Kwa Utaalam niliousikia anao Kocha mpya wa Simba SC mwenye Viwango vya Kimataifa na vya Mbinguni Bwana Pablo kutoka nchini Hispania nimedokezwa kuwa kuna Kozi moja ataiendesha nchini Tanzania ambapo Makocha kama Nabi, Kaze na Zahera hawana jinsi na watalazimika tu Kuhudhuria na Kuhitimu ili...
Jamani ndugu zangu wa Dodoma Mjini hasa wale mnaoishi maeneo ya Uzunguni Kilimani, nimepata lalamiko toka kwa rafiki yangu mmoja ananiambia hapo uzunguni kuna jamaa TAPELI MITAA HIYO kuweni makini naye, jamaa yangu anadai katapeliwa na huyo ndugu pesa yake.
Inasemekana huyo tapeli ni mgeni...
"Mwanamke mmoja wa kizungu aliniomba urafiki huko Facebook, nikakubali na akaruka inbox siku hiyo hiyo.
Alijitambulisha kwa jina la Dkt.Christina kutoka London, Uingereza. Akasema yeye ni daktari bingwa wa magonjwa ya watoto katika hospital kubwa huko London. Pia anapenda kumtumikia Mungu...
By
Vincent Achuka
Reporter
Nation Media Group
As an unwritten rule in all global Internet frauds, no matter the amount of money stolen or the friendships that exist between gang members, all scams end when the scammers turn on each other.
On Thursday, the United states indicted Kenyan...
Mzuka wanajamvi!
Yule Tapeli maarufu kutoka Nigeria alipata umaarufu kwa kugonga vichwa vya habari duniani kwa utapeli mitandaoni na kujipatia kiasi kikubwa cha mamilion ya dollars za kimarekani Ramon Abbas almaar Hushpuppi juzi Alhamisi kafunguliwa kesi rasmi na FBI.
Ila cha kushangaza...
Raia wa Nigeria, Ramon Abbas, maarufu kwa jina la Hashpuppi amekiri makosa ya utakatishaji fedha katika mahakama nchini Marekani.
Hashpuppi, aliyejipatia umaarufu kwa maisha yake ya anasa mitandaoni, ambapo ana wafuazi zaidi ya milioni 2.5 katika mtandao wa Instagram, amekiri makosa ya utapeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.