sri lanka

Sri Lanka (UK: , US: (listen); Sinhala: ශ්‍රී ලංකාව, romanized: Śrī Laṅkā; Tamil: இலங்கை, romanized: Ilaṅkai), formerly known as Ceylon, and officially the Democratic Socialist Republic of Sri Lanka, is an island country in South Asia. It is situated on the Indian Ocean, southwest of the Bay of Bengal, and southeast of the Arabian Sea; while being separated from the Indian subcontinent by the Gulf of Mannar and the Palk Strait. Sri Jayawardenepura Kotte is its legislative capital, and Colombo is its largest city and financial centre.
Sri Lanka's documented history spans 3,000 years, with evidence of prehistoric human settlements dating back at least 125,000 years. It has a rich cultural heritage, and the first known Buddhist writings of Sri Lanka, the Pāli Canon, date back to the Fourth Buddhist council in 29 BCE. Its geographic location and deep harbours made it of great strategic importance from the time of the ancient Silk Road through to the modern Maritime Silk Road. Its location as a major trading hub made it known to both the Far East as well as to Europe from as far back as the Anuradhapura period. The country's trade in luxury goods and spices attracted traders of many nations, creating Sri Lanka's diverse population. During a period of great political crisis, the Portuguese, whose arrival in Sri Lanka was largely accidental, sought to control the island's maritime regions and its lucrative external trade. The Portuguese possessions were later taken over by the Dutch. The Dutch possessions were then taken by the British, who later extended their control over the whole island, colonising it from 1815 to 1948. A national movement for political independence arose in the early 20th century, and in 1948, Ceylon became a republic and adopted its current name in 1972. Sri Lanka's recent history has been marred by a 26-year civil war, which ended decisively when the Sri Lanka Armed Forces defeated the Liberation Tigers of Tamil Eelam in 2009.Sri Lanka is a multinational state, home to diverse cultures, languages, and ethnicities. The Sinhalese form the majority of the nation's population; and the large minority of Tamils have also played an influential role in the island's history, while Moors, Burghers, Malays, Chinese, and the indigenous Vedda are also established groups. It has had a long history of international engagement, as a founding member of the SAARC, and a member of the United Nations, the Commonwealth of Nations, the G77, and the Non-Aligned Movement. Sri Lanka is the sole South Asian country rated high on the Human Development Index, with the second highest per capita income in the region.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone mwamba

    Sri Lanka: Wakazi zaidi ya milioni 22 waishio nchini humo wamelala gizani, na yote sababu ya Tumbili

    Sasa hii nayo imetokea usiku wa kuamkia Februari 10, 2025 huko Sri Lanka ambapo wakazi zaidi ya milioni 22 waishio nchini humo wamelala gizani, na yote sababu ya Tumbili mmoja tu. Unaambiwa Tumbili huyo aliyeruka na kuingia kwenye mfumo wa gridi ya umeme alisababisha umeme kukatika karibu eneo...
  2. Kaka yake shetani

    Shirika la kitaifa la ndege la Sri Lanka limelaumu uwepo wa panya kwenye ndege kwa kusitisha safari za ndege kwa siku tatu

    Shirika la kitaifa la ndege la Sri Lanka limelaumu uwepo wa panya kwenye ndege kwa kusitisha safari za ndege kwa siku tatu. Panya huyo aliyejificha bila kupatikana kwa siku tatu, alionekana kufurahia safari ya ndege ya Srilankan Airlines Airbus A330 kutoka mji wa Lahore, nchini Pakistan siku ya...
  3. Dalton elijah

    Sri Lanka yatangaza uchaguzi mkuu wa kwanza tangu kujiuzulu kwa Rais

    Sri Lanka imetangaza uchaguzi wake wa kwanza nchini kote tangu rais wake kutoroka na kujiuzulu kutokana na maandamano yaliyoenea, na kuvuruga Nchini .. kura za serikali za mitaa zitafanyika kabla ya mwisho wa Februari, maafisa walisema Jumatano, baada ya kucheleweshwa kwa mwaka mmoja kwa sababu...
  4. BARD AI

