tarehe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Q

    Waziri Mkuu Majaliwa atoa ufafanuzi kuhusu ongezeko la mshahara kwa wafanyakazi leo Julai 29, 2022

    Sina mengi ni kuanzia saa kumi jioni. Japo wadau wengi hawana imani tena baada ya kupitia uzoefu fulanifulani zilizo tolewa ufafanuzi kupitia ofisi ya Waziri Mkuu. === Aliyoyazungumza waziri Mkuu. Rais Samia Suluhu Hassan tangu ameingia madarakani amehakikisha watumishi wanapata amani mahali...
  2. The Sunk Cost Fallacy

    Kwa Heshima ya Mashujaa,Tarehe 25 July ifanywe kuwa Public Holiday badala ya Sabasaba na Nanenane

    Habari ndugu wanajukwaa.. Kiukweli inashangaza kwamba Leo tarehe 25 July ni Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa wa Nchi hii lakini hakuna hata mtu anaefahamu zaidi ya kuwaona Viongozi wa Serikali Wakijikosha kwenye majukwaa.. Kiukweli kwa Heshima ya Watu waliomwaga damu,jasho zao na nguvu Lai...
  3. GENTAMYCINE

    Kwa Mziki huu hakyanani kuna Mtu atakufa Goli 15 kwa 0 tarehe 13 August, 2022

    1. Aishi Manuka 2. Shomary Kapombe 3. Mohammed Hussein Tshabalala 4. Henock Inonga 5. Mohammed Outtara 6. Victor Agban 7. Okra Messi wa Ghana 8. Clatous Chama 9. Moses Phiri 10. Lobi Manzoki GENTAMYCINE 11. Pape Sakho Tutaheshimiana tu Msimu huu sawa?
  4. Greatest Of All Time

    Tarehe kama ya leo miaka 45 iliyopita, Simba 6-0 Yanga

    Abdallah Kibadeni akaishia kupiga zake hat trick ya kwanza na ya pekee katika derby ya kariakoo. Utopolo mpaka leo wameshindwa kulipa kichapo hiki. Naambiwa baada ya mechi hii, bakora za kutosha zilitembea sana jangwani! Kwahyo sio mbaya wakati tunaenda mbele tusisahau na tulikotoka, Utopolo...
  5. M

    KWELI Bodaboda atumwa barua yenye ujumbe wa kulipua Kambi ya Lugalo kati ya Novemba 20 hadi 27, 2021

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyozua Maswali mengi na Taharuki ya Kiusalama Kawe ni kwamba Kijana Mmoja Dereva Bodaboda amejikuta matatani baada ya kutumwa kupeleka Barua yenye Ujumbe wa Tishio katika Kambi ya Jeshi ya Lugalo. Ilikuwa ni Siku ya Jumapili iliyopita ambapo Kijana huyo (...
  6. Ryzen

    Kheri ya Kumbukizi ya siku yaKuzaliwa Kwangu na wengine waliozaliwa tarehe kama ya leo.

    Leo ni July 15, Ni kumbukukizi ya siku ya kuzaliwa kwangu. Naomba Nichukue sekunde zako chache Tuwatakie wote waliozaliwa terehe kama ya leo kheri na fanaka tele katika maisha yao!
  7. mwenye shamba

    Tarehe ya kuripoti ajira mpya ualimu

    Jamani naombeni kujua tarehe ya kuripoti tu ndugu zanguni,huku mtaani pamenichosha kabisa.
  8. Gama

    Gazeti la Mwananchi na habari kuhusu harufu mbaya Vingunguti

    Mimi hupenda kusoma magazeti kwa sababu mbalimbali. Katika magazeti ya nyumbani Gazeti la mwananchi halikosikani katika menu yangu pale inapowezekeana Mada Leo nimesoma article inayosema "Harufu kali machinjio ya Vingunguti yaleta kilio". Kilichonifanya kuandika humu si harufu wala kilio, ni...
  9. L

    Internet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni

    Internet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni.
  10. figganigga

    Mizengo Pinda: Wananchi wa Loliondo wanaohofia kuhamishwa, wasiwe na Wasiwasi (Machi, 2013)

    Salaamm Wakuu, Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, aliyomuandikia Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakati huo Magesa Mulongo, akitaka akawaondoe Wasiwasi Wananchi wa Loliondo wanaohofu kwamba Watahamishwa. Tuisome kwa Pamoja na tutafakari, je kulikuwa na Lazima ya kutokukaa meza...
  11. Rhz4567

    Tarehe 05/Jun,1997 ndiyo tarehe niliyo zaliwa!

