tabata

High-intensity interval training (HIIT), also called high-intensity intermittent exercise (HIIE) or sprint interval training (SIT), is a form of interval training, a cardiovascular exercise strategy alternating short periods of intense anaerobic exercise with less intense recovery periods, until too exhausted to continue. Though there is no universal HIIT session duration, these intense workouts typically last under 30 minutes, with times varying based on a participant's current fitness level. The duration of HIIT also depends on the intensity of the session.
HIIT workouts provide improved athletic capacity and condition as well as improved glucose metabolism. Compared with longer sessions typical of other regimens, HIIT may not be as effective for treating hyperlipidemia and obesity, or improving muscle and bone mass. However, research has shown that HIIT regimens produced significant reductions in the fat mass of the whole-body. Some researchers also note that HIIT requires "an extremely high level of subject motivation" and question whether the general population could safely or practically tolerate the extreme nature of the exercise regimen.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Tabata Aroma: jipatie jeki ya tani 3

    Jeki hio hapo. max power: 3 tonnes. 0713096076 bei elekezi: 50,000 karibu sana, tabata aroma Dsm ujipatie kinyanyuzi cha gari yako kwa bei poa
  2. Pirate of Carribean

    House4Rent Nyumba inapangishwa Tabata250k

    Ipo Tabata kisiwani katikati ya Mwananchi na tabata Mawenzi 1 masters 3 bedroom Dining Sittin room Kitchen. Nb haina tiles
  3. Komeo Lachuma

    Tanesco Tabata Mnashirikiana na Wezi. Hili tumelifahamu msibishe!

    Tabata hasa huku maeneo ya Chuoni St. Marys, Camp, Bima n.k Mmekuwa mnakata umeme usiku ili wezi watuibie kila mara. Leo mlikata tena wezi wakaruka ukuta ndani kumbe mimi sijalala. Hiii kesi wengi wanasema ni Ushirikiano mwema wa TANESCO na Wezi. Mnakata bila sababu za msingi kila siku usiku na...
  4. John Haramba

    Waporaji wa bodaboda 'Vishandu' wampeleka IGP Sirro ghafla Vituo vya Stakishari, Kawe, Tabata

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro, mapema leo amefanya ukaguzi wa ghafla kwenye Kituo vya Polisi cha Stakishari, Tabata na Kawe jijini Dar es Salaam. IGP Sirro amebaini changamoto ya uhalifu wa uporaji kwa kutumia pikipiki pamoja na makosa ya uvunjaji. “Nimekuwa nikipata...
  5. Nyuki Mdogo

    Car4Sale Toyota Vitz: Tabata, Dar es salaam

    Gari iko tabata.. picha za ndani sina Ac ya kujaza. Haina tatizo lolote Piston 4 cc 990 Mil 3.3 0713096076
  6. Kiziwanda chema

    Single room needed Maeneo ya Tabata shule hadi Segerea

    Habari madalali wa Bongo, na wenye nyumba. Nahitaji chumba cha kupanga cha bei Rahisi, Bei isizidi 50 na please sina hela ya miezi sita. Ningependa maeneo ya kuanzia Tabata Shule hadi Segerea. Sehemu nyingine naweza kuja endapo bei ni pungufu na Mazingira mazuri ya eneo la makazi. Nb; Nina...
  7. D

    Tabata hakuna umeme tangu asubuhi

    TANESCO Tabata hakuna umeme tokea asubuhi nini tatizo? Tuambiane basi hata kama mnakata ili tuwe tunajiandaa kuwasha koroboi na kandiri.
  8. Torch

    Foleni Barabara ya Tabata muda huu

    Wakuu kama unatokea segerea, kimanga, chang'ombe kwenda nje ya tabata kausha kabisa Foleni yake sio ya nchi hii.. Pia kama unatokea nje ya tbt kausha natoka segerea nipo tabata shule zaidi ya masaa 2 sasa
  9. C

    January Makamba anakubalika sana Tabata

    Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika...
  10. Mukulu wa Bakulu

