Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anazindua nembo na tarehe ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, leo tarehe 08 Aprili, 2022 Golden Tulip Hotel, Zanzibar.
Rais Samia ameanza kuzungumza muda huu...
Rais Samia: "Taarifa nilizonazo ni kuwa oparesheni inaendelea...