syria

  1. Tony254

    Mabaharia kutoka Syria waliokwama katika Bandari ya Mombasa wauza meli yao

    Mwenye meli aliwatelekeza mabaharia hao tisa na kukataa kuwalipa mishahara yao. Mabaharia hao kutoka Syria wamekwama katika bandari ya Mombasa kwa muda wa mwaka moja na miezi tisa. Mahakama ya Kenya imewaruhusu kuuza meli hio na kujilipa mishahara ambayo mwenye meli alikataa kuwalipa. Meli hio...
  2. Sam Gidori

    Mke wa Rais wa Syria kufunguliwa mashtaka nchini Uingereza

    Miaka 10 tangu kuanza kwa mapigano nchini Syria, Mke wa dikteta na rais wa Syria, Bashar al-Assad, Asma al-Assad anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu na kushawishi uhalifu dhidi ya wananchi wa Syria, mashtaka yaliyofunguliwa dhidi yake nchini Uingereza. Asma ambaye ana uraia...
  3. Analogia Malenga

    Vita vya miaka 10 vyaua watu wapatao 400,000 Syria

    Idadi ya watu waliokufa kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria imekaribia laki nne tangu vilipoanza muongo mmoja uliopita, na hadi sasa hakuna ishara ya lini vitamalizika. Kwa mujibu wa Shirika la Kufuatilia Haki za Binaadamu la Syria lenye makao yake nchini Uingereza, idadi...
  4. Mlaleo

    Pigo jingine kubwa kwa Wairan wampoteza Kamanda wao mkubwa huko 'Syria Drone' yatumika

    Kabla hawajamaliza Msiba mkubwa wa Mohsen Fakhrizadeh Masikini wanywa Damu Iran wamepatwa na Msiba Mwingine Nchinii Syria baada ya Kamanda wao Mkubwa Muslim Shahdan kuuliwa na Ndege ndogo isiyo na Rubani katika mpaka wa nchi ya Iraq na Syria akiwa ndani ya gari . as usual Iran Atamsingizia...
  5. Mlaleo

    Kambi ya Iran nchini Syria yashambuliwa tena mara ya tatu ndani ya wiki moja na Israel - Wanajeshi wa Pakistan 18 wafariki

    Ni baada ya Balozi wa UN kudumu wa Israel Gilad Erdan kuliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa Jeshi la Iran na wafuasi wake waondoke haraka sana nchini Syria kwani itawaangamiza wote Alielezea kwenye barua yake aliyomuandikia Mkuu wa Baraza hilo. Report: 19 pro-Iran fighters killed...
  6. Mlaleo

    Baada ya Irani kutangaza kuwa Itajibu mapigo yoyote ya Israel nchini Syria, yagongwa tena

    Na kichapo cha Jana kimeharibu maghara mengi ya silaha ambazo ndizo Irani ilijitapia nazo kuwa itazitumia kujibu mashambulizi ya hit and run ya Israel... Nadhani ni wakati wa Iran kufuata ule msemo if you can't fight them join them.. Yasemekana Wafuata mkumbo 8 wa Iran wameuawa... Irani...
  7. Infantry Soldier

    Kwanini Russia ilishindwa kumtetea Saddam Hussein wa Iraq ila sasa inamkingia kifua Bashar Al-Assad wa Syria?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Eti ndugu zangu watanzania (wale tu mnaofuatilia siasa za kimataifa kwa muda mrefu kama mimi); Kwanini Russia ilishindwa kumtetea Saddam Hussein wa Iraq ila kwa sasa inamkingia kifua Bashar Al-Assad wa Syria ilhali nchi hizi mbili zinapakana...
  8. Jackal

    Israel yashambulia vituo vya Iran nchini Syria

    Israel will not tolerate an Iranian threat on its border with Syria and will do whatever is necessary to stop the terrorist regime. ==== The Israeli Air Force (IAF) on Monday night bombed targets in southern Syria, during which five were killed and several others were injured, the country’s...
  9. MakinikiA

    Video: Russian soldiers surround U.S military vehicles in Syria

    Russian armored vehicles managed to besiege an American military patrol in the Al-Hasakah countryside of northeastern Syria after a hot pursuit, while a Russian officer addressed the U.S. military regarding the legitimacy of the presence of both forces on Syrian soil. The video shows how...
  10. simplemind

    Mkakati mpya wa kivita kwa kutumia Drones umesambaratisha vikosi vya Syria Idlib

    Battle for Idlib: Turkey's drones and a new way of war Turkish forces destroyed two Syrian Su-24 fighter jets, two drones, 135 tanks, and five air defence systems and "neutralised" more than 2,500 fighters loyal to the Syrian government. The term neutralised is used for the killing, wounding...
  11. Miss Zomboko

