Waziri wa Nishati Mheshimiwa January Makamba amefanya kikao na mabalozi wa nchi za Norway, Sweden na Saudi Arabia nchini Tanzania. Katika kikao hicho amezishukuru nchi hizo kwa mchango mkubwa wanaoipatia Tanzania katika kuendeleza sekta ya nishati.
Waziri Makamba amesema nchi hizo zimeendelea...
November 10, 1926: His Royal Highness Prince Leopold of Belgium wed Her Royal Highness Princess Astrid of Sweden at the Cathedral of St. Michael and St. Gudula in Brussels, six days after their civil wedding ceremony. The groom was the son and heir of King Albert of Belgium, the bride the...
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa Sh196 bilioni kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa awamu ya Pili ya Mpango wa Elimu kwa Matokeo unaohusu elimu ya Msingi (EP4R II).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Oktoba 5,2021 na kitengo cha mawasiliano cha Wizara ya Fedha na Mipango, Maktaba huo...
After Portugal, now Sweden has become the second European nation to ban travellers from the most vaccinated nation Israel. Sweden also banned the entry of citizens from the United States, Kosovo, Lebanon, Montenegro, and North Macedonia.
After Portugal Now Sweden Bans Travellers From The Most...
Leo Jumatatu tarehe 30 Agosti, 2021 Kesi ya Kikatiba ya Mhe. Freeman Mbowe dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeanza kusikilizwa Mahakama Kuu. Walikuwepo wawakilishi wa Balozi za Marekani, Uingereza na Sweden Mahakamani. Kesho Jumanne 31 Agosti, 2021 Kesi ya Ugaidi.
Naibu...
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na...
IGWEEEE! Mshambuliaji wetu Godwin Aguda kasajiliwa na team ya Falkenberg inayoshiriki ligi daraja la kwanza huko Sweden,tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya ya kisoka
Vilevile Nitaendelea kuwajuza maendeleo ya team katika michuano maalumu ya kujipima nguvu inayofanyika huko Benin...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
The Embassy is responsible for representing and promoting Swedish interests in Tanzania and has approximately 40 employees. The overall tasks of the Embassy include supporting business and trade, development cooperation as well as consular and visa services.
The strategy...
Waziri Mkuu wa Sweden, Stefan Lofven, ambaye amekuwepo madarakani kwa miaka saba amejiuzulu wadhifa wake baada ya Bunge la Nchi hiyo kupiga kura ya kutokuwa na imani yake wiki iliyopita.
Alikuwa Kiongozi wa Kwanza katika Taifa hilo kushindwa Kura ya Imani Bungeni baada ya Chama chenye mrengo wa...
Wiki iliyopita nilileta habari ya kutoka Norway na kuja Malmo kwenye kazi. Wapo waliofurahi na kuniombea heri na wapo ambao walikasirika na kunitukana. Yote sawa.
Nipo huku kwa kazi kama zile nazofanya Norway, vibarua vya bandarini. Nilipewa huu mchongo, faster tu wala sikutaka kujiuliza mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.