Hello!!
Anaandika Wadiz a.k.a Baharia
Moja ya sifa na upekee wa binadamu ni utashi wa kusalimiana na kuitikia salamu.
Kumekuwapo ongezeko kubwa la ujeuri, dharau, kibri, vijana wa kiume, wa kike, baadhi yao wakubwa tu hawatoi salamu au kuitikia salamu iwe mnapishana njiani, akukute sehemu...