Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
• Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
• Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...