soka la tanzana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    TotalEnergies U-20 Africa Cup of Nations (AFCON) CECAFA Qualifiers 2024

    07 October 2024 MICHUANO YA KANDA YA CECAFA U-20 KUELEKEA FAINALI ZA AFCON YA U-20 INAENDELEA DAR ES SALAAM https://m.youtube.com/watch?v=4u3RG9q7e7w Benchi la ufundi la Tanzania chini ya kocha mkuu Charles Boniface Mkwasa akisaidiwa na Kalimangonga Ongala, Juma Kaseja.. RISING Stars...
  2. utopolo og

    Kuna kamchezo fulani unatumika wachezaji wa timu pinzani kuumiza wachezaji wa Yanga

    Ukijaribu kufatilia kuanzia mechi ya Yanga vs Kmc na leo Yanga vs Pamba Jiji utagundua kuna mkakati wa maksudi kuumiza wachezaji wa Yanga ili tarehe 19/10 Wachezaji wengi wa Yanga wawe majeruhi na Simba ipate angalau mteremko kwwnye mechi ya watani wa jadi. Benchi la ufundi la Yanga lina kazi...
  3. KING MIDAS

    Tetesi: Baadhi ya Wachezaji wa Tabora United watelekezwa, wanatafuta nyumba za kupanga kwa gharama zao

    HILI LA TABORA NI KIBOKO🙌 Baadhi ya wachezaji wa Tabora United wameonekana mitaani wakiwa na watu wanaodaiwa kuwa madalali, wakiwatafutia nyumba za kupanga baada ya uongozi wa timu hiyo kuwatelekeza katika nyumba ya wageni walikokuwa wakiishi tangu kuanza kwa maandalizi ya msimu huu. Chanzo...
  4. Dalton elijah

    Wachezaji wengi wa soka wanakabiliwa na hali ya kustaafu wakiwa hawana fedha kwa sababu kadhaa, zikiwemo hizi hapa

    ✍️Usimamizi mbaya wa fedha baadhi ya wachezaji: Hukosa ujuzi au elimu kuhusu jinsi ya kusimamia mapato yao makubwa wanapokuwa kwenye kilele cha taaluma yao. Matokeo yake, wanatumia pesa kwa anasa au uwekezaji usio na faida, na wanapostaafu, wanakosa vyanzo vya kipato. ✍️Matarajio ya mapato ya...
  5. uhurumoja

    Naona league ya NBC inahamia visiwani Mzizima Dabi kupigwa huko

    Mzizima derby kupigwa Zanzibar wakati viwanja vipo nadhani hata mechi zingine kubwa kama derby ya kariakoo itapelekwa mwanakwerekwe na hatimae Sasa league ya NBC inahamia Zanzibar Tujipange na ndondo za shafii
  6. Kinumbo

    Kwa sasa sijaona klabu yoyote ile ya kuifunga Yanga SC ukandaa huu wa Afrika Mashariki na Kati

    Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati klabu bora zaidi kwa sasa ni Yanga SC, ukubali ukatae ila huu ndio ukweli mchungu. Binafsi sijaona klabu inayo weza kupambana na Yanga uwanjani ikatoka na matokeo chanya. Mimi sio shabiki wala mwanachama wa klabu ya Yanga SC wala katika maisha yangu mpaka...
  7. M

    Kocha Gamondi atafutiwe kocha msaidizi mzawa

    Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni...
  8. L

    Bodi ya Ligi tunaomba Simba awe anacheza mara 2 kwa wiki ili kutuondoa kwenye upweke wa burudani

    Naiona mbali sana kesho dhidi ya Fountain Gate sijuwi golini atakaa nani, mbavu za kulia na kushoto atakuwa nani, mabeki kesho ni nani, nani atacheza na Che Malone baina ya Chamou na Hamza, je kesho viungo ni nani, Ngoma au Kagoma au Okajepha, pembeni kesho yuko nani, Balua na Chasambi au Kibu...
  9. kavulata

    Azam msione aibu kufukuza benchi la ufundi, timu haichezi vizuri

    Usajili ni mkubwa lakini timu haiko vizuri kusema ukweli. Hata nafasi hii ya kucheza CAF championship ilitokana na TFF kuruhusu Tabora united yenye wachezaji 8 uwanjani kucheza na Azam na kujipatia pts 3 na magoli meeengiiii yaliyosababisha kuishinda Simba kwa magoli kwenye msimamo wa ligi...
  10. SAYVILLE

    Tajiri Hersi Said anaisaidia Yanga kwa mapenzi yake

    Maisha yanaenda kasi sana. Rais wa Yanga ambaye hadi majuzi alikuwa ni mwajiriwa wa GSM, aliulizwa kama bado anaendelea na ajira yake pale GSM. Injinia Hersi akatoa ufafanuzi usio na shaka yoyote kuwa yeye hapokei hata shilingi 100 kutoka pale Deportivo la Utopolo. Akasema yeye status yake...
  11. Labani og

    Je, wachezaji gani wa Simba wanaweza penya 11 ya Yanga?

