tabia

Tabia is a small town and rural commune in Taroudannt Province of the Souss-Massa-Drâa region of Morocco. At the time of the 2004 census, the commune had a total population of 2329 people living in 487 households.

View More On Wikipedia.org
  1. Mabadiliko ya tabia utu haya dhahma tupu!

    Men in the past, men of today!
  2. Kwa Tabia zangu Zilivyo. Ningeambiwa nichague kuwa Yesu Masihi Au Mtume Muhamad leo hii

    Wala nisingepepesa macho. Ningechagua kuwa Mtume Muhamad. Tabia zangu na zake zinaendana sana. Napenda sana maisha ambayo aliishi kutokana na tabia zangu. Maisha ya Yesu Masihi yalikuwa magumu sana na ya kubore. Hayakuwa na chereko chereko, hakuwa aki enjoy life. Mimi ningeamua kuishi kama...
  3. Tunaosafiri leo kwenda Kigali tabia zetu za wizi, kukojoa, kuvuta bange na 'kuukweka' hovyo tuziache Dar es Salaam

    Tunajuana na ndiyo maana nimeamua kutoa tahadhari mapema nikiamini wanaoenda Ndola Zambia ni Wastaarabu mno. Kuukweka ni Kujisaidia Haja Kubwa. Ni Lugha ya Wazaramo hiyo na Mimi GENTAMYCINE ni Mzaramo Mzanaki Mmakuwa.
  4. Kumpiga mgoni wako hakutabadilisha tabia ya usimbe ya mkeo

    Nilishawaambia sihitaji salamu, ukitaka salamu rudi huko kijijini kwenu! Waswahili na Ujinga ni kama Mapacha vile! Huwa nashangaa sana mwanaume mwenye akili timamu anapomfumania mkewe yeye huanza kupambana na mwanaume mwenzie badala ya kupambana na mkewe! Aliyekwambia kumpiga na kumdhalilisha...
  5. Hii tabia ya Wanawake kuibiwa hela imeshamiri sana!

    Ni majanga. Utasikia nimeibiwa na boda, wamekwapuwa pochi yangu baada ya kutoka kutoa hela Mlimani City, ilikuwa na smart phone na ile laki tano niliyotoa baba watoto! Au nikiwa ndani ya daladala, nafikiri yule kijana pembeni yangu alipulizia madawa ya usingizi au ya kulevya, akanikokota...
  6. Hakika wanaume wenye tabia kama ya Messi tumebaki wachache sana

    UNAAMBIWA Lionel MESSI hajawahi kumgusa mwanamke mwingine zaidi ya mkewe Antonela Roccuzzo aliyeanza naye mahusiano tangu utotoni huko Rosario, Argentina. Mnamo 2017, Messi na Antonella walifunga ndoa iliyotajwa kama ‘ndoa ya karne’ na kujaaliwa watoto watatu Thiago, Mateo na Ciro. Raccuzzo...
  7. Je, tunafahamu ''Pedophile'' ni nani na ana tabia zipi?

    Mtu mzima anayependa/kuvutiwa kufanya mapenzi na watoto wadogo, kitaalamu anajulikana kama pedophile kwa lugha ya kiingereza. Hii ni hali ya kiafya ambayo inamfanya mtu mzima kuvutiwa kufanya mapenzi na watoto ambao hawajafikia umri wa kubalehe. Hakuna wasifu thabiti wa kumtambua ‘’pedophile’’...
  8. NEMC yatoa angalizo tabia ya wenye mabasi 'kuchimba dawa' na kutupa taka Ovyo porini wakati wa safari

    Mkurugenzi wa Baraza la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka amezungumza na waandishi wa habari na kusema: Moja ya jambo ambalo limekuwa likifanyika mara kwa mara kama mazoezi ni mabasi ya abiria, malori na magari yanayofanya safari ndefu kuwa na kawaida ya kusimama porini kwa...
  9. Melkiori Mahinini, Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, aachiwa huru

    Frateri Mtanzania aliyekuwa ametekwa nchini Nigeria, Merikiori Mahinini pamoja na mwenzake raia wa Mali, Padre Paul Sanogo wameachiwa huru usiku wa kuamkia leo Alhamis Agosti 24, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dk Benson Bana amethibitisha. Mtanzania huyo ambaye pia ni frateri wa...
  10. Navutiwa na utendaji wa Tabia Mwita, Waziri wa Michezo Zanzibar

