Habari za wakati huu!
Moja kwa moja nawaelekea TANROADS kuhusu hii barabara ya kimkakati inayoanzia darajani kimara mwisho kuelekea tabata bonyokwa mpaka tabata segerea.
Kwa muda mrefu hii barabara imekuwa ikisahaulika kuwekewa lami ilihali ina umuhimu mkubwa sana wa kupunguza foleni ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amewateua wafuatao:-
i) Amemteua Mhandisi Rogatus Hussein Mativila kuwa Naibu Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Miundombinu). Mhandisi Mativila alikuwa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS).
ii) Amemteua...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewateua wafuatao:-
1. Amemteua Mhandisi Rogatus Hussein Mativila kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI (Miundombinu). Mhandisi Mativila alikuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barbara Tanzania (TANROADS).
2. Amemteua...
Position: Engineer II (Environmental) – 1 Post
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To conduct environmental research on road maintenance and development works;
ii. To update the environmental management procedures to the roads sector;
iii. To conduct...
Position: Post Legal Officer II – 2 Posts
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To review law, investigates facts, and prepare legal documents;
ii. To interpret laws related to Agency operations;
iii. To file pleadings in Court;
iv. To represent the Agency...
Position: Accountant II – 4 posts
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To prepare Financial Reports;
ii. To prepare bank reconciliation;
iii. To record and processes financial transactions;
iv. To maintain and update the Fixed Assets Register; and
v. To...
Position: Post Procurement Officer II – 6 POST
Application Timeline: 2023-06-07 2023-06-13
Duties and Responsibilities
i. To prepare estimates and budget for office supplies;
ii. To manage incoming and outgoing supplies;
iii. To maintain receipt and issue register;
iv. To manage stock;
v. To...
Kujenga Mfugale Fyover sasa imedhihirika kuwa haijatatua msongamano mkubwa wa magari.
Tatizo ni junction ya Buguruni/Mandela/Vingunguti roads.
Naamini Wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS in wahandisi wa kutosha kubuni(design) Interchange ya kuondoa kero hii amnayo sasa imekithiri.
Kwa sasa hivi...
Habari wana Jamvi,
Sioni umuhimu wa Taa za kuongoza magari makutano ya Samnujoma/SIMU 2000 (Mawasiliano) wakati zinaruhusu magari yanayotoka Mwenge na Mawasiliano kwa pamoja?
Ujenzi wa miradi mbalimbali ya barabara unaofanywa na Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania TANROADS umetajwa kuwa neema, manufaa na kufungua fursa mpya kwa watanzania hasa kwa kuunganisha Nchi na mikoa kwa barabara nzuri za lami.
Kauli hiyo imetolewa mkoani Rukwa na Waziri wa Ujenzi na...
Nimesoma moja ya post humu kwamba kwa mujibu wa CAG, Tanroads walikuwa na bakaa kwenye bajeti yao. Nimesikitika sana kwa kweli. Hali ilivyo mbaya sana tena sana kwenye jimbo la kibamba kwa barabara zilizopo chini ya Tanroads, alafu inapatikana hela ya kurudi serikalini? Hii si ni dharau kweli...
Viongozi na Mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania TANROADS Wamepatiwa mafunzo ili kuwaongezea uwezo, kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na kutimiza malengo ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Akifungua Mafunzo hayo ya siku tano...
Hali ni mbaya sana tena sana. Sehemu ya dakika 5 sasa hivi tunatembea nusu saa. Shida kubwa ikiwa hasa jimbo la kibamba. Mpaka daladala wameondoa mabadi yao kwa sababu ya ubovu wa barabara. Mfano mzuri ni hii barabara ya Mbezi High School kwenda Mpigi magoe. Hii siyo barabara ni handaki kabisa.
Meneja wa TANROADS Kigoma, Mhandisi Narcis Choma amesema Serikali imetoa fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 567 kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya barabara yenye jumla ya urefu wa Kilometa 420 zinazojengwa kwa kiwango cha lami kwa wakati mmoja mkoani hapo.
Amesema: “Hiki kinachofanywa na...
Tabora ni moja ya miji ambayo Serikali ya Tanzania imewekeza nguvu katika kuboresha miundombinu ya barabara ambapo kuna miradi kadhaa inaendelea na mingine imekamilika.
Rwegoshora Michael ambaye ni Kaimu Meneja wa TANROADS Tabora, ameeleza kuwa kwa jumla mkoa huo una Kilometa 2,188.09 za...
Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Mussa Kaswahili amesema eneo hilo la Mizani barabara Kuu ya Morogoro kuelekea Iringa, awali lilikuwa na mzani mmoja, lakini Serikali imetenga fedha kwa ajili ya kuboresha na kuongeza mzani husika.
Amesema: “Awali...
Mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Dumila-Kilosa-Mikumi sehemu ya Ludewa-Kilosa yenye urefu wa kilometa 24 umefikia asilimia 90 ambapo mradi huo unatarajiwa kukamilika Julai, 2023.
Kazi iliyobakia ni ujenzi wa madaraja matatu huku ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami ikiwa...
Mvua zinazoendelea kunyesha Nchini zimesababisha uharibifu katika Barabara ya Chalinze – Segera hasa eneo la Kimange Mkoani Pwani.
Awali baada ya kudaiwa njia hiyo imefungwa kutokana na mvua iliyonyesha Aprili 15, 2023, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo alisema “Barabara ilifungwa...
Meneja wa Awamu ya tatu ya ujenzi wa mradi wa mwendokasi Jijini Dar es Salaam, Barakael Mmari amesema hadi kufikia mwishoni wa Machi 2023 matengenezo ya mradi huo yalikuwa yamefikia katika asilimia 5 (5%).
Barakael Mmari
Mradi huo una urefu wa Kilometa 23.3 unatekelezwa katika Barabara za...
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini hundi zilizochacha zenye thamani ya Sh352.12 milioni zilitolewa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kwa waathirika wa miradi miwili mkoani Dodoma.
Hali kadhalika, CAG alibaini kuchelewa kulipa fidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.