    Uturuki kulipiza kisasi kwa Syria baada ya kuua wanajeshi wake

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameionya serikali ya Syria kwamba italipa gharama kubwa kutokana na mashambulizi yake dhidi ya majeshi ya Uturuki katika eneo la kaskazini mashariki mwa Syria. Wanajeshi watano wa Uturuki waliuawa katika mji wa Idlib unaodhibitiwa na upinzani siku ya...
  12. FRANC THE GREAT

    Israel yafanya mashambulizi ya anga Damascus nchini Syria

    Shirika la habari la serikali ya Syria, SANA, limeripoti mapema Alhamisi kuwa Israel imeshambulia maeneo kadhaa karibu na mji mkuu Damascus huku shirika hilo likidai kuwa mifumo ya ulinzi wa makombora ya nchi hiyo iliangusha idadi kadhaa ya makombora. Taarifa kutoka SANA ilieleza kuwa...
  13. Analogia Malenga

    Syria: Waasi wauwa wanajeshi 40 wa serikali jimboni Idlib

    Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema waasi nchini Syria wamewauwa wanajeshi 40 wa serikali na kuwajeruhi wengine zaidi ya 80, katika mashambulizi waliyoyafanya katika jimbo la Idlib. Shirika la habari la Urusi, Interfax limenukuu tangazo la wizara hiyo, lililosema kuwa waasi walizikamata kambi...
  14. FRANC THE GREAT

    Missile strike kills eight pro-Iranian militia members on Syria border

    Eight pro-Iran militia have been killed by an airstrike on the border between Iraq and Syria according to reports. Eight pro-Iran militia have been killed by an airstrike on the border between Iraq and Syria according to reports. The eight victims were allegedly apart of the Hashed al-Shaabi...
  15. FRANC THE GREAT

    Putin invites Merkel to Russia over Iran crisis

    The German Chancellor will travel to Russia to meet President Vladimir Putin this coming Saturday. The pair plan to discuss the Iran escalation as well as the conflicts in Ukraine, Libya and Syria. Russian President Vladimir Putin on Monday invited German Chancellor Angela Merkel to Russia...
  16. Nyendo

    Macron kutoa heshima kwa wanajeshi waliouwawa Niger

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa anatarajiwa kusafiri kwenda Niger kwa ajili ya kumbukumbu ya heshma kwa wanajeshi 71 ambao waliuwawa kwa shambilizi la wenye itikadi kali, mapema mwezi huu. Macron atajumuika katika hafla iliyopangwa kufanyika mwishoni mwa juma mjini Niamey ambapo atatoa heshima...
  17. Nyendo

    Misaada inaweza kuingizwa Syria katika maeneo manne ya mipaka

    Katika takribani miaka sita iliyopita Umoja wa Mataifa na makundi mengine ya misaada ya kiutu, umefanikiwa kuvuka mpaka kuingia Syria kutokea Uturuki, Iraq na Jordan, ikiwa ni maeneo manne ambayo yameidhinishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupeleka misaada ya kiutu kwa mamilioni ya...
  18. Nyendo

    Mapigano ya saa 48 yasababisha vifo vya watu 96 Syria

    Mapigano makali yaliyodumu kwa muda wa masaa 48 huko kaskazini Magharibi mwa Syria yamewaua watu 96, kulingana na shirika linalofuatilia haki za binadamu la nchini humo. Shirika hilo limesema vikosi vya serikali vikishirikiana na ndege za kivita za Urusi, vilikabiliana vikali na makundi ya...
  19. FRANC THE GREAT

    Uturuki yasema imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi

    Uturuki imesema kuwa, imemkamata dada wa kiongozi wa IS aliyeuawa, al-Baghdadi Uturuki imemkamata dada mkubwa wa kiongozi wa Islamic State (IS) aliyeuawa Abu Bakr al-Baghdadi kaskazini magharibi mwa Syria, maafisa wa Uturuki wanasema. Vyombo vya habari, Reuters na AP vilimnukuu ofisa mmoja...
  20. FRANC THE GREAT

    SYRIA: Mapambano yazuka kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Mapambano yazuka nchini Syria kati ya vikosi vya serikali ya Syria na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki Wanajeshi wa Syria wamekabiliana kwa mara ya kwanza na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki wakisaidiwa na mashambulizi ya makombora kaskazini mashariki mwa Syria. Hayo yameelezwa na kundi...
Back
Top Bottom