High-intensity interval training (HIIT), also called high-intensity intermittent exercise (HIIE) or sprint interval training (SIT), is a form of interval training, a cardiovascular exercise strategy alternating short periods of intense anaerobic exercise with less intense recovery periods, until too exhausted to continue. Though there is no universal HIIT session duration, these intense workouts typically last under 30 minutes, with times varying based on a participant's current fitness level. The duration of HIIT also depends on the intensity of the session.
HIIT workouts provide improved athletic capacity and condition as well as improved glucose metabolism. Compared with longer sessions typical of other regimens, HIIT may not be as effective for treating hyperlipidemia and obesity, or improving muscle and bone mass. However, research has shown that HIIT regimens produced significant reductions in the fat mass of the whole-body. Some researchers also note that HIIT requires "an extremely high level of subject motivation" and question whether the general population could safely or practically tolerate the extreme nature of the exercise regimen.
Tabata hasa huku maeneo ya Chuoni St. Marys, Camp, Bima n.k Mmekuwa mnakata umeme usiku ili wezi watuibie kila mara.
Leo mlikata tena wezi wakaruka ukuta ndani kumbe mimi sijalala. Hiii kesi wengi wanasema ni Ushirikiano mwema wa TANESCO na Wezi. Mnakata bila sababu za msingi kila siku usiku na...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro, mapema leo amefanya ukaguzi wa ghafla kwenye Kituo vya Polisi cha Stakishari, Tabata na Kawe jijini Dar es Salaam.
IGP Sirro amebaini changamoto ya uhalifu wa uporaji kwa kutumia pikipiki pamoja na makosa ya uvunjaji.
“Nimekuwa nikipata...
Habari madalali wa Bongo, na wenye nyumba.
Nahitaji chumba cha kupanga cha bei Rahisi, Bei isizidi 50 na please sina hela ya miezi sita.
Ningependa maeneo ya kuanzia Tabata Shule hadi Segerea. Sehemu nyingine naweza kuja endapo bei ni pungufu na Mazingira mazuri ya eneo la makazi.
Nb; Nina...
Wakuu kama unatokea segerea, kimanga, chang'ombe kwenda nje ya tabata kausha kabisa
Foleni yake sio ya nchi hii..
Pia kama unatokea nje ya tbt kausha natoka segerea nipo tabata shule zaidi ya masaa 2 sasa
Niko tabata chama hapa natoa loki kwa kupiga double kick mbili zenye thamani ya 4000 pembeni yamekaa majamaa mawili yenye sura na matumbo ya kifisadi yanakunywa wine na kitimoto
Ghafla umeme umekatika wakati tunalalamika majamaa yakaanza kutuambia tumpe muda mr kipara anatuletea umeme wa uhakika...
Habari wakuu.
Kuna ndugu yangu amehamishiwa Dar kikazi, ofisi yake iko maeneo ya Ubungo.
Sasa ameniomba ushauri aishi wapi kati ya Tabata Segerea na Kimara ili iwe rahisi kwake kufika kazini.
Kwa kua mimi makazi yangu ni Mbagala Maji Matitu, sina uenyeji wowote maeneo hayo aliyoyataja huyu...
Kama huwa unapita pita hii road ya Mbezi - Goba hadi Massana utakubaliana namimi kasi ya ujenzi wa maeneo ya biashara katika standard nzuri ni kubwa sana, na tayari pande hizi zinawatu wengi sana kila siku biashara zinafunguliwa na maeneo tofauti ya bata tangu mwaka huu uanze. Miaka miwili tu...
Tumeshuhudia vichochoro vingi huko Sinza na Kinondoni vikipigwa lami mwanzo mwisho, tena havina umuhimu wowote, maana vingi ni dead ends zinazoishia kwenye mageti ya watu.
Sasa najiuliza, iweje barabara muhimu kama ile ya maji chumvi kuelekea Kimanga inayotumiwa na malaki ya raia wa T/Kimanga...
Nyinyi watu wa maji DAWASA nimeripoti tatizo langu la kukosa maji naona mpo mpo tuu na majibu yenu yasoeleweka, wiki ya pili hii sina maji kwangu bomba lenu limepasuka sijui mmefanyaje wenyewe mimi sipati maji wengine wanapata huduma kama kawaida.
Aisee msianze ukiritimba wenu na mambo ya...
Wakuu kwema.
Nipo mitaa ya Tabata na viwanja vyake huu usiku. Nilikua nauliza "huduma za kijamii" huku Zinapatikana wapi? Eneo zuri kidogo sio kama lile la Ubungo Riverside au Corner Bar watu wengi sana, tena bystanders.
Najua kuna Corona, AIDS, etc ila nitachukua tafadhali zote. Asante.
Nunua Matofali ya Inch 5 yenye Ubora wa hali ya juu kutoka kiwandani Kwetu Tabata karibu na Shule ya Tusiime.
Ratio yetu ni matofali 43 kwa mfuko mmoja wa Cement.
Bei ni Shilingi 1,000/=. Wasiliana nasi kupitia namba 0687320462.
Wote mnakaribishwa.
Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini
Ina vyumba vitatu kimoja master
Jiko, sebule, dinning na public toilet
Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000
Hati miliki mkononi
Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283...
apartment
beach
bei
biashara
buguruni
eneo
ghorofa
hai
hasara
inauzwa
kali
kariakoo
kibamba
kigamboni
kilimanjaro
kimara
kubwa
kutoka
lami
maana
maji
mbezi
mbezi beach
milioni
mita
nauza
nyumba
nyumba kali
nyumba ya kisasa
nzuri
tabata
uchukue
vyumba
Hello Jf
Binti wa kazi anatafutwa.
Sifa
1. Ajue kupika chapati
2. Awe na Lugha nzuri kwa wateja na mchangamfu
3. Ajue hesabu
4. Awe anajua kuhudumia vizuri
Kazi ni ya mama ntilie, kuuza supu na chapati
Mshahara ni 3000 kwa siku, nyongeza utajadiliana na boss wako.
Chakula utapata hapo hapo...