CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni...
Jaribu Kufikiri,
Umehangaika kutafuta business opportunity kwa njia unayoifahamu wewe,ukatafuta mtaji,ukaajiri wafanyakazi ili mfanye kazi pamoja mjenge kampuni,mjenge maisha.Ila Kila mara unajikuta unahisi kuna kitu unakikosa katika katika timu yako.Kuna wakati unafikiri labda hawana uzoefu au...
Huyu mtu toka ugomvi wake na Bumbuli kazi yake ni kudhalilisha wenzake na mwishowe yeye au watu wake huja kwa kasi kumtetea.
*Vs Bumbuli: kisa kilikuwa lopolopo kufurahia basi la la Yanga kupasuka tairi la mbele ,Bumbuli hakuvumilia hali ile akamuwakia jamaa akaliaalia kwamba ananyayapaliwa...
Siku ya pili ofisini, Rais wa Zambia anasema ameteua team ya wataalam kuanza kufanya tathmini ya mfumo wa kodi wa nchi hiyo ili ufanyiwe mabadiliko makubwa ili kuondoa kasoro nyingi ambazo zimesababishwa na utawala uliopita katika uchumi wa nchi yao. Wakati Tanzania ndiyo kodi na tozo sasa...
Very stupid football player. Anaongea mbele ya wenzake akidhani sisi wote hatufahamu Kifaransa. Kuwa yeye ameamua kuchezea Yanga sababu kule Simba kuna ushindani sana wa namba.
Hivyo anaona akija Yanga kuna uhakika na watampa namba wakati wote. Yaani professional player anakimbia changamoto...
Hio Kampuni ya Media ambayo iko integrated kwa mambo ya tourism, ilibidi niiisimamishe kwa muda kwa sababu vijana waliokuwepo walikuwa waswahili, wavivu, na wasiojituma. Ili kuirudisha tena, nahitaji Vijana Wachapa Kazi sana. Kila mfanyakazi ni lazima ajue English vizuri kwa kunyooka sababu...
Niongezee kidogo..... Swala la gazeti la Uhuru kusema Samia hatagombea nazani ndio hisia na takwa halisi la mfumo ulioachwa...
Kwenye suala la chanjo Polepole hana hoja yoyote ile ya kisayansi au kitabibu. Anachotaka ni kuuambia umma kuwa kiongozi aliyepita alikuwa Bora kuliko huyu.
Nilisikia...
Reference Number CCB210803-10
Job Title TEAM LEADER PACKAGING
Function Manufacturing
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type Permanent
Location – Country Tanzania
Location – Province Not Applicable
Location – Town / City Dar es Salaam
Job Description
Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting...
Natazama Olympic
Basketball
USA Vs France.
Naona hii USA the dream team hamna kitu kabisa..
Niliona walifungwa hadi na Nigeria kwenye maandalizi ..naona mwaka huu hata medali ya Shaba hawapati
Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei
Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli...
Job Description
All NRC employees are expected to work in accordance with the organisation’s core values: dedication, innovation, inclusivity and accountability. These attitudes and believes shall guide our actions and relationships.
JOB DESCRIPTION
ROLE AND RESPONSIBILITIES
Ensure adherence...
Inasikitisha sana kwa kweli hawa jamaa nilkuwa najua ni manguli wa habari za michezo wako sasa hivi saa 19.50 wanadanganya kuhusu habari ya florente ibenge wakidai ni kocha wa team y a taifa ya Dr Congo
ibenge kaacha kazi as vita anaelekea Orlando pirates ila hawa jamaa wako hapo studio wanadai...
Wadau wote, wanahitajika wasomi wenye degree walau za masoko au za afya aina yoyote au ofisa mauzo wenye weledi kwa ajili ya masoko ya huduma za afya, lengo ni kuuza system za IT kwenye hospitals za private na za serikali na kwamba maofisa hawa watafanya kwa mikataba ya muda mfupi mfupi wenye...
Wazee wa klabu namba 74 kwa ubora barani africa yanga sc wamekataa kuingiza team tarehe 3 july.Team hiyo ya mitaa ya twiga na jangwani ambayo kwa mujibu wa shirikisho la soka afrika ni ya tatu kwa ubora nchini nyuma ya simba na namungo kikawaida huwa ina utaratibu wa jadi na wa kihistoria wa...
Na. CM 1774858.
1. Jana trh 28|05|2021|1:26Pm nikiwa Ofisi za CCM Lumumba nikimsubiri Katibu wa Itikadi na Uenezi Comred Shaka Hamdu Shaka walifika Wasanii kadhaa akiwemo Diamond Plt, wote kwa pamoja wakiwa na shida ya kuonana na Ndg Shaka Hamdu Shaka,Muhudumu akawaomba wamsubiri kama...
Kimzaha mzaha wakati inaonekana anahangaika kuipandisha brand ya Simba ukweli ni kwamba kwenye issue ngumu ni muoga sana, Simba ilipofikia kuna siku itechaza hata na Manzese united wakasema simba imepuliizia sumu na habari ikasambaa Afrika nzima ikaamini.
CEO hizi habari anakausha kimya hadi...
Reference Number CCB210511-1
Job Title TEAM LEADER PACKAGING
Function Manufacturing
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type Permanent
Location – Country Tanzania
Location – Province Not Applicable
Location – Town / City Dar es Salaam
Job Description: Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting...
Wadau wenzangu
PNC
The Icebreaker
Joseverest
King_Ngwaba
makaveli10
kilambimkwidu
Chukwu emeka
BAK
Anigrain
The Boss
Saint Ivuga
dingimtoto
Kanungila Karim
Van De Beek
FORTALEZA
tony92
Chaliifrancisco
adriz
Prince Kunta
OKW BOBAN SUNZU
DENLSON
Waterloo
Isanga family n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.