    Wakuu Kwa jinsi kikosi kizito Cha Yanga ( Real Madrid ya Africa) kilivyoshonwa Kwa mastaa wazito na kukifanya kiwe kikosi hatari Kwa ukanda huu wa CECAFA na kusini mwa Jangwa la Sahara Kwa mfano viongozi wa Yanga kama wakiamua kuongeza wachezaji wa pale Simba, Je ni wachezaji gani wa Simba...
  12. Wakusoma 12

    Hivi VAR itaanza lini kutumika kwenye Ligi kuu ya NBC 2024/2025? Maana kumekuwa kimya na ligi imeshaanza

    Habari ndiyo hiyo wakuu mliopo Dar es salaama vipi mambo tayari ama Bado? Uzi tayari. Katika nyakati tofauti kwa mwaka huu tuliambiwa na TFF kuwa VAR itaanza kutumika kwenye michezo ya ligi kuu ya NBC katika baadhi ya viwanja vitakavyokidhi vigezo. Lakini ligi imeanza tunakwenda mzunguko wa...
  13. GENTAMYCINE

    Huenda Yanga SC wenye akili wakawa ni Wawili Watatu tu kwa Kauli hii ya Rais Hersi Said

    𝗛𝗘𝗥𝗦𝗜 𝗔𝗜𝗞𝗔𝗡𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 “Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga, sipati Tsh. 100 Yanga, mimi kwa maana ya Rais wa Klabu sio mfanyakazi wa klabu, wala haajiriwi na klabu, Makamu wa Rais pia, wajumbe wa kamati ya utendaji pia sio wafanyakazi wa Yanga. “Wafanyakazi wa...
  14. Mkalukungone mwamba

    Okrah aiponza Yanga, yapewa siku 45 kuilipa Bechem United Mil. 216

    Shirikisho la soka duniani ( FIFA ) limeitaka klabu ya Yanga kuilipa kiasi cha USD 80,000 sawa na Tsh Milioni 216 klabu ya Bechem United ya nchini Ghana ,pesa ya malipo iliyosalia katika uhamisho wa Augustine Okrah kutoka Bechem United kwenda Yanga. FIFA imeitaka klabu ya Yanga kulipa pesa hiyo...
  15. D

    Azam FC na Dabo mambo magumu sana

    I will be short. Dabo is required to make Azam fc qualify for the group stage or compete with pyramid fc at high level to satisfy the board and the owner, so as to keep his job. Reports: Fans are mad of his tactics, yielding no results. He might be fired unless proven otherwise
  16. GENTAMYCINE

    Je, hiki kilichofanywa na Klabu ya Pyramids ya Misri dhidi ya Klabu ya JKU ya Zanzibar siyo Dharau kwa Wazanzibari na Watanzania kwa Ujumla?

    Baada ya kuona Klabu ya JKU ya Zanzibar ina Umasikini ( Ukata ) hasa katika Kushiriki Michuano ya Kimataifa Klabu ya Pyramid kutokea nchini Misri imeamua kutumia Umasikini wa JKU ya Zanzibar kwa kuwaomba Wakubali kucheza Mechi zao zote Mbili huko Misri na kwamba wasikubali kuja Kucheza mchezo...
  17. Carasco Putin

    Je ni sahihi kwa mdhamini na mwendeshaji wa klabu moja kudhamini vilabu vingine?

    Kujisifiia Mmesajili Wachezaji wazuri Alafu Bado mnawekeza Nguvu Kwenye Timu Ndogo Siku mkikutana Mpate Mseleleko Ligi Namba 5 Ya Mchongo Mchongo tu. Wana Simba Nguvu Yetu Akili Yetu Iwaze Michuano Ya Shirikisho Basi Siyo Hii Ligi Ambayo Mwenzio Tayari Ana Point 36 Kibindoni😡
  18. kavulata

    Manula ameivunja ndoa ya Simba na Azam Sheikh akiwa Yanga

    Simba na Azam ni marafiki wakubwa, wanapeana hadi wachezaji kilaini kabisa. Lakini baada ya goli 5-1 dhidi ya Yanga (sheikh) Simba ikamsukumia zigo lote la lawama Manula. Manula alitaka kutimkia Azam lakini Simba wakamwekea ngumu kwakuwa Inafahamika kuwa Simba iliumia sana kunyang'anywa na Azam...
  19. NALIA NGWENA

    Haji Manara anapaswa kumuachia Ally Kamwe kuwa msemaji mkuu wa Yanga sc, kwa maana wakati wake umeisha (umepita)

    Kila kitabu na zama zake , Haji Manara alikua moto sana kipindi anashindana na Murro wakati Haji akiwa Simba sc na Muro akiwa msemaji wa Yanga hakika nilishuhudia na kusikia maneno yenye mbwembwe na kejeli humo humo ndani yake hakika gemu ilichangamka mno tena mno na hiyo yote kwa kua walikua...
  20. Mwamuzi wa Tanzania

    Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

    Biashara ya mpira wa miguu inalipa sana. Unajazwa upepo na wewe mjinga unafula na kusema tumeujaza uwanja. Wewe hujaujaza uwanja bali wenye akili wamekujaza uwanjani kisha wanaondoka na mamilioni. Somebody mnayemwita msemaji wa timu yenu anawaambia tusikubali lazima tujaze uwanja nyie kwa...
Back
Top Bottom