*Na Christopher Cyrilo*
ILIKUWEPO NCCR, IKAWEPO CUF, ILA CHADEMA NI TOFAUTI.
Sehemu ya 1
Mwaka 1995, sisi watoto wa enzi hizo tulikuwa na kawimbo flani hivi, tunaimba;
'Mkapaaa, Mkapa ana kikwapa'
'Mremaaaa, Mrema ana kilema'.
Watoto wa Tanga utawaweza kwa vituko?
Kulikuwa na mpambano wa...