TUNACHOPIGANIA SASA;-
Serikali kwa kushirikiana na waekezaji wazalishe umeme wa megawatts 100,000 na zaidi ili kukuza maradufu Saughall za uchumi
Unit moja ya umeme iuzwe sh 50 kwa matumizi ya nyumbani, sh 25 kwa matumizi ya biashara kwa wale wenye leseni, tin number na mashine za efd, sh 15...