Habari mbaya sana kwa deportivo la utopolo ambao kwa sasa wanalalamika kwa nini team ya 13 kwa ubora Africa ambayo very soon itaingia top 10 imeamua kuachana na yutong la sportspesa la 2010 (linalofanana na team ya 74 kwa ubora afrika mbaya zaidi bila aibu sportspesa wanatoa pesa sawa kwa...
Mechi kati ya Morocco na Mauritania, kwa wale waliobahatika kuitazama mechi leo...Kuangaza kwangu macho nikamuona fundi wa Sevilla Munir El hadad akichezea timu ya taifa ya Morocco, nikabaki na mshangao...Je, ni mchezaji wa mataifa yote mawili Morroco na Spain kwa pamoja???
God bless you guy's
Kwa Tanzania imekuwa kama utamaduni. Ushirikina umeshika chat sana katika mpira wetu. Mbaya zaidi ni wachezaji wa Team mmoja kufikia hatua nao wanarogana wakigombea namba.
Team moja kubwa hapa Dar ina mchezaji huyo nasikia ukiletwa namba yake hutodumu. Anakupiga misumali. Unapata jeraha hata...
Nilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.
Ni...
Nimeumia sana kwa kitendo cha jana. Pamoja na Simba kutokuwa na washambuliaji wao Mahiri bado wanafunga ktk wakati ambao tuliamini tumeshinda.
Mimi ni Mwanayanga ambaye huwa siumi umi maneno. Jana Simba wameshinda 1-0 ukiondoa lile bao la penalty ambalo tulipewa.
Najua wanayanga wenzangu...
Huu ni wosia Mzito kutoka team X team yakuhakikisha CCM anabaki kwenye Dola miaka inayo au laa mbeleni wategemee kugawana fito.
Na hii ni baada yakuonekana uchaguzi wa mwaka huu 2020 wenye Dola wanataka kuikamata Dola kisawa sawa Yani ni ccm mwanzo mwisho. Ila wenye akili wakatoa haya.
Mnaweza...
Wote waliopo 'pale' hakuna aliyeitwa National Team hata kwa kutajwa tu...Hata hivyo Yanga imemnasa Kitasa Saidi Ntibazonkiza. Tunasema hivi Yanga ilipo tupo.. Bw Saidi akifika tunamsubiri kwa hamu tukamlaki Pale Airpprt
Vijana 8 kutoka kundi la Tamaduni Music ambao wameji-organize na kuunda kikundi walichokipa jina la Kikosi Kazi Kazini (KK)
Naweza nikasema kwa ngoma mbili hizi walizotoa Kikosi Kazi zinatosha kabisa kuficha nyimbo zote walizowahi kuimba Weusi.
Hivi kama nyimbo ya SALA utaifananisha na nyimbo...
This is very interesting, kwa kweli...
Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kampeni rasmi za kila mgombea za nchi kavu, angani au majini za kutembea kijiji kwa kijiji, kata kwa kata, jimbo kwa jimbo Tanzania nzima zitaanza trh 26/8/2020....
Lakini kampeni zisizo rasmi za MTU kwa MTU...
Huu ni ushauri kwa vyama husika - ACT Wazalendo na CHADEMA. Tunawashaurini kukaa, kubaliana (juu ya role, cooperation principles and operational modality) na kisha undeni JEIT iwasaidie kukusanya intelligence za uchaguzi wakati wa kampeni.
Lisha ichambue na kuwashauri namna ya kupanga na...
Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) on Friday May 25 awarded Sh399, 470,000 in funding to a team of researchers in medicinal chemistry, led by Professor Eliangiringa Kaale from the School of Pharmacy at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS).
The...
Habari ya asubuhi JF Family.
Mnaendeleaje leo ninafuraha sana jmn kha!sio kwamba nimeongeza mwaka mpya tu..hapana ni kwa sababu nimeongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema na uzima pia.🙏Mungu kwa hii nafasi ya pekee sana kwangu.
Ndani ya uzima na afya, utaweza kwenda popote,kufanya...
Nadhan Taifa lolote linahitaji watu kama hawa wanaoweza kusema na kuwaambia ukwel pale viongozi wa juu wanapofanya makosa, bila hiana wala uoga.
Huyu jamaa ukimwangalia alichokizungumza ni facts,
Plz watch out!
About the job
The HR and Administration Team Leader, will work under the supervision of the Support Services and will be responsible for carrying out HR and administrative tasks as related to smooth operation of the DRC Tanzania and Burundi Programme. The HR portfolio pertains to the following...
Ukistaajabu ya Corona utayaona ya CCM.
Kurudi kwa Sumaye CCM na kupokelewa kwa mbwembwe wakati ambapo makatibu wakuu wawili wakiitwa kuhojiwa ni dhihaka na vichekesho vya hali ya juu.
Sumaye kwa kipindi cha takribani miaka minne ametumia majukwaa ya upinzani kuinanga, kuizodoa, na kuisema CCM...
Affluence Training Ltd is in urgent need of 3 sales representatives for daily wages of Tsh. 10,000/= plus transport allowance. Please come to our offices for short interview with your credentials on Monday 20th January 2020 between 10:00hrs and 15:30hrs. Qualifications: Sales Skills. We are...
Job Title: Syrup Room and Water Treatment Team Leader
Function Manufacturing
Company Coca: Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type : Permanent
Location : Country Tanzania
Location : Town / City Mbeya
Job Description
Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting opportunity in Manufacturing Department. We are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.