Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.
"Ndani ya mwaka mmoja ailetea Tanzania zaidi ya trillion 43"
Ikiwa ni mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kushika atamu, kumekuwepo na mijadara inayozungumzia juu ya mwenendo wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kusafiri ng'ambo tofauti za nje ya nchi ikilinganishwa na...
Nilisikia kuna Taifa Moja Afrika Mashariki jirani pia na Congo DR liliahidi kuisaidia Congo DR Kijeshi ila cha Kushangaza wamesitisha Uamuzi huo baada ya kugundua kuwa ukimgusa Rwanda jua umeigusa pia na Nduguye Uganda hivyo uwezekano wa kupata Kichapo Kitakatifu ni mkubwa ukizingatia 65% ya...
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Leo Baraza la Mitihani Taifa limetangaza matokeo ya kidato cha 6 na kwenye orodha ya shule 10 bora kuna shule takribani 3 za serikali zimeingia kwenye orodha hii.
Wote sisi ni mashahidi wa namna ambavyo Rais Samia Suluhu alivyoipa sekta ya elimu...
Hatimaye DRC inakwenda kupata amani ya kudumu, rais Uhuru ameshikilia hili bango kwa kutumia nguvu nyingi sana...
The US government has hailed Kenya’s President Uhuru Kenyatta for getting DR Congo and Rwanda to a meeting last week, saying it could ease tensions between the two neighbours.
US...
Rais Samia Suluhu ameingia madarakani tarehe 19 Machi 2021 baada ya kufariki kwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli. Hadi leo tarehe 2 Julai 2022 Rais Samia Suluhu ana siku 470 madarakani. Licha ya kuwa madarakani kwa siku chache, Rais Samia Suluhu ameweza kuonesha utofauti mkubwa...
Uhusiano wa utawala na chama tawala kwa upande mmoja na vyama vya upinzani kwa upande mwingne, haukuwa wa kuridhisha ukiringanisha na hali ilivyo hivi sasa chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.
Haikuwa ni hali ya kawaida kuona viongozi wa juu wa kisiasa wenye itikadi tofauti, kuketi pamoja...
Hati 4 za makubaliano zilizosainiwa baina ya Wizara za Tanzania na Oman
1. Ushirikiano katika masuala ya nishati ili kukuza taaluma na utaalamu
2. Ushirikiano katika Elimu ya Juu kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa wataalamu
3. Ushirikiano katika utalii kwa lengo la kuhamasisha uwekezaji na...
"Wananchi waache kuwa na lawama kwa sababu serikali yao iko makini sana katika kufanya tathmini ni aina gani ya mkopo iingie nchi yetu na ina tija gani kwa maslahi ya Taifa letu,"- Naibu Waziri wa Fedha Hamad Chande.
Chanzo: EastAfricaTV
Kama kuna mwaka ambao Tanzania ( Taifa ) letu hili...
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Muscat nchini Oman kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Kiongozi Mkuu wa Taifa la Omani Sultan Haitham bin Tariq Al Said wakati Wimbo wa Taifa wa...
BEI YA PAMBA JUU TENA,TOKA TZS 810 HADI TZS 1,800 MAKOFI KWA RAIS SAMIA
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg mpaka TZS 1,800/kg kwa kilo wakati huu wa Mama Samia Suluhu Hassan,
Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% ambalo wakulima wanalipwa mkono kwa mkono tena by " Cash money"...
Habari wakuu sijawahi andika hapa kwenye hili jukwaa la siasa ila leo acha ni andike kidogo tu.
Mhe Samia Suluhu Hassan ambaye ndiye raisi wetu ameonyesha muelekeo mzuri kwa kiasi kikubwa katika uongozi wake japo ni mapema kidogo.
Wapo watu bado sijui ni seme wana usingizi au bado giza...
Tunashukuru Bei mpya za mafuta zimetangazwa na zimeshaanza kutumika kwenye vituo vyetu vya mafuta kuanzia tarehe 1/6/2022.
Lakini nnachojiuliza kwanini LATRA imepata kigugumizi kutangaza nauli mpya zilizoshushwa kwa daladala na mabasi ya mikoani?
Mbona Bei ya mafuta ilipopanda kwa Tsh 100 tu...
Makundi yanayo muunga mkono Rais Samia Suluhu yana-reflect kwamba mama anaupiga mwingi kwa kazi anazofanya ndani na nje ya Tanzania.
Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
Wamachinga ✅
Wanasiasa / Wanachama wao✅
Viongozi wa dini ✅
Bodaboda ✅
Wanawake ✅
Vijana ✅
Wazee ✅
Walemavu...
Kati ya Jambo linaloshangaza wengi hadi sasa ni kitendo cha serikali kushindwa kujua kuwa billion 100 isingekuwa Suluhu la ongezeko kubwa la bei ya mafuta ya petrol na dizeli.
Watanzania wengi wasiolewa mambo walidhani kuwa ikiweka billion 100 basi kila kitu kuanzia mafuta na bidhaa zingine...
Mzee wa upako akiwa kwenye kongamano la viongozi wa dini la kumuombea na kumpongeza Rais Samia ameongelea kuhusu uongozi na ameongelea jinsi viongozi wa Tanzania walivyopatikana ikiwemo Samia, Magufuli na mwl Nyerere.
Mzee wa Upako(Anthony Lusekelo): Wakati Jakaya anamaliza uenyekiti wa chama...
1.Rais Samia Suluhu Hassan Mei 14,2022 aliidhinisha ongezeko la karibu 25% la kima cha chini cha mshahara,na hivyo kuashiria kupotoka kwa sera za mtangulizi wake huku kukiwa na maandamano kuhusu gharama ya juu ya maisha.
2.Rais Samia aliamua nyongeza ya 23.3%,huku akiongeza mishahara ya...
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..
Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya...
We all know how hard it has been for our people in Tanzania to access clean water for drinking and other domestic activities.
There have been a lot of promises from politicians, and a lot has been done to mitigate the water crisis in Tanzania, but unfortunately, not much has been achieved to...
Hivi ni takwimu walitoa Benki Kuu ya Tanzania mwanzoni mwa mwezi Machi 2022. Takwimu zinaonesha kwamba shughuli za utoaji wa huduma zimeimarika zaidi hadi kufikia Machi 2022 ukilinganisha na kipindi kama hicho Machi 2021.
Haya yote ni matunda ya kufunguka kwa uchumi, utalii na pia kuboreshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.