south africa

  1. BONGO 3D

    Nimechati na mwandishi wa Afrika Kusini: wazungu wanaisema vibaya Simba. Zoran anafanya makusudi avunjiwe mkataba na kijana wake walipwe mamilioni

    Lorenz kohler ni mwandishi mkubwa sana south africa, matter of fact is, ni best sports journalist wa huko award hiyo kashinda mwaka huu Kuna siku nilibishana naye facebook kuhusu lile sakata la simba na kocha wa pirates, aliandika yake nikayapuuza lakini kuna trend nimejaribu leo kuuunganisha...
  2. R

    Wakati Nigeria ikitengeneza $3.7bn, South Africa $ 1.7 bn kwa mwaka kwa kilimo halali cha bangi, Mwigulu na Samia wanazidi kuwakamua ' Damu' Wa- Tz.

    Wakuu, nadhani kila mmoja wetu humu anaumia au amesikia kilio cha kila Mtanzania hasa baada ya kuanzisha tozo kila tunapotoa pesa kwenye account zetu aidha kwenye counter au ATM. Viongozi wetu Sasa hivi hawafikilii nje ya box au tuseme wamefikia mwisho wa kufikiria. Sasa hivi watanzania tulio...
  3. Msanii

    Nimepokea taarifa ya baadhi ya raia wa Afrika Kusini kuwataka wageni kuondoka nchini mwao

    Nimepokea hivi karibuni voice note kutoka kwa Mtanzania anayeishi Afrika Kusini. Sauti hiyo ya Dudula Master ambaye ni mhamasishaju mkubwa wa Xhenophobia ametoa onyo dhidi ya wageni wote kuondoka Afrika ya Kusini kuanzia tarehe 02 Septemba 2022 hadi March 2023. Nchi zetu hususan Tanzania...
  4. Kevin85ify

    Kenya has surpassed South Africa as Africa’s top avocado exporter

    Kenya has surpassed South Africa to become Africa’s top exporter of avocados. In Central Kenya in particular, where the majority of the country’s small-scale avocado farmers are found, coffee bushes are fast being replaced by avocado trees. A problem surrounding this new production is theft...
  5. Saad30

    Mrejesho kuhusu mwanamke muuza bar South Africa 🇿🇦

    Salamu wakuu.. Juzi siku ya jumapili nilisema wacha nitoke niende zangu club nikapate beer 🍺 kadhaa ila sjaenda club anayofanya demu ambaye nilikuwa natoka nae. Wiki iliyopita alienda kwao KZN (Durban) ila mimi naishi Jozi. Sasa bana kipindi napiga mambo yangu na mizuka imepanda ya akili za...
  6. Crocodiletooth

    Vijana wa Kitanzania na maisha ya mashaka South Africa

    Maisha wanayoishi huko ni mabaya kweli kweli.
  7. MK254

    Majirani huwa mnakwama wapi kwenye masuala ya teknolojia, hamskiki kwenye start up zozote

    Hapa Afrika, mataifa manne tu ndio mambo yao yanaongoza kwenye ulingo huu. ======= Kenya ranks among Africa’ four biggest destinations for tech start-up funding after Nigeria, Egypt and South Africa. The African Tech Startups Funding Report (2021) shows that last year in the African tech...
  8. C

    Wachambuzi wa Moroco na Afrka Kusini hawajakaangia sumu teams zao?

    Yaliyotokea yanasikitisha sana, Walibya wamenyimwa penalty ila afadhali kidogo ukilinganisha na vituko vya Berkane , nasubiri kwa hamu manguli ya soka kwenye nchi hizo waanze kuzishukia teams zao kwa hasira zote maana simba hapa kuna team ilipewa escort ya pikipiki moja ikalalamika wachambuzi...
  9. M

    5 things you didn't know about the WHITES ONLY TOWN in South Africa.

