tanzia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

    Familia ya mr Joe Mutaboyerwa imepigwa mapanga inawezekana ni mlinzi wao mama na watoto wawili wote wameuwawa [emoji33] Very sad story Inasemekana ni njama ya boy friend wake aliyekuwa nae baada ya kifo cha Joe! Aligundua dada ana hela nyingi ambazo alikuwa apeleke bank next day, boy friend...
  2. Wakusoma 12

    TANZIA Padri Baptist Mapunda afariki dunia kwa ajali ya gari

    Wapendwa katika imani tumsifu Yesu kristo. Father Baptist Mapunda wa Kanisa Katoliki Parokia ya bikra Maria Usagara Jimbo Kuu la Mwanza amefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea huko Usagara nje kidogo ya jiji la Mwanza. Fr Mapunda alifikwa na umauti huo tarehe 3 ya mwezi huu na mazishi...
  3. Kinoamiguu

    TANZIA Mzee Chrisant Majiyatanga Mzindakaya Afariki dunia

    Wandugu, Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu. Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa...
  4. Erick Kalemela

    TANZIA Salehe Songolo, aliyetengeneza Meli za MV Mbeya na MV Songea afariki Dunia

    Mmiliki wa kampuni ya songoro Marine amefariki Dunia akiwa mkoani Mbeya Mwananchi limeripoti.
  5. U

    TANZIA Mzee Shareef Al Mandal Amefariki Dunia

    Mzee Shareef Al Ahdal ambaye ni Baba Mzazi wa Sheikh Nudreen Kishk na Shareef Abdurgadil Al Andal amefariki majira ya saa sita mchana Wilayani Temeke Mazishi yake ni leo baada ya alasiri na ataswaliwa Masjid Maamur. Atazikwa makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam. Mtanzania digital
  6. Roving Journalist

    TANZIA Mbunge wa Jimbo la Konde Zanzibar, Khatib Haji afariki Dunia

    Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia. Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo. Khatibu aliwahi kuwa Mbunge wa Konde kupitia Chama cha Wananchi CUF mwaka 2010 hadi 2020. Alishawahi kushika nafasi...
  7. B

    TANZIA Hassan Bantu afariki Dunia

    Mkazi maarufu wa mjini Morogoro, Hassan Bantu pichani chini amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili alikopelekwa baada ya kuugua kwa muda mfupi: Hassan Bantu alikuwa mfanyabiashara maarufu mzawa baina ya wengi wenye asili ya kiasia mjini humo. Katika kipindi chake, Bantu amekuwa...
  8. Roving Journalist

    TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

    Mkurugenzi Mtendaji wa Montage, Teddy Mapunda amefariki muda mfupi uliyopita baada ya kuugua ghafla wakati akipata futari na wenzake hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam na kukimbizwa hospitali ya Aga Khan. Machi, 2012, alichaguliwa kuwa mmoja ya wajumbe watano waliounda Bodi ya Wakurugenzi ya...
  9. B

    TANZIA Kanali Dkt. Moses Mlula afariki dunia kwa ugonjwa wa Covid 19 nchini India

    This comes in the backdrop of reports of growing number of infection within the diplomatic community in the capital. A Tanzanian official based here has become the first foreign diplomat to die of COVID-19 pandemic. The High Commission of Tanzania has announced that Col. Dr. Moses Beatus Mlula...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    TANZIA Mama Sabetha John Mwambenja afariki dunia

    Mama SABETHA JOHN MWAMBENJA amefariki katika hospitali ya Aga Khan alikokuwa akioatiwa matibabu. Mama Mwambenja alipata kuongozana taasisi mbalimbali za kifedha ikiwemo benki ya Exim, na benki ya Covenant. Mipango ya mazishi inaendelea kufanywa. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema...
  11. Sir John Roberts

    TANZIA Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

    Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo. Anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills, Zan fast ferries , majipoa Nk. Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
  12. U

    TANZIA Sheikh wa Mkoa wa Singida, Salum Mahami afariki dunia

    Msiba mkubwa wa kumpoteza Sheikh Salum Mahami akiongoza Mkoa wa Singida aliyetutoka leo Alhamisi Aprili 15, 2021 Tunatoa pole kwa wafiwa wote Bwana ametoa & Bwana ametwaa & Jina lake lihimidiwe Taarifa kwa mujibu wa Mufti Sheikh Aboubakar Zuberi Baraza la Ulamaa katika kikao chake cha...
  13. Idugunde

    TANZIA IGP Simon Sirro afiwa na Mama yake Mzazi usiku wa kuamkia leo

    Mama mzazi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo April 10, 2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu. Msiba upo nyumbani kwa IGP Sirro, Masaki, Dar es Salaam. Kati ya jambo ambalo Mungu...
  14. Analogia Malenga

    TANZIA Padri Cephas Mgimwa Afariki Dunia

    Aliyewahi kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU), Padri Cephas Mgimwa amefariki leo katika Hospitali ya Teule ya Tosamaganga Iringa Makamu Mkuu wa Chuo amesema katika tangazo la kifo kuwa taarifa za siku na eneo ambalo atazikwa zitatolewa
  15. Roving Journalist

    TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Joseph Magufuli amefariki dunia. Taarifa rasmi iliyotolewa kwa umma na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kupitia Televisheni ya Taifa (TBC) leo usiku Machi 17, 2021 saa 5 usiku imeeleza kuwa Rais Magufuli amefariki dunia leo majira ya saa 12...
  16. Cannabis

    TANZIA Mmiliki wa hoteli ya kitalii ya Snowcrest, William Mollel afariki

    Arusha. Mfanyabiashara maarufu jijini Arusha ambaye pia ni mmiliki wa hoteli kadhaa za kitalii , ikiwepo Snow crest , William Mollel amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Akizungumza na mwananchi Mpwa wa mfanyanyabiasha huyo,Lemburis Sirikwa amesema Mollel amefariki Jana. "Ni kweli...
  17. Analogia Malenga

    Tanzia: Mfalme wa wazulu, Goodwill Zwelithini afariki dunia

    Mfalme wa Wazulu wa Afrika Kusini, Goodwill Zwelithini amefariki katika Hospitali ya KwaZulu-Natal alipokuwa anatibiwa kisukari Mfalme Zwelithini ameugua kwa takribani kabla ya umauti kumkuta alfajiri ya Machi 12. Amekuwa mtawala waZulu tangu 1968 Zwelithini ni mfalme wa nane wa wazulu ambapo...
  18. Cannabis

    TANZIA Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo afariki dunia

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo amefariki dunia leo Jumanne Februari 23, 2020. Katibu mwenezi CCM mkoani humo, Mayunga George amethibitisha. Chanzo: Mwananchi
  19. T

    TANZIA Gavana mstaafu wa BoT, Profesa Benno Ndulu afariki dunia

    Kwa taarifa za uhakika ni kuwa aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu ametangulia mbele ya haki. Profesa Benno Ndulu amefariki dunia asubuhi ya leo Februari 22, 2021 katika Hospitali ya Kairuki alipokuwa akipatiwa matibabu. Profesa Ndulu alihudumu nafasi ya Gavana...
  20. D

    Kuna uhusiano wowote wa kutohoa neno TANZIA kutoka kwenye TANZANIA?

    Wataalam! Ukiangalia Utofauti wa neno TANZIA na TANZANIA ni mdogo sana! Je, kuna uhusiano wowote wa inchi na neno hilo? Je, hakuna namna yoyote neno hilo likafutwa kwenye kamusi na kutaftiwa neno mbadala?
Back
Top Bottom