taliban

The Taliban (; Pashto: طالبان‎, romanized: ṭālibān, lit. 'students' or 'seekers') or Taleban (, ), who refer to themselves as the Islamic Emirate of Afghanistan (IEA), is a Deobandi Islamist movement and military organization in Afghanistan, currently waging war (an insurgency, or jihad) within the country. Since 2016, the Taliban's leader has been Mawlawi Hibatullah Akhundzada.From 1996 to 2001, the Taliban held power over roughly three-quarters of Afghanistan, and enforced a strict interpretation of Sharia, or Islamic law. The Taliban emerged in 1994 as one of the prominent factions in the Afghan Civil War and largely consisted of students (talib) from the Pashtun areas of eastern and southern Afghanistan who had been educated in traditional Islamic schools, and fought during the Soviet–Afghan War. Under the leadership of Mohammed Omar, the movement spread throughout most of Afghanistan, sequestering power from the Mujahideen warlords. The totalitarian Islamic Emirate of Afghanistan was established in 1996 and the Afghan capital was transferred to Kandahar. It held control of most of the country until being overthrown after the American-led invasion of Afghanistan in December 2001 following the September 11 attacks. At its peak, formal diplomatic recognition of the Taliban's government was acknowledged by only three nations: Pakistan, Saudi Arabia, and the United Arab Emirates. The group later regrouped as an insurgency movement to fight the American-backed Karzai administration and the NATO-led International Security Assistance Force (ISAF) in the War in Afghanistan.
The Taliban have been condemned internationally for the harsh enforcement of their interpretation of Islamic Sharia law, which has resulted in the brutal treatment of many Afghans. During their rule from 1996 to 2001, the Taliban and their allies committed massacres against Afghan civilians, denied UN food supplies to 160,000 starving civilians and conducted a policy of scorched earth, burning vast areas of fertile land and destroying tens of thousands of homes. During their rule, they banned hobbies and activities such as kite flying and keeping birds as pets, and discriminated against religious and ethnic minorities. According to the United Nations, the Taliban and their allies were responsible for 76% of Afghan civilian casualties in 2010, 80% in 2011, and 80% in 2012. The Taliban has also engaged in cultural genocide, destroying numerous monuments including the famous 1500-year old Buddhas of Bamiyan.The Taliban's ideology has been described as combining an "innovative" form of sharia Islamic law based on Deobandi fundamentalism and the militant Islamism combined with Pashtun social and cultural norms known as Pashtunwali, as most Taliban are Pashtun tribesmen.
The Pakistani Inter-Services Intelligence and military are widely alleged by the international community and the Afghan government to have provided support to the Taliban during their founding and time in power, and of continuing to support the Taliban during the insurgency. Pakistan states that it dropped all support for the group after the 11 September attacks. In 2001, reportedly 2,500 Arabs under command of Al-Qaeda leader Osama bin Laden fought for the Taliban.

View More On Wikipedia.org
  1. TALIBAN imezitaka Urusi na Ukraine kutatua mzozo huo kwa njia za amani

    Kundi la Taliban linaloongoza serikali ya Afghanistan limezitaka Russia na Ukraine kumaliza tofauti kwa njia za amani. Hapa chini ni taarifa yake kwa kiswahili (sio rasmi).. "Emirate ya Kiislamu ya Afghanistan inafuatilia kwa karibu hali ya Ukraine na inaelezea wasiwasi wake juu ya uwezekano wa...
  2. Angekuwepo Trump, Afghanistan ingekuwa chini ya Taliban? Kungekuwa na hii hali inayoendelea huko Ukraine / Russia?

