na hamu tu ya kumilik simu...
heri nikose apps zote kwenye simu ila sio hizi mbili 🤣 🤣 🤣 🤣
apple music kwa ajili ya kusikiliza miziki
amazon kindle kwa ajili ya vitabu
labda naweza pata ya ziada apa
Habari wadau,
Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna...
Wachungaji ni walewale, wadau ni walewale, wenye midomo ya kusemea wenzao!
Niliwahi kusema hapa! Na narudia tena
Tatizo la Watanzania tukiwa maarufu au viongozi au wachungaji ni kujidai tunajua kila kitu!
Kiongozi wa siasa ndiye msemaji wa afya, kiongozi wa siasa ndiye mshauri wa ujenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.