    People in the town of Orania, which is in South Africa, are mostly white. This makes it the most white town in the country. While there isn't a law against Black people taking part, there are a few rules. Black South Africans are often afraid to enter because they think the Afrikaners will...
  10. N

    CEO Barbra kakiwasha South Africa Rise FM, Show ya Robert Marawa apangua fitina zote

    Alikuwa live kwenye show kubwa ya redio ya michezo iliyo hosted na yule mtangazaji maarufu Robert Marawa aliyekuwa mtangazaji wa supersport na mchumba wa zamani wa bOONGE MOJA LA DEMU liitwalo Pearl Thusi Back to the point, ni kwamba CEO kamchachana sana yule kocha katoa ushahidi wa kila aina...
  11. GENTAMYCINE

    Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC utaandaa Uongo wa kutuambia kwanini Bernard Morrison hatoenda South Africa tarehe 24 April, 2022

    Na GENTAMYCINE najua ili 'Kutuzuga' zaidi na Wawahadae Majuha (Mazuzu) wengi huyu Mchezaji ataambiwa ama ajifanye Kaumia Mechi yetu ya Kwanza na Orlando Pirates FC tarehe 17 April, 2022 au acheze Faulo apate Kadi Nyekundu ili sababu ya Yeye kutoenda Afrika Kusini katika Mechi ya marudiano na...
  12. Teko Modise

    Leo tuikumbuke World Cup ya 2010 pale South Africa

    Ilikuwa ni michuano ya kwanza kabisa kufanyika Afrika. Lakini ni michuano iliyoacha historia kubwa sana kwa wapenzi wapenda kandanda ulimwenguni kote. Mpira ulipigwa kwelikweli, nakumbuka ule mpira wa michuano uliotengenezwa na kampuni ya Adidas ukijulikana kama Jabulani. Mavuvuzela pia...
  13. MK254

    Kenya will be the third country after South Africa and Egypt to have a facility that can fully assemble certified ships

    An aerial shot of MV Uhuru II being constructed at the Kenya Shipyards Limited in Kisumu. FILE PHOTO | NMG In August this year, the MV Uhuru 2 will set sail for the first time. This will be a major milestone in Kenya’s marine industry as it will be the first ship to have been assembled locally...
  14. Artifact Collector

    Apartheid ingetakiwa iendelee South Africa

    Kwenye maisha moja ya Somo nililojifunza usitumie nguvu kubwa sana kumsaidia mtu, msaidie mtu kiasi alafu endelea na maisha yako Kwanin nasema hivyo mfano Kuna mtu na kaka yake tulimsaidia alikua na shida kinoma kwao akawa anakuja kwetu akawa anaishi kama mwanafamilia tulihakikisha hatumtengi...
  15. M

    Waafrika tuwe wachoyo kutoruhusu wageni kuja kuzaa na kuchuma kwenye bara letu

    Mzuka wanajamvi! Naandika huu uzi nikiwa na jazba na hasira Sana. Familia ya Elon Musk ni wazungu Africa kusini iliwakaribisha. Elon Musk akazaliwa Africa kusini kulelewa katika bara letu. Elimu ya awali msosi hewa yote kuvuta ni ya bara letu. Amekuwa kupitia ardhi ya bara letu. Iweje leo...
  16. MK254

    Kenya becomes the second African country after South Africa to own salvage boat

    Kenya becomes the second African country after South Africa to own salvage boats after the Kenya Ports Authority (KPA) acquired a $16.65 million multipurpose salvage tugboat and three ship-to-shore gantry cranes at $28.9 million. The salvage tugboat bought from Turkey and three ship-to-shore...
  17. Mario Kempes

    Je naweza kutumia king'amuzi cha Dstv cha South Africa hapa Tanzania?

    Naombeni wenye kujua mje mnijuze na je malipo ntalipaje nikiwa hapa nyumbani maana nimegundua king'amuzi cha Dstv cha South Africa ni gharama nafuu kulinganisha na hapa kwetu
  18. Aizna

    Wanaoyabeza kuyadharau maisha ya South Africa (SA) Astroway

    VIP
  19. and 300

    Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

    Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ukimpa show Kali anakuachia Dola za maana. NB...
  20. BabaMorgan

    Mapara A Jazz yawezekana wakawa cheap zaidi kulinganisha na wasanii wengine maarufu kutoka South Africa?

    Wakali wa hit Amapiano ya John vuli gate (Mapara A Jazz) kwa mtazamo wa kiutafiti yawezekana wakawa ndio kundi cheap na rahisi kupatikana compared na makundi yenye mfanano na wao kutoka bondeni kwa Madiba. Thamani ya vitu au watu upimwa kwa Sifa mbalimbali ila kubwa ni upekee na upatikanaji...
Back
Top Bottom