Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na...
Nimeumia sana kuona mchezaji (Mshambuliaji)wangu ndani ya kikosi changu cha Msimbazi KOPE MUSHIMBA MUGALU akibezwa na baadhi ya mashabiki wasiojielewa.
Nani hajui mziki wa huyu jamaa?
Nani hajui mchango wake kimataifa?
Kwanini hamtaki kumpa hadhi yake huyu mkongomani?
Bila shaka hiyo ni...
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu...
Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih...
Team mwaka huu imechukua ubingwa chini ya Msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa Afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata Urais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la Afrika Mashariki yaani the MIGHTY DAR YOUNG AFRICANS..
Kubabaika na wageni toka Somalia ni ukosefu wa akili, twende na...
1. JOB INFORMATION
Organization:
Division: Corporate
WASSHA Inc. Tanzania
Workstation: Dar es salaam
Department:
Number of applicants; 1
Administration
Application email: hr@tz.wassha.com
Job Title:
Application dealdline:23rd May 2022
Procurement and administration Team...
Azimio La Umoja coalition leader Raila Odinga has announced a list of nominees who will be part of his Cabinet if he ascends into power in the August General Election.
He was speaking on Monday at the Kenyatta International Conference Center (KICC) as he unveiled his presidential running mate...
Job no: 496272
Work type: Temporary Full-Time
Location: Tanzania – Mwanza
Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks...
Job no: 496273
Work type: Temporary Full-Time
Location: Tanzania – Mwanza
Categories: Research
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly qualified candidates to serve as Team Leader...
Wakuu Mimi ni Mwanachama na Shabiki Wa Team Ya Yanga.
.
Kimsingi nimepanda Jinsi Simba walivyoonesha domination ya uwanja wa Nyumbani.
.
Haijalishi ni Uwanja Wa Mkapa au Uwanja wowote Wa Nyumbani.
.
Team makini na Sahihi haiwezi kukubali Kupoteza Kwenye Uwanja Wa Nyumbani kwao ingawa mpira una...
Kabangu ameendelea na dharau kwamba Mwakinyo ndiyo bondia bora kwa Tanzania. Hata baada ya jana kumpa kichapo bado ameendelea na msimamo wake uleule.
Sasa tunatoa tamko kama kweli Mwakinyo kidume atoe tamko yupo tayari. Sisi tupo tayari popote hata kama ni Mkwakwani tunakuja kumchakaza
Mama ni muungwana na anafwata ushauri wa kikwete na jk alikuwa ni mtu muungwana.
MFANO WA MWANDOSYA
Wakati wa utawala wa jk MWANDOSYA alikuwa tishio sana na infact MWANDOSYA na JK walishazinguana miaka ya 90 wakati wa utawala wa mwinyi. Wakati huo JK alikuwa waziri wa nishati na MWANDOSYA...
Water Resources Management Team Lead
The Tanzania Maji na Usafi wa Mazingira (MUM) Activity funded by USAID/Tanzania and implemented by Tetra Tech International Development (International Development) is currently accepting expressions of interest for qualified candidates to fill various...
Cluster Team Lead, Maternal Newborn Child Health
Location: Dodoma
Position Overview:
The Cluster Team Lead will lead regional operations and oversee program implementation in the 3 MNCH regions
supported by the project. S/he will work closely with the Regional MNH Officer and RHMTs to set...
Habari wadau,
Kuna kijana mwezetu anawazo la kufanya tukio la kitalii,, linahitaji watu takribani watano (5) wa kujitolea kuratibu na kuandaa event hii, watajitoa kwa hali na mali na kulipana baada ya kufanikisha event.
Interested?...... contact 0719225113
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona
Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa'
Aidha amesema suala la...
Tunaomba mtuelewe, sisi tumeumia sana jamaa yetu kunyan'ganywa V8, tena zile mpya zilizotumika kwenye kampeni, tunaomba mtuelewe maumivu yetu. Hii krismas hataenda kijijini kwake maana watamuuliza liko wapi wakti alishawaambia alilinunua yeye
Mpaka sasa mmeshafanya kazi kubwa sana! Kesi za jinai huangalia Kanuni ya "Beyond reasonable doubt" na mpaka sasa meshatengeneza "doubts" kibao na hata Mh. Jaji anajua fika.
Mtafikiri Jaji hayupo na ninyi lakini ukweli ninamwona kabisa yupo na ninyi na mnafanya kazi kubwa sana.
Mwisho wa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.