    Wenyeji wa Dar, kati ya Tabata Segerea na Kimara, ni wapi mbali kwenda Ubungo

    Habari wakuu. Kuna ndugu yangu amehamishiwa Dar kikazi, ofisi yake iko maeneo ya Ubungo. Sasa ameniomba ushauri aishi wapi kati ya Tabata Segerea na Kimara ili iwe rahisi kwake kufika kazini. Kwa kua mimi makazi yangu ni Mbagala Maji Matitu, sina uenyeji wowote maeneo hayo aliyoyataja huyu...
  11. maroon7

    Goba - Mbezi kuwa zaidi ya Sinza, Tabata

    Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu...
  12. FRANCIS DA DON

    Je, ni kwanini barabara ya maji chumvi (Jeshini - Tabata Kimanga) haipigwi lami pamoja ya kuwa na umuhimu kupindukia?

    Tumeshuhudia vichochoro vingi huko Sinza na Kinondoni vikipigwa lami mwanzo mwisho, tena havina umuhimu wowote, maana vingi ni dead ends zinazoishia kwenye mageti ya watu. Sasa najiuliza, iweje barabara muhimu kama ile ya maji chumvi kuelekea Kimanga inayotumiwa na malaki ya raia wa T/Kimanga...
  13. Mother Confessor

    DAWASA Tabata tekelezeni majukumu yenu

    Nyinyi watu wa maji DAWASA nimeripoti tatizo langu la kukosa maji naona mpo mpo tuu na majibu yenu yasoeleweka, wiki ya pili hii sina maji kwangu bomba lenu limepasuka sijui mmefanyaje wenyewe mimi sipati maji wengine wanapata huduma kama kawaida. Aisee msianze ukiritimba wenu na mambo ya...
  14. Mad Max

    Tabata Huduma za Kijamii Zinapatikana wapi?

    Wakuu kwema. Nipo mitaa ya Tabata na viwanja vyake huu usiku. Nilikua nauliza "huduma za kijamii" huku Zinapatikana wapi? Eneo zuri kidogo sio kama lile la Ubungo Riverside au Corner Bar watu wengi sana, tena bystanders. Najua kuna Corona, AIDS, etc ila nitachukua tafadhali zote. Asante.
  15. Q

    INAUZWA Vibrated Blocks Zenye Ubora (Tabata)

    Nunua Matofali ya Inch 5 yenye Ubora wa hali ya juu kutoka kiwandani Kwetu Tabata karibu na Shule ya Tusiime. Ratio yetu ni matofali 43 kwa mfuko mmoja wa Cement. Bei ni Shilingi 1,000/=. Wasiliana nasi kupitia namba 0687320462. Wote mnakaribishwa.
  16. FRANCIS DA DON

    Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

    Napendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
  17. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  18. AVO28

    Internet provider Kwa fiber | Tabata

    Wakuu naomba kujua kama kuna fiber internet provider yeyote ambae huduma zake zinafika mpaka Maeneo ya Tabata. Naomba Contact au Website name..
  19. Mwita Mtu Mrefu

    TV4Sale Goodman TV inch 32 bei nafuu, 225,000 tu: Tabata Segerea

    Habari jf. Nakusogezea bidhaa mbalimbali kwa bei nafuu sana. Jipatie Tv aina ya Goodman kwa bei tajwa hapo juu. Tv sio smart. Call 0744033555
  20. Mwita Mtu Mrefu

    Natafuta binti wa kazi kwa ajili ya Mama Ntilie. Mshahara Tsh. 3,000/- kwa siku

    Hello Jf Binti wa kazi anatafutwa. Sifa 1. Ajue kupika chapati 2. Awe na Lugha nzuri kwa wateja na mchangamfu 3. Ajue hesabu 4. Awe anajua kuhudumia vizuri Kazi ni ya mama ntilie, kuuza supu na chapati Mshahara ni 3000 kwa siku, nyongeza utajadiliana na boss wako. Chakula utapata hapo hapo...
Back
Top Bottom