    Shukrani nying sana ziende kwa Allah na Wazazi wangu ,leo tarehe 05/June 2022 nimetimiza umri wa miaka 25. Sasa nita focus kwenye uwekezaji wa biashara tu.
  12. MK254

    Kiwanda kikubwa cha vyuma kuanza shughuli Juni 5, 2022

    Viwanda vinazidi kuchipuka kote.. Jumbo Steel Mills’ new Sh2 billion Kisumu plant will begin operations on June 5, promising at least an additional direct 600 jobs for locals. The firm's managing director Harshi Patel said the new plant will produce various steel products such as rebars, mild...
  13. Ryder2

    UPDATE: Nimeanza kuacha matumizi ya dawa za kupunguza mapigo leo tarehe 25 saa4 kamili asubuhi

    Kutokana na maoni ya wadau mbali mbali jukwaani hapa pamoja na forum mbali mbali kama BETA BLOCKER/BISOPROLOL WITHDRAWAL FORUM, Leo nimeamua kuacha hizi dawa kwa kufanya yafutayo. 1. Kwanza ifahamike kwamba mwanzoni nilikua nameza kidonge kizima cha NEBIVOLOL chenye 5MG, na badae nikapunguza...
  14. K

    Kupatwa kwa Mwezi tarehe 26/05/2022

    Wataalamu wa nyota wanaelezea kuwa kutakuwepo na kupatwa kwa Mwezi kesho katika sehemu kadhaa za Dunia. Kwa upande wa Tanzania tukio hilo litaanza mwendo wa saa 10 alfajiri hadi milango ya saa 12 asubuhi. Naambatisha tukio hilo kwa Dar es Salaam toka maelezo ya hao Wataalam.
  15. kyaibumba

    Nisiwanyime taarifa Tarehe 17/06/2022 Ninafungua ndoa na Msweden (Mswidi)

    Habari zenu bwana mko salama ? Nimewapa taarifa nafurahia sana Mtoto wa kiswidi ndo kaangukia mikononi mwangu Atakuwa kamaliza chuo maana wazazi wake walisema mpaka amalize Upsala University Karibuni. Itafanyika Bukoba TANZANIA...
  16. R

    Msaada: Mbali na tarehe ya kuzaliwa, namba nyingine kwenye NIN zina maana gani?

    Habari Wakuu. Naomba msaada kwa anaefahamu format ya namba ya utambulisho NIN kwenye kitambulisho cha taifa anijulishe maana ya makundi mbalimbali ya namba ukiacha tarehe ya kuzaliwa. Sikuweza kupata maelezo mtandaoni.
  17. ngajapo

    Urusi imepanga kufanya gwaride la maadhimisho ya siku ya mashujaa Mei 9 kwenye mji walioteka wa Mariupal

    Ukraine imeishutumu Urusi kwa kupanga kufanya gwaride la kijeshi la 'Siku ya (mashujaa) katika mji uliotekwa wa Mariupol tarehe 9 Mei kusherehekea ushindi dhidi ya Wanazi katika vita vya pili vya dunia, AFP inaripoti. Idara ya upelelezi ya kijeshi ya Ukraine ilisema afisa kutoka utawala wa rais...
  18. FRANCIS DA DON

    Hivi wenye magari wote tukaamua Mei 4 tupaki magari, itakuwaje?

    Nimeshtuka sana kusikia eti kesho mafuta yanapanda tena bei hadi kufikia 3,400/= kwa lita kwa baadhi ya mikoa. Hivi itakuwaje kama wenye magari wote watasusa na kupaki magari kesho. Au tuamue hapa hapa...
  19. Niache Nteseke

    Kuna taarifa kuwa mwezi umeonekana Tandahimba jana tarehe 01/05/2022

    Wasalaam, Natumai mnaendelea salama wote, kuna taarifa inaenea sana kuwa mwezi umronekana jana maeneo ya Tandahimba na masheikh wa Bakwata, wakawapigia simu Bakwata makao makuu lakini wakazipuuza hizo taarifa na kuwatangazia raia kuwa mwezi haukuandama siku ya jana hivyo leo watu waendelee...
  20. M

    Mlio na Mtazamo wangu kama huu kwa 'Kariakoo Derby' ya jana tarehe 30 April, 2022 tujuane tafadhali....

    1. Kujiona ( Kujimwambafai ) kabla ya Mchezo kuanza kwa Mshambuliaji Hatari wa Yanga SC Fiston Mayele kulichangia Kumharibu / Kumharibia Kisaikolojia kwani Kitendo kile ni kama vile kiliwapa Kengele Mabeki wa Simba SC waongeze juhudi maradufu katika Kumdhibiti hadi akashindwa Kufurukuta. 2...
Back
Top Bottom