    Rais wa Sri Lanka afuta kodi zote kwenye Taulo za Kike

    Uamuzi huo umefanywa kwa lengo la kuwasaidia wanawake na wasichana wasioweza kumudu gharama hizo kutokana na mzozo wa kiuchumi unaolikumba taifa hilo. Ofisi ya Rais Ranil Wickremesinghe imeagiza kufutwa mara moja kwa Ushuru wa Forodha, Ushuru unaolipwa kwenye Viwanja vya Ndege na Kodi nyingine...
  5. Lady Whistledown

    Muswada wa kupunguza mamlaka ya Rais wa Sri Lanka mbioni kuwa sheria

    Waziri wa Mambo ya Nje, Ali Sabry amesema muswada wa marekebisho ya #Katiba unaopunguza mamlaka ya Rais na kurejesha utawala shirikishi unatarajiwa kuwa sheria katika wiki chache zijazo SriLanka pia iko katika mchakato wa kuandaa sheria mpya ya kupambana na ugaidi ambayo itaambatana na kanuni...
  6. beth

    Sri Lanka: Vikosi vya Usalama vyafukuza waandamanaji

    Siku moja baada ya Rais Ranil Wickremesinghe kusema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wanaoandamana, Vikosi vya Usalama vimevamia kambi ya Waandamanaji katika Mji Mkuu wa Colombo, na kuwafukuza waliokuwa nje ya Ofisi ya Rais. Mara baada ya kuapishwa, Rais Wickremesinghe aliweka wazi kuwa...
  7. beth

    Sri Lanka: Bunge lampitisha Ranil Wickremesinghe kuwa Rais

    Usalama umeonekana kuimarishwa eneo la Bunge wakati Wabunge wakijiandaa kupiga Kura itakayoamua nani atakuwa Rais wa Nchi hiyo. Rais wa Mpito wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe ni miongoni mwa wagombea watatu wa Urais Wananchi wengi wameonekana kutomuunga mkono Wickremesinghe ambaye awali...
  8. voicer

    Mnaofurahia Mikopo, Sri Lanka pia iIianza kama sisi

    Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza, lakini usiokwepeka. Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa. Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara...
  9. chinchilla coat

    Kenya yahofiwa kukumbwa na yaliyoitokea Sri Lanka

    Nimeona hii habari kwenye ukurasa wa chombo kimoja cha habari huko Kenya. Kuwa wachambuzi wa masuala ya uchumi na siasa wanahofia Kenya inaweza kukumbwa na kilichoitokea Sri Lanka sababu hali ya nchi hiyo inaelezwa kufanana na ile ya Sri Lanka. Sri Lanka ni nchi iliyoelemewa na madeni na...
  10. JanguKamaJangu

    Wickremesinghe aapishwa kuwa rais wa mpito wa Sri Lanka

    Aliyekuwa Waziri Mkuu, Ranil Wickremesinghe ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa Sri Lanka hadi Bunge litakapomchagua mrithi wa Gotabaya Rajapaksa, aliyeikimbia Nchi hiyo na kisha kujiuzulu kufuatia maandamano ya umma. Maandamano hayo yalitokana na mallamiko kuhusu hali duni ya kimaisha Nchini...
  11. beth

    Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu

    Rais Gotabaya Rajapaksa amewasilisha barua ya kujiuzulu Urais wa Nchi hiyo Spika wa Bunge, Mahinda Yapa Abeywardenena. Taarifa ya Bunge inasema wasilisho limefanya kupitia Baruapepe Inadaiwa ametuma Barua hiyo baada ya kuwasili Singapore. Taifa hilo limesema Rajapaska ameruhusiwa kuingia kwa...
  12. JanguKamaJangu

    Rais wa Sri Lanka atoka Maldives akimbilia Singapore

    Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa anatarajiwa kusafiri kutoka Maldives alikokimbilia kisha kuelekea Singapore anakotarajiwa kuwasili jioni ya leo Julai 14, 2022. Vyanzo vya habari zimeeleza kuwa Rajapaksa alikuwa akitarajiwa kupanda ndege binafsi kwa ajili ya safari hiyo. Upande wa pili...
  13. beth

