taratibu

  1. YEHODAYA

    Taratibu za kupata statement of results ya matokeo ya form four ikoje?

    Matokeo ya form four yametoka utaratibu wa kupata statement of results ukoje
  2. M

    Kama taratibu zinaruhusu, shule hizi zihakikiwe

    Kuna baadhi ya wanafunzi nawafahamu wametoka miongoni mwa shule hizi zinazoongoza kitaifa/form 4, wanapokuwa A level au hata chuo ukweli ni tofauti kabisa na ufaulu wao wa O level. Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu...
  3. YEHODAYA

    Mtanzania ukitaka kununua hisa kwenye masoko ya hisa ya nje ya nchi taratibu zikoje?

    Mtanzania uliye Tanzania ukitaka kununua hisa za makampuni kwenye masoko ya hisa mfano Ulaya au Marekani, taratibu zake zikoje?
  4. Camp Lehigh

    Earphones zinaniua taratibu

    Ukisikia tamu chungu au sikio la kufa halisikii dawa ndio huku sasa. Toka mwezi July sikio la upande wa kulia linauma. Kichwa kinauma muda mwingi ajili ya kuvaa earphones kila wakati ila sikomi. Nahisi kansa ya ubongo ndio inaninyemelea kutokana na maumivu nayopata upande wa kisogoni. Lakini...
  5. jonas255

    Taratibu za kuvunja ndoa bomani

    Habari wana JF Mimi nilifunga ndoa ya bomani, ila ndoa yangu iliingia doa na uwezekano wa kurudiana imeshindikana. Nilikua naitaji kujua taratibu za kuvunja ndoa za bomani, maana sheria inataka ndoa za Kiislam tu ndio zivunjwe mahakamani, ila za Kikristo na za bomani hazijazungumziwa. Asanteni.
  6. N

    Al Bashir akabiliwa na hukumu ya kifo kwa kupindisha taratibu za kidemokrasia

    Kufuatia mapinduzi ya mwaka 1989 yaliyomweka madarakani rais wa Sudan aliyeondolewa madarakani Al Bashir, sasa atashtakiwa kwa makosa ya kuhujumu mfumo wa kidemokrasia. Endapo atatiwa hatiani, basi hukumu yake ni kifo au kifungo cha maisha jela. Hii ni taa nyekundu kwa CCM wanaovuruga mfumo wa...
  7. Christopher Cyrilo

    Chonde Kanisa Katoliki, historia inatuhukumu

    CHONDE VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI - HISTORIA INAWASUTA. "Viongozi wa dini kuhamasisha watu kupiga kura wakati huu, ni sawa na kuchochea chuki" Hali ya maisha katika nchi za mashariki ya kati ndio mfano halisi wa mambo makuu matatu yanayoweza kumfanya binadamu aamue kwa hiari yake kuondoa...
  8. _nkuwi

    Naomba kujua taratibu za kufuata ili kuanzisha kituo kidogo cha matibabu ya meno

    Habari zenu? Ninaomba msaada wenu, hivi ni hatua zipi ninapaswa kuzifuata ili niweze kusajili na kufungua kituo kidogo cha kutoa matibabu ya meno?
  9. aka2030

    Taratibu za jeshi la polisi zinaruhusu hii?

    Kuweka picha kwenye mitandao ya kijamii ukiwa umevaa kombati?
  10. Doctor Mama Amon

    Tamko la waumini wanaopinga Parokia ya Kawe kuendeshwa kinyume cha taratibu za Kanisa Katoliki

    PAROKIA YA MT. MIKAELI KAWE, DAR ES SALAAM Tamko la waumini wanaopinga Parokia ya Kawe kuendeshwa kinyume cha taratibu za Kanisa Katoliki Tarehe 04 Novemba 2019 Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar Es Salaam, Juda Thaddeus Ruwaichi, ambaye ndiye Askofu mwenye mamlaka na Paroko wa Parokia ya Kawe...
  11. G Sam

    Kama kwa haya tunayoyaona Rais Magufuli mbali na taratibu, pia anavunja katiba waziwazi vipi kwa tusiyoruhusiwa kuona

    Kwa haya machache tunayoyaona, Rais wetu anavunja taratibu na kanuni waziwazi, vipi kwa tusiyoruhusiwa kuona? Tutazame haya machache: 1. Nafasi 10 alizopewa kuteua wabunge alivunja katiba tukapiga kelele mmoja akajiuzulu kisha kupewa ubalozi. Hata hivyo kujiuzulu kwa huyo mmoja hakukumoondolea...
  12. GENTAMYCINE

    Naona taratibu vita kati ya EFM na Wasafi FM inazidi 'kunoga' tu

    Leo akiingia kuchangia 'kiuchambuzi', mchambuzi Oscar Oscar alianza kwa kutoa kicheko cha 'kinafiki' kisha akahoji, je madeni yameshalipwa? Watangazaji wenzake wote studioni wakaanza kuangua kicheko ambacho kinaonesha kabisa kuwa ni 'kijembe' kwa wale waliowakimbia. Juzi tena kuna Mtangazaji wa...
  13. Breezyman

    Ni taratibu zipi natakiwa kuzijua kwenye uombaji wa cheti mbadala kutoka NACTE

    Msaada wa pendwa cheti changu cha Diploma kimungua kwa ajari ya moto, nimekwama baada ya kushindwa kupata muongozo kutoka kwenye website ya NACTE. Ni kiasi gani cha fedha na muda wa kupata hicho cheti mbadala ni upi?
  14. Invisible

    TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

    Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya biashara yoyote nje au ndani ya JF bila kutushirikisha msiilaumu JF. Tunafahamu kuna ambao...
Back
Top Bottom