smartphone

  1. rumplelstiltskin

    Tanzania kuanza kutengeneza smartphone

    Tanzania kuanza kutengeneza smartphone
  2. I_manyota

    THINGS TO DO BEFORE UPDATING [OS/APPS] YOUR SMARTPHONE- MAMBO YA KUFANYA KABLA YA KUSASISHA

    Okay, sijui kama ishawahi kuwa posted humu au la, ila tufanye kama haijawahi kuwa posted tukumbushane tu. Najua hapo uko na smart yako moja amazing sio? 😁😁 haya basi fresh, sasa waheshimiwa hivyo vi toy vyetu amazing mara kadhaa tunakuta vinaanza ku act tofauti na tulivyozoea mara app flani...
  3. E

    Waagizaji wa smartphone China jumla/rejareja

    Habari za muda huu! Rejea kichwa cha habari hapo Juu sisi ni waagizaji wa smartphones kwa gharama nafuu kutoka China specialized kwenye iphone na Samsung. Mzigo hutumia siku 8-14 kwa maana haizid week 2 unakua ushapata simu yako mpya kabisa na kwa gharama nafuu mno wote tunawakaribisha Kuanzia...
  4. S

    Uchaguzi 2020 Watanzania wengi sasa wanamiliki smartphone ili kupashana habari za uchaguzi hasa zinazohusu wapinzani

    Kwa wake wanaodhani kuwa kudhibiti vyombo vya habari kuripoti habari za wapinzani kutawasaidia, wajue tu wanajidanganya kwani hivi sasa watanzania wengi wanamiliki smartphone hasa maeneo ya mijini, hivyo watazitumia kupashana habari za uchaguzi zikiwemo habari za wapinzani. Lissu kasema...
  5. Humayra

    Phone4Sale Smartphone for sale @150k only

    Leagoo M9 Inauzwa. 2GB RAM + 16GB ROM Memory Dual SIM 2850mAh li-polymer Battery. Imetumika wiki moja tu, haina tatizo lolote. Inapatikana DSM Ukihitaji ni PM
  6. dunstech

    Fahamu usiyoyajua kuhusu Imei namba ya simu yako

    IMEI NUMBER NI NINI? IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular network ni network ambayo unatumia kupiga simu au kuunganishwa na internet. Kwa simu zenye sim card...
  7. K

    Natafuta miwani ya kublock mwanga wa computer, tv na smartphone

    Wakuu wapi nitapata hii miwani kwa Mwanza au Geita na gharama zinakuaje na pia je ipo original na fake kama bidhaa nyingine au yote iko okay.
  8. A

    Phone4Sale Brand New Samsung A10s for 295,000 TShs

    - Brand New Samsung A10s - Boxed with 2 years warrant Specifications Display6.20-inch (720x1520) Processor1.5GHz octa-core Front Camera 8MP Rear Camera13MP + 2MP RAM 2GB Storage32GB Battery Capacity4000mAh OS Android 9 Pie
  9. Kim Il Kwon

    Nahitaji smartphone Samsung au iphone

    Napatikana Kagera Ngara. Bajeti yangu 350k. Mwenye kua nayo niPM.
  10. TECNO Tanzania

    Una Maoni Gani Kuhusu TECNO, Bajeti Yako na Namna Ulivyoanza Kutumia Smartphone

    Hello wadau! Ikiwa imebaki wiki moja tuumalize mwezi Januari, leo tujadiliane kitu kimoja. Kwa namna moja ama nyingine simu zetu za TECNO zimekuwa na watumiaji wengi sana Tanzania. Huku ikionesha kuwa asilimia kubwa ya watu walioanza kutumia smartphone kwa mara ya kwanza kulingana na tafiti zetu...
  11. FRANC THE GREAT

    Samsung yaongoza katika soko la 'Smartphones' za 5G

    Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imekuwa kinara katika soko jipya la 'Smartphones' zenye uwezo wa 5G ikiweza kuzalisha simu za 5G takribani robo tatu ya uzalishaji wote ulimwenguni katika kipindi cha robo ya tatu (Third Quarter) kwa mujibu wa utafiti kutoka IHS Markit | Technology...
  12. Miki123

    Simu Bora kwa Mwaka 2019: Ni toleo lipi la smartphone ni bora kupita mengine kwa mwaka huu?

    Nimepita mtandao wa Android Police ambao wameichagua Pixel 3A kuwa ndio simu bora kwa mwaka 2019. Sasa nikiangalia bei yake si ya kitoto halafu sioni kama ina watumiaji wengi Tanzania. Sasa kwa sisi wa watumiaji wa Tecno, Samsung, Xiaomi, Oppo na nyinginezo zilizo na watumiaji wengi Tanzania...
  13. beth

    Kwanini ni muhimu ku-restart simu yako angalau mara 1 kwa wiki

    Ni wazi kuwa smartphone zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku kiasi kwamba pale simu yako inapokuwa imezima angalau kwa dakika chache unakuwa na wasiwasi wa kushindwa kufanya mambo yako ya kila siku. Lakini ni kweli kwamba “kila kitu huchoka” nahisi hii ni sababu ya wewe kuendelea kusoma...
  14. Gunther1

    Vivo, the fifth-largest smartphone maker in the world and the second in Asia, plans to launch a regional office in Nairobi

    India, China in battle for Kenya’s smartphone market by Jackson Okoth Kenya’s bubbling smartphone market is set to be stirred following the entry of Global technology giant Vivo, the fifth-largest smartphone maker in the world and the second in Asia. The Indian firm plans to launch a...
  15. B

    Hizi smartphone zimeleta kizungumkuti, ndiyo chanzo kikubwa cha matatizo

    Habari wana JF, Niende straight to the point. Unakuta mgeni amekuja kukutembelea nyumbani kwako/kwenu wote mnakuwa bize na simu kwenye mtandao kati yenu panakuwa hakuna stori zaidi ya salamu na kuitikiana tu ehee. Mwingine anajibu hata kisichoulizwa/ambiwa,dereva naye anachati mpaka anasimama...
Back
Top Bottom