team

  1. N

    Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

    Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na...
  2. KAGAMEE

    Nimeumia sana kuona Mushimba Mugalu akibezwa na baadhi ