Hatimaye dimba limekamilika kwa ajili ya vikao vya kuanzia hapo kesho. Kila kitu kimezingatiwa ikiwemo taratibu za kujikinga na Corona.
Picha za awali zilizotumwa (Isipokuwa ya meza kuu ambayo inajumuisha viongozi wakuu wa chama) ni za vikao vilivyowahi kufanyika siku za nyuma yaani vya...
KATIBU MKUU
CHAMA CHA MAPINDUZI,
S. L. P. 50
DODOMA
22/07/2020
Ndugu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi,
Dkt Bashiru Ally
YAH: UKIUKWAJI WA TARATIBU ZA UCHAGUZI JIMBO LA HANDENI VIJIJINI
Husika na kichwa cha Habari,
Kwa heshima kubwa kwanza tunakupongeza kwa kusimamia taratibu, kanuni na...
Kwema wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Miezi ya hivi karibuni kuliibuka mtindo uliopachikwa jina la "Kuunga Mkono Juhudi" ambapo Viongozi mbalimbali waliokua upinzani walijiondoa na kujiunga na Chama tawala cha CCM.
Wengi wa hawa waunga mkono juhudi walitokea Chama cha CHADEMA, na...
Mfano wewe Ni jinsia ya kiume (Me) ukaenda kutoa pesa kwa wakala halafu jina lionekane mtoaji aliyetoa ni jinsia ya kike (KE)! Utaratibu wa Sasa hutakiwi kupewa pesa hiyo vinginevyo Ikitokea iwe Ni kwa huruma ya wakala!
Utaratibu kwa Sasa wenye majina yenye mashaka sahivi unapaswa kuonesha...
Happy Saba saba day!
Niende kwenye mada,Watanzania tuna bendera yetu ya taifa,na nimeona watanzania wengi wakiweka bendera za taifa kwenye magari yao,makanisa yao,ofisi zao nk na wengine kupewa bendera wanapoenda nje ya nchi hasa wasanii.
Nauliza je ninaweza kuweka mlingoti wenye bendera ya...
Hili tatizo linaniumiza sana kichwa
Navyowasha PC ile system ya hp ambayo inaload kabla ya windows kuload IPO taratibu sana, nliupdate BIOS ila wapi na hio bios ile update kwa masaa mawili
Napowasha PC inakua haionyeshi kitu kwa dakika hivi alafu bios inayokea chats ya HP inakuwa ivoivo kama...
Ulitutangazia na tukakuona kwenyeTv ukisema kuwa process/procedure zote za umiliki wa ardhi ( kiwanja/viwanja) zitamalizwa na mkoa (ulianzisha ofisi za ardhi kwa baadhi ya mikoa) bila kwenda Dar/ Moshi/Mwanza kwenye kanda kama taratibu za zamani zilivyo kuwa.
Leo naona bado utaratibu wa...
Wakuu Habari.
Naomba kujuzwa taratibu za kuagiza pikipiki kutoka nje (Mfano Japan). Kwa magari tunaona kuna website kama Beforward Tradecarview Autocom etc, sasa kwa pikipiki kuna utaratibu huo?
Na ikishafika bandalini, wakati wa kuitoa ushuru una kadiriwaje au unafuata taratibu gani?
Shukrani.
Maelezo ya mmoja wetu kuhusu hilo yako hivi:-
“Naomba kushare na ninyi jambo moja linasikitisha kidogo. Jana kwenye mitandao ya kijamii hapa China kumeibuka habari ya kuchafua jina letu Tanzania. Kuna mtanzania mwenzetu ameripotiwa kufanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na maelekezo tunayopewa...
Poleni na majukumu,
Nimepata mshtuko kidogo hapa mitaani, tumepata msiba mtaani kwetu ila watu hawahudhurii kabisa haloo, hivi serikali imetangaza utaratibu gani kwa watu kuhudhuria misiba ili kusiwepo na taharuki na wasi kuhusu kuambukizana magonjwa.
Nauliza serikali imetoa pendekezo lolote...
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika...
KUHUSU HILI LA DOLA TUKIENDA TARATIBU TUTAMUELEWA KATIBU MKUU
Magoiga SN
Katika nchi inayojiongoza kwa misingi ya kidemokrasia hususani demokrasia ya vyama vingi, Chama cha siasa kinapochaguliwa na wananchi kwa kura hupewa mamlaka ya kuunda serikali, serikali hiyo iliyoundwa inakuwa serikali...
Darassa kamshirikisha Sho Madjozi wa South Afrika ambaye ameishi kwa muda Tanzania pia kwenye ngoma 'I like it.'
Sura ya mwanadada, Madjozi, inabadilika wakati wa kupelekwa taratibu na then puta na kukanyagiwa mafuta (angalia kati ya around 1:59 na 2:04). Maswali, ili ni somo kwa wanadada namna...
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani...
Naomba kuuliza iwapo mtu amekopa fedha na akaweka kiwanja kama dhamana na kukawa na mkataba wa maandishi kuwa akishindwa kulipa deni basi kiwanja alichoweka Kama dhamana kitachukuliwa na kuwa mali ya mkopeshaji na ambachi atakiuza ili kulipia deni.
Kwa mfano,hata kama mkataba unamruhusu...
Binadamu ameumbwa katika hali ya kuwajibika kipekee sana kwa ajili ya maisha yake kuliko viumbe wengine wengi tunaowaona katika uso wa Dunia.
Kuna mambo mengi mno ambayo binadamu akiyafanya yanamuua taratibutaratibu na mara nyingi zaidi kabla ya kifo halisi.
Siyo jambo la kushangaza kukutana...
Fikiria tuhuma nzito kama hii inatolewa ndani ya Bunge na Mheshimiwa Mbunge halafu ukimya unatanda. Bunge kimya, vyombo vya usalama kimya, chama husika kimya na wananchi wanaowakilishwa na huyo Mbunge kimya! Je ni woga, ujinga au ukondoo.
Watanzania hebu tutulie, tujitafakari na tujiulize kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.