swahili

  1. luangalila

    BBC Swahili weledi umepungua

    Wadau habarini za usiku, Kama heading isemavyo, ni wazi hili shirika now days professionalism imepungua kwa kiasi kikubwa mnoo uandaaji wa habari usioeleweka. Mfano Usiku huu nimetazama ripoti iliyosomwa na Lulu Odhiambo kuhusu kupungua maambukizi ya corona huko Kenya sasa katka display pale...
  2. Zamiluni Zamiluni

    Ni ipi tofauti ya Swahiba na Rafiki?

    WanaJamvi na memba nijuzeni tafsiri au maana kati ya Swahiba na Rafiki? Tiririkeni.
  3. Jamii Opportunities

    Journalist at BBC Swahili Service - Dar es Salaam

    Journalist, BBC Swahili Service - Dar es Salaam Job Reference: BBC/TP/788771/50346 Contract Type: Permanent Job Category: Journalism Business Unit: News - WSG World Service Location: Dar es-Salaam, Tanzania, United Republic of Job Title: Journalist Job Introduction The BBC is an...
  4. magnifico

    BBC SWAHILI: Kwanini CCM imeweza kusalia Madarakani kwa miaka yote?

    Katika mojawapo ya mahojiano aliyowahi kufanya miaka ya nyuma, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa anadhani nini hasa ilikuwa siri ya Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, kudumu muda mrefu madarakani. Bila kupepesa macho, Rais huyo alitoa jibu moja tu; He tamed the army...
  5. R

    Kwanini ni vigumu kwa watu wenye ulemavu kuwa katika mahusiano?

    Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe...
  6. May Day

    BBC Swahili fanyieni kazi hili...

    Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio mbalimbali hapa nchini, miongoni mwa hizo ni BBC SWAHILI kupitia washirika wao. Si kwamba wanachonikwaza wao hakitokei kwenye redio nyingine la hasha ila naangalia na ukubwa wa shirika husika. Hakuna shaka kuwa sehemu kubwa ya Wasikilizaji wa Kiswahili...
  7. M

    BBC: Jinsi Rais Magufuli anavyopambana na corona na "mabeberu"

    Na Sammy Awami BBC News, Dar es Salaam 18 Juni 2020 Rais wa Tanzania John Magufuli amekuwa akikosolewa kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya "mabeberu" na tangazo lake la hivi karibuni kuwa maombi na sala vineondosha virusi vya corona katika taifa hilo. Lakini suala hilo la...
  8. vulcan

    How close is your bantu language to Swahili

    Je, Kiswahili kinakaribiana na lugha yako vipi ? Kwa lugha yetu (Ki-embu/Ki-Kuyu).. Maneno ya kawaida Mtu - Mundu Kiti - Giti Meza - Metha Kijiko - Giciko Kitanda - Gitanda Nyumba - Nyumba Viatu - Iratu Maji - Mai Sentensi Kuja hapa - uka ava/Uka haha Maneno ya lugha yenu ya Ki-Bantu...
  9. LIKUD

    Swahili should be officialized as an official language in Oman

    Nimekuja Muscat Oman and i wonder jinsi Kiswahili kilivyo enea hapa Oman. People speak Swahili like they don't mean nothing. Interestingly Kuna waoman wamezaliwa Oman.wamekulia Oman na hawajawahi kufika Tanzania,Mombasa wala Zanzibar but they speak fluent Swahili. Nyimbo za kibongo ndo...
  10. M

    One-word translation of the word RITUAL into Kiswahili

    Can anyone please help me with the translation of the word "ritual" into Swahili? I am thinking in the meaning of religious ritual. For example, priests in the Old Testament had to wash before offering sacrifices. This necessary act of washing would be called a' ritual'. Washing is also a...
  11. YEHODAYA

    Shule za English medium kufanya vizuri somo la kiswahili kwenye mitihani ya darasa la saba kuliko shule za swahili medium nini maana yake?

    Ukiangalia matokeo ya darasa la saba 2019 kwa mfano shule za english medium ndizo zimeongoza kwa ufaulu kwenye somo la kiswahili kuliko shule zinazotumia lugha ya kiswahili kwenye masomo yote Hii inamaananisha nini? ==== Pia raia wa China Congcong Wang aliongoza somo la Kiswahili ambalo...
  12. Gily Gru

    Misimu ndani ya JamiiForums

    Msimu ni maneno yasiyo sanifu yanayoanzishwa na kikundi cha watu wachache wenye utamaduni mmoja ili kueleza mahusiano yao kama kikundi. Kwa kawaida maneno hayo huzuka na kupotea, ila yale yanayodumu husanifiwa na kuwa msamiati rasmi wa lugha. Tafiti zimebaini kuwa mitandao ya kijamii imekuwa na...
  13. Apollo

    Uhalisia wa Furaha na Mateso katika Maisha

    Maisha ni fumbo kwa kila mmoja wetu, na kila mwanadamu anaishi kwenye ulimwengu wake katika maisha yake. Fumbo la maisha ni kubwa na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye ameweza kutoa mwanga kuhusiana na fumbo la maisha na jinsi ambavyo falsafa mbalimbali zimekuwa zikielezea. Ni fumbo ambalo tangu...
Back
Top Bottom