Wanajf mimi ni kijana mkazi wa Arusha miaka 37, msomi kias na pia mjasiriamali, maji ya kunde na mrefu kiasi, mkiristo.
Future wife awe na sifa hizi;
~ Miaka 32 kushuka.
~ Mweupe (weupe asili).
~ Asiwe mrefu sana wala mfupi.
~ Asiwe mnene sana.
~ Mkirsto.
~ Anayejielewa na kujua maana halisi ya...