    Ama kwa hakika naweza kusema Trump alimudu vingi sana licha ya kuchafuliwa sana na Media kubwa ambazo ni left wing kama cnn, bbc, al jazeera, msnbc, cbs, n.k. lakini Trump aliweza kufanya mambo mengi sana. Moja ya mambo aliyoyapa kipaumbele ni kupunguza misuguano ya uadui na kujikita zaidi...
  3. Utawala wa Taliban umetangaza wanafunzi wa kike wataruhusiwa kuhudhuria masomo endapo tu watatenganishwa na wa kiume

    Baadhi ya vyuo vikuu vya umma nchini Afghanistan vimenguliwa tena kwa mara ya kwanza tangu kundi la Taliban lilipochokua madarakani mwezi Agosti. Utawala wa Taliban umetangaza kuwa wanafunzi wa kike wataruhusiwa kuhudhuria masomo. Lakini endapo tu watatenganishwa na wanafunzi wa kiume na...
  4. T

    Jakaya Kikwete achaguliwa kuishinikiza Taliban kurudisha watoto wa kike shule

    Ndio maana mataifa makubwa kama US huwa wanaidharau hii United Nations na mpaka kutishia kuacha kuchangia... Sasa Kikwete masikini ya Mungu eti anatumwa aka negotiate na Taliban kurejesha watoto wa kike shule akiwa kama mwenyekiti wa Global Partnership for Education. Mtu atakaepata mkanda wa...
  5. Taliban waanza mazungumzo na Maafisa wa Magharibi nchini Norway

    Wajumbe wa Taliban wanakutana na maafisa wa nchi za magharibi nchini Norway kwa ajili ya mazungumzo ya kwanza Ulaya tangu kundi hilo lichukue udhibiti wa nchi ya Afghanstan. Mazungumzo hayo, yaliyopangwa kufanyika kwa muda wa siku tatu, yatakijita katika suala la haki za binadamu pamoja na...
  6. ILO - zaidi ya Waafghani nusu milioni wamepoteza ajira sababu ya Taliban

    Shirika la Kazi Duniani ILO limesema zaidi ya nusu milioni ya Waafghani wamepoteza kazi zao baada ya Taliban kuchukua madaraka mwaka uliopita. Katika ripoti mpya iliyotolewa leo, shirika hilo la Umoja wa Mataifa limesema idadi ya ajira zilizopotea huenda zikafikia laki tisa ifikiapo katikati...
  7. Afghanistan: Kaimu Waziri Mkuu asema Uongozi wa Taliban umekidhi vigezo, utambuliwe kimataifa

    Mullah Hasan Akhund anayekaimu nafasi ya Waziri Mkuu wa Nchi hiyo amesema Utawala wa Taliban umekidhi vigezo vyote hivyo itambuliwe na Serikali za Kimataifa Akhund ameeleza hayo katika hotuba yake ya kwanza tangu akaimu nafasi hiyo Septemba 2021. Serikali zimekuwa zikisita kuitambua #Taliban...
  8. Viongozi wa Taliban wanafanya Ubaguzi na Ukatili wa Kijinsia dhidi ya Wanawake na Wasichana

    Kundi la Wataalamu 36 wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa limesema Viongozi wa Taliban wanafanya Ubaguzi na Ukatili wa Kijinsia kwa kiasi kikubwa dhidi ya Wanawake na Wasichana Wanawake na Wasichana wamekuwa wanapinga Kanuni mbalimbali dhidi yao tangu Taliban kuchukua madaraka Agosti...
  9. Afghanistan: Wanawake wapigwa marufuku kusafiri mbali bila ndugu wa kiume

    Taliban imesema Wanawake wanaotaka kusafiri umbali mrefu (zaidi ya Kilomita 72) wasipewe usafiri barabarani isipokuwa wakiwa wamesindikizwa na ndugu wa kiume wa karibu Mwongozo huo wa Serikali ambao umekosolewa na Wanaharakati pia umetoa wito kwa wamiliki wa magari kukataa kuwapandisha Wanawake...
  10. Taliban yapiga marufuku ushiriki wa Wanawake kwenye tamthilia

    Serikali ya Taliban imevitaka Vituo vya Televisheni kuacha kurusha Tamthilia au Maigizo yenye Waigizaji wa Kike. Waandishi wa Habari na Watangazaji Wanawake wametakiwa kuvaa Hijabu. Vipindi vya Burudani na Vichekesho vinavyokejeli Dini au vinavyoweza kuwachukiza Raia wa Afghanistan pia...
  11. Afghanistan: Taliban wataka Serikali yao kutambuliwa

