Wadau habarini za usiku,
Kama heading isemavyo, ni wazi hili shirika now days professionalism imepungua kwa kiasi kikubwa mnoo uandaaji wa habari usioeleweka.
Mfano Usiku huu nimetazama ripoti iliyosomwa na Lulu Odhiambo kuhusu kupungua maambukizi ya corona huko Kenya sasa katka display pale...
Journalist, BBC Swahili Service - Dar es Salaam
Job Reference: BBC/TP/788771/50346
Contract Type: Permanent
Job Category: Journalism
Business Unit: News - WSG World Service
Location: Dar es-Salaam, Tanzania, United Republic of
Job Title: Journalist
Job Introduction
The BBC is an...
Katika mojawapo ya mahojiano aliyowahi kufanya miaka ya nyuma, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa anadhani nini hasa ilikuwa siri ya Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, kudumu muda mrefu madarakani.
Bila kupepesa macho, Rais huyo alitoa jibu moja tu; He tamed the army...
Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada
Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe...
Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio mbalimbali hapa nchini, miongoni mwa hizo ni BBC SWAHILI kupitia washirika wao. Si kwamba wanachonikwaza wao hakitokei kwenye redio nyingine la hasha ila naangalia na ukubwa wa shirika husika.
Hakuna shaka kuwa sehemu kubwa ya Wasikilizaji wa Kiswahili...
Na Sammy Awami BBC News, Dar es Salaam
18 Juni 2020
Rais wa Tanzania John Magufuli amekuwa akikosolewa kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya "mabeberu" na tangazo lake la hivi karibuni kuwa maombi na sala vineondosha virusi vya corona katika taifa hilo.
Lakini suala hilo la...
Je, Kiswahili kinakaribiana na lugha yako vipi ?
Kwa lugha yetu (Ki-embu/Ki-Kuyu)..
Maneno ya kawaida
Mtu - Mundu
Kiti - Giti
Meza - Metha
Kijiko - Giciko
Kitanda - Gitanda
Nyumba - Nyumba
Viatu - Iratu
Maji - Mai
Sentensi
Kuja hapa - uka ava/Uka haha
Maneno ya lugha yenu ya Ki-Bantu...
Nimekuja Muscat Oman and i wonder jinsi Kiswahili kilivyo enea hapa Oman. People speak Swahili like they don't mean nothing.
Interestingly Kuna waoman wamezaliwa Oman.wamekulia Oman na hawajawahi kufika Tanzania,Mombasa wala Zanzibar but they speak fluent Swahili.
Nyimbo za kibongo ndo...
Can anyone please help me with the translation of the word "ritual" into Swahili?
I am thinking in the meaning of religious ritual.
For example, priests in the Old Testament had to wash before offering sacrifices. This necessary act of washing would be called a' ritual'. Washing is also a...
Ukiangalia matokeo ya darasa la saba 2019 kwa mfano shule za english medium ndizo zimeongoza kwa ufaulu kwenye somo la kiswahili kuliko shule zinazotumia lugha ya kiswahili kwenye masomo yote
Hii inamaananisha nini?
====
Pia raia wa China Congcong Wang aliongoza somo la Kiswahili ambalo...
Msimu ni maneno yasiyo sanifu yanayoanzishwa na kikundi cha watu wachache wenye utamaduni mmoja ili kueleza mahusiano yao kama kikundi. Kwa kawaida maneno hayo huzuka na kupotea, ila yale yanayodumu husanifiwa na kuwa msamiati rasmi wa lugha.
Tafiti zimebaini kuwa mitandao ya kijamii imekuwa na...
Maisha ni fumbo kwa kila mmoja wetu, na kila mwanadamu anaishi kwenye ulimwengu wake katika maisha yake. Fumbo la maisha ni kubwa na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye ameweza kutoa mwanga kuhusiana na fumbo la maisha na jinsi ambavyo falsafa mbalimbali zimekuwa zikielezea. Ni fumbo ambalo tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.