    Hali ya Hatari yatangazwa Sri Lanka

    Waziri Mkuu wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe ambaye anakaimu nafasi ya Urais wa Nchi hiyo kwa sasa baada ya Rais Gotabaya Rajapaksa kukimbia Nchi ametangaza Hali ya Hatari na muda wa Wananchi kutotoka nje Inaripotiwa kuwa, mamia ya Waandamanaji wamezingira Ofisi yake Jijini Colombo. Polisi...
  14. JanguKamaJangu

    Hatimaye Rais wa Sri Lanka akimbia Nchi kufuatia shinikizo la waandamanaji

    Rais wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa ameondoka nchini mapema Jumatano kuelekea kisiwa jirani cha Maldives, maafisa wamesema. Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 73, mke wake na mlinzi wake ni miongoni mwa abiria wanne waliokuwa ndani ya ndege ya kijeshi ya Sri Lanka aina ya Antonov 32 ambayo...
  15. beth

    Kaka wa Rais wa Sri Lanka, Basil Rajapaksa, azuiwa kutoka nje ya nchi

    Basil Rajapaksa ambaye pia ana Uraia wa Marekani amezuiwa na Maafisa wa Idara ya Uhamiaji kuondoka nje ya Sri Lanka. Bado haijafahamika alikuwa anaelekea wapi Rajapaksa alijiuzulu nafasi ya Waziri wa Fedha Aprili 2022 baada ya maandamano kushika kasi kutokana na uhaba wa mafuta, chakula na...
  16. Konseli Mkuu Andrew

    Tunavyojidanganya kuhusu mapinduzi huko Sri Lanka

    Salaam wakuu, Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru...
  17. JanguKamaJangu

    Rais Rajapaksa wa Sri Lanka huenda akakimbia nchi

    Rais wa Sri Lanka ambaye anatarajiwa kukabidhi madaraka Julai 13, 2022, Gotabaya Rajapaksa inadaiwa alipelekwa katika kambi ya jeshi la wanaanga karibu na uwanja mkubwa wa ndege wa kimataifa. Hayo yameelezwa na maafisa nchini humo wakati zikiongezeka fununu kwamba ataikimbia nchi na kwenda...
  18. Rashda Zunde

    Kinachoendelea Sri Lanka, Tanzania tushukuru kuwa na Rais Samia

    Ogopa sana taifa ambalo lenye bora kiongozi na sio kiongozi bora. Rais wa Sri Lanka alikua bora kiongozi, yeye alikuwa anafanya mambo kuwafurahisha wananchi bila kuangalia madhara yake hapo mbeleni. Alikuwa akikopa mikopo mikubwa isiyo na unafuu na kufanya mambo ambayo yameifanya Sri Lanka...
  19. beth

    Sri Lanka: Waandamanaji kutoondoka kwa Rais hadi ajiuzulu rasmi

    Waandamanaji wamesema wataendelea kubaki katika Makazi ya Rais na Waziri Mkuu hadi Viongozi hao watakapojiuzulu rasmi. Kwa mujibu wa Spika wa Bunge la Nchi hiyo, Rais Gotabaya Rajapaksa atajiuzulu Julai 13, 2022. Rais Rajapaksa hajaonekana na hakutoa kauli ya kujiuzulu mwenyewe moja kwa moja...
  20. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Sri Lanka waandamanaji wajipa raha ndani ya vyumba vya Ikulu

    Waandamanaji nchini Sri Lanka wamefanikiwa kuingia Ikulu na kufika mpaka chumbani kwa Rais. Waandamanaji hao wamerusha picha kwenye mitandao zikiwaonyesha wakiwa wamelala kitandani kwa Rais huku wengine wakiwa sebuleni wakiangalia 'breaking news' ya maandamano yao.
Back
Top Bottom