Uongozi wa Taliban nchini Afghanistan umesema upo tayari kufanya kazi na nchi zote duniani isipokuwa Israel.
Msemaji wa Kundi hilo, Suhail Shaheen ameliambia Shirika la Habari la Sputnik News la nchini Urusi kuwa Taliban ipo tayari kufanya kazi na Marekani hata baada ya kusubiri kwa miaka 20...
Imeripotiwa kwamba leo baadhi ya wanawake wa Afghanistan waliandamana wakipinga kuundwa kwa serikali mpya chini ya Taliban ambayo haina waziri mwanamke hata mmoja.
Katika harakati za kuzia maandamano hayo Taliban wamewatembezea vipigo waandamanaji pamoja na waandishi wa habari walikuwa...
Habari za Hivi Punde Ni Kwamba,
Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini Afghanistan, itakayoongozwa na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo, mwanamgambo aliyekuwa akisakwa na FBI kama Waziri wa Mambo ya ndani.
Serikali itaongozwa na Mullah Mohammad Hassan Akhund, huku mwanzilishi...
Wanafunzi nchini Afghanistan wamerudi vyuoni na kupata mabadiliko chini ya utawala wa Taliban. Wanafunzi wanawake wametenganishwa na wanaume kwa mapazia au mbao madarasani.
Aidha wanawake wanapaswa kuondoka dakika tano kabla ya wale wa kiume ilikuzuia wasitangamane.
=========================...
Maafisa wa Taliban wamevunja maandamano ya Wanawake kadhaa huko Kabul. Imeelezwa Wanawake hao walikuwa wanadai Haki ya kufanya kazi na kujumuishwa kwenye Serikali.
Kundi hilo limesema mabomu ya machozi yalifumika kuwasambaratisha wakati wakijaribu kutembea kwenda Ikulu ya Rais.
Huu ni...
Habari wadau,
Ni siku yapili Leo Taliban wanajaribu kuingia kwenye eneo ambalo ndio jumbo pekee ambali hawajafanikiwa kulimiliki hili ila wanakutana na kipondo toka kwa hawa jamaa wenye asili ya Tajikistan.
Miaka yote wamekuwa wakipata taabu sana eneo hili, hawa wa panjshri wanawasubiri...
Siku ya kuondoka jeshi la Marekani kwenye uwanja wa ndege wa Kabul, taliban waliingia kwa mbwembwe na furaha ikawajia, baada ya kuona ndege za kivita na helicopters aina Hawks na Magari ya Hunvee yalioaachwa na jeshi la Marekani, kumbe Wamarekani waliharibu kila kitu ambae sio rahisi...
6 major figures to lead Taliban through critical process
All eyes now turned on 6 important figures who will guide Taliban's major decisions as group prepares to form government
Bilal Guler |23.08.2021
ANKARA
Though the Taliban's ultimate decision-making body is a 26-member leadership...
Kwa mujibu wa Taarifa ya pamoja ya Mataifa mbalimbali ikiwemo Marekani, Taliban imehakikisha itaruhusu Raia ambao ni wageni na Waafghani wenye ruhusa kuondoka salama Nchini Afghanistan
Vilevile taarifa hiyo ambayo inajumuisha Nchi za Australia, Japan, Ufaransa na Uhispania imesema Mataifa hayo...
Taarifa za muda mfupi uliopita
Msemaji wa Serikali ya Taliban amesema wamepiga marufuku Raia yeyote wa Afghanistan kuondoka nchini humo kuanzia leo
Aidha ameongeza kuwa wamepiga marufuku Wanawake kutoka nje ya nyumba zao
BBC
Talibani Na Afghanistan.
Nini Hatima yake Machoni mwa Kiitwacho Jamii ya Kimataifa (Nchi za Magharibi na Marekani)?
Afghanistan Yenye Majimbo 34, Wilaya 421, Watu Milion 38.
Je, Katika Hii Mikono ya Mapinduzi ya Taliban dhidi ya Rais Ashraf Ghani?
Nini itakuwa Hatima ya Afghanistan...
Wanagambo wa Taliban wametishia kuyachukulia hatua mataifa ya Marekani na Uingereza ikiwa watashindwa kuondoa wanajeshi wao kufikia Agosti 31 mwaka huu.
Kauli ya Taliban inakuja siku moja baada ya Rais Joe Biden kusema kuwa kuna uwezekano wa kuongeza muda wa wanajeshi wao kuendelea kukaa nchini...
On 20th August Opposition fighters loyal to Afghanistan's ousted government retake three northern districts from the Taliban just days after the Islamist group reestablished its control over most of the country.
The Taliban swept through Afghanistan, taking most of its 34 Afghan provincial...
Vipengele vipya vya usalama vimekusudiwa kusaidia Waafghan kufunga akaunti haraka na kupunguza nyayo zao katika mitandao ya kijamii.
Alhamisi Facebook ilisema inaanzisha udhibiti mpya wa watumiaji kwa watu nchini Afghanistan ambao wanakimbilia kufuta nyayo zao za kidijitali kwa hofu simu zao au...
Taliban wako kwenye operesheni ya kuwatafuta watu waliofanya kazi kwa vikosi vya Nato au serikali ya zamani ya Afghanistan, waraka wa Umoja wa Mataifa umeeleza.
Usema wapiganaji hao wamekuwa wakienda nyumba kwa nyumba kuwatafuta wanaowalenga na kuzitishia familia zao.
Kundi hilo lenye msimamo...
Marekani 'ikiikimbia' Taliban zifahamu nchi hizi nne zinazoendeleza uhusiano na kundi hilo
CHANZO CHA PICHA,REUTERS
Huku Marekani na nchi nyingi za magharibi zikiharakisha kuwoandoa raia wake nchini Afghanistan baada ya kundi la Taliban kuuteka mji mkuu wa Kabul na kuchukua madaraka, kuna...
Wazungu wako bize kutuma madege kuhamisha "watu wao" kutoka Afghanistan baada ya Wataliban kuiangusha serikali yenye askari waliofunzwa vizuri kwa miaka 20 na kupewa silaha nyingi za kisasa na ujuzi wa kuzitumia. Kinachowauma na kuwashangaza wazungu ni:
1. Kwanini Askari wenye silaha bora...
Watu watatu wameuawa na dazeni ya wengine wamejeruhiwa baada ya wanamgambo wa Taliban kufyatua risasi ili kuwatanya watu waliokuwa wanaandamana kupinga utawala wa kundi hilo katika mji wa Jalalabad.
Video zilizochukuliwa na kituo cha habari cha Pajhwok Afghan News, zimeonyesha waandamanaji...
Eee bwana wee!
Vita vya ndani havina mshindi. Bila kukaa mezani na kutengeneza muuundo usio na ubaguzi wala ugandamizaji wa haki za watu katika jamii, historia inaendelea kuonyesha kwamba "Utulivy wowote unaoweza kuonekana huwa ni unafiki, unaovundika machafuko".
Baada ya watalibani kutangaza...
Jana wana Mgambo wa Kitalabani waliitisha kikao chao cha kwanza na waandishi wa habari wa kimataifa kueleza jinsi watakavo uongoza serikali yao. katika vitu muhumu walivyo sema ni:
1. Utawaala wao uta heshimu haki za wanawake na watakua huru kuendana na sharia za Dini yao
2. Uhuru wa Vyombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.