    Kundi la Taliban limeitaka Marekani na Mataifa mengine kutambua Serikali yao, likisema kushindwa kufanya hivyo na kuendelea kusitisha Misaada kutaleta matatizo sio tu kwa Afghanistan, bali ulimwengu mzima Hakuna Nchi ambayo imeitambua rasmi Serikali ya Afghanistan tangu ichukue Madaraka Mwezi...
  12. K

    Sheria kali za Ndugu zetu Taliban

    Wadau, hivi karibuni Taliban wameweka sheria Kali kwa wanaume. Hawaruhusiwi kunyoa ndevu. Sasa namna gani kwetu sisi Mayakhe ambao hatujajaaaliwa ndevu? Nchi hiyo tutaishije? Twaruhusiwa kuweka za bandia atiii?
  13. UN yakosoa ahadi hewa za Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Antonio Guterres amekosoa ahadi hewa zilizotolewa na Taliban kwa Wanawake na Wasichana wa Afghanistan, akihimiza Mataifa kutoa fedha kwa Nchi hiyo ili kuepusha kuporomoka Uchumi Mamilioni ya Wasichana bado wanasubiri kurejea Shule wakati vipindi kwa Wavulana...
  14. Marekani kufanya mazungumzo na Viongozi wa Taliban

    Marekani itafanya mazungumzo rasmi na wanamgambo wa Taliban kwa mara ya kwanza, tangu Marekani ilipoondoa vikosi vyake nchini Afghanistan. Hayo yamethibitishwa na wizara ya mambo ya nje ya Marekani mjini Washington, katika tangazo lililosema kwamba ujumbe wa nchi hiyo utakutana uso kwa uso na...
  15. Afghanistan kuingia gizani muda wowote

    Hawa taliban walifikiri kuongoza nchi ni sawa na kuvaa kanzu, vilemba, kubeba bunduki na kupiga hovyo? Unambiwa sasa wanadaiwa mabilioni yanayotokana na malipo ya bill ya kununu umeme toka kwa majirani. Unaambiwa pia ilikuwa ni tabia yaa ya kuhujumu miundombinu ya umeme kabla hawajashika...
  16. Afghanistan: Mamia wajitokeza ofisi ya kutoa passport baada ya Taliban kutangaza kurejesha huduma

    Siku moja baada ya kutangazwa kuwa Hati za Kusafiria (Passport) zitaanza kutolewa, mamia ya wananchi wamejitokeza katika Ofisi hiyo Huduma hiyo ilisitishwa baada ya Taliban kuchukua madaraka mwezi Agosti, hali ambayo ilipelekea wengi waliotaka kuondoka Nchini humo kushindwa Kwa mujibu wa UN...
  17. Taliban kimenuka, vita yanukia upya

    Afghanistan: Viongozi wa Taliban wazozana Ikulu, vyanzo vimeeleza Saa 3 zilizopita CHANZO CHA PICHA,AFP Mzozo mkubwa ulizuka kati ya viongozi wa Taliban kuhusu muundo wa serikali mpya ya kundi hilo nchini Afghanistan, maafisa wakuu wa Taliban wameiambia BBC. Mabishano kati ya mwanzilishi...
  18. Taliban wameruhusu elimu ya juu kwa wanawake ila sharti wavae nguo za staha

    Women in Afghanistan can continue to study in universities, including at postgraduate levels, but classrooms will be gender-segregated and Islamic dress is compulsory, the higher education minister in the new Taliban government has said. The minister, Abdul Baqi Haqqani, laid out the new...
  19. Taliban hawana pesa ya kuendesha Serikali

    Taliban na mbwembwe zote zile Sasa hv wanamlilia Tena US awasaidie kuendesha nchi. Saudia kanyuti Kama hawajui ======= Taliban took Afghanistan but face cash squeeze By JOSH BOAK WASHINGTON (AP) — The Taliban face a frontal challenge in cementing control of Afghanistan: Money...
  20. 20 years after 9/11 the Taliban back in Power!

    September 11 2001 The US forces and allies invade Afghanistan. The war against terror which led to the killing of Osama bin laden and occupied Afghanistan. Tomorrow will be 20 years ago since the war started and mark the new regime in Power (previous one). Is the USA failed to eliminate The...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…