    Nimekuwa nikuvutiwa na utendaji kazi wa Tabia Mwita ambaye ni Waziri wa Michezo katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Nilikuwa sijui kama majina ya bara siku hizi yamejaa huko visiwani?
  11. Epuka hizi tabia kazini la sivyo wenzako wanaweza kujaribu kukuharibia; ukizifanya hakikisha una kinga

    Ukizifanya hakikisha una kinga aidha ya Muumba, Ndumba, Bosi, n.k. Vitu vinavyoweza kufanya wengine kutaka kukuharibia Over archievement: Yani unakuwa ni kama toleo la mtu mzima la mwanafunzi yule anaependa kumkumbusha mwalimu kutoa homework, huko kazini ukiwa mchapakazi sana kuzidi wengine...
  12. Je, umemsave vipi kwenye simu mwenzi/mpenzi wako?

    Najaribu kuwaza nakosa majibu sahihi, ni kitu gani kinapeleka wanaume kusave wanawake zao majina ya kiume kwenye simu na wanawake pia halikadhalika. Kwani hata kama mnachepukiana si usave jina lake tu halisi badala ya kuweka majina maalum ya kuonesha uhusiano wenu? kama babe, honey, sweetiee...
  13. Y

    Vinyozi acheni hii tabia

    Unaenda kunyoa halafu kinyozi anakugusisha dudu lake ili iweje. Kila ukitoa mkono anaufuata. Mimi binafsi sipendezewi na hili
  14. K

    Nashindwa kuielewa tabia ya huyu dada kwangu mimi!

    Kuna ofisi moja nimekuwa nikienda tangu siku nyingi kupata huduma, katika hiyo ofisi receptionists ni wanawake. Katika hao receptionists kuna mmoja kila akiona nikizungumza na mwenzake yeyote hapo kwenye desk lao la reception anaonesha ishara za kukasirika. Ingawa kila nikifika tu ofisini kwao...
  15. W

    Hebu tuijadili hii tabia ya kunyolewa ndevu na mwanaume mwenzio!

    Nimezaliwa kijijini ambako maadili ya 'kiuanaume' yanalindwa sana. Moja kati ya meeengi ya kiuanaume ni kwamba ndevu unanyolewa na mkeo tu au mpenzi wako. Kwa maneno mengine ni kwamba unyoaji wa ndevu ni kazi ya wanawake. Sasa siku hizi imekuwa kawaida kumkuta dume ananyolewa ndevu na mwanaume...
  16. Umuhimu wa kumjengea mtoto tabia ya kujitegemea mapema

    Na C-Sema Wakati mwingine, wazazi na walezi tunapata wasiwasi juu ya maisha ya baadaye ya watoto wetu. Tunajiuliza: Watakuwa na maisha ya aina gani? Watakuwa watu wazima wa namna gani? Hivi watafanikiwa kielimu? Biashara? Lakini kimsingi, sisi wazazi na walezi ndiyo watu pekee wenye jukumu la...
  17. Tuburudike na kujifunza kwa vituko na tabia za wanyama, ndege na wadudu

    UKIPEWA SH.10000 UMFUKUZE KANGA KATAA, HUTAMPATA Tanzania inatajwa kama taifa linaloongoza kwa kuwa na mbuga pamoja na wanyama wengi duniani. Itapendeza iwapo tutakuwa tukizielewa tabia za wanyama tuliona pamoja na vituko vyao ambavyo huwa ni burudani kwa binadamu na watalii kutoka nje.Na vile...
  18. M

    Tabia zipi za Mwanamke au Mwanaume zinaonesha mapenzi yameisha?

    Taja Tabia za mwanaume au mwanamke ambazo zinaonesha kwamba penzi limekwisha au penzi limekufa iwe ndoa au uchumba‼️
  19. Maisha yanahitaji uwe karibu na watu na kujuana. Tabia za kuogopa kuchangamana na kujitenga tenga zinachangia sana umasikini

    Na si mara ya kwanza unaskia mtu anasema mimi sitaki mazoea na watu. Mimi sitaki marafiki. Mtoto wangu ni geti kali, sitaki hata marafiki zake waje. Niseme tu ya kwamba tabia hizi huwa zinachangia sana umasikini, Ni nani asiejua kwamba binadamu hawaaminiki ? lakini jibu ni kuwakwepa ? NO...
  20. Tabia 9 zinazokimbiza Wateja wako

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…