taswira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LIKUD

    Ni nuksi Kwa taswira ya mtu kuonekana kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu

    Wataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililobeba mwili wa marehemu " funeral car" Suluhisho ni nini? Kufanya maombi mazito kama ni mkristo... Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu Kufanya tambiko Zito la...
  2. S

    Rais Samia ingilia kati suala la Mbowe ukubalike zaidi kisiasa; kesi ikitupwa au akishinda itakuharibia taswira yako na ya CCM

    Mtu yeyote mwenye kujua sheria anapoona tu kichwa cha thread hii, atasema sio sahihi, Rais Samia hapaswi kuingilia kati suala la mashitaka ya Mbowe ya Ugaidi kwa kuwa hapaswi kuingilia kati mhimili wa Mahakama. Ni kweli. Lakini pia, Watanzania wengi sana wanaamini kwa dhati kwamba kesi ya...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    Simba, vitendo vyenu vya kishirikina vinaharibu taswira ya soka la Tanzania

    This is Simba. Vitendo Kama hivi vinachefua na kuharibu taswira nzima ya soka la nchi yetu. Serikali ikemee vikali tabia hizi
  4. Idugunde

    Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

    Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu. Wakiona serikali inajenga shule, hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu. Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais. Naweka baadhi ya mifano. Nilishuhudia mkoa wa Singida...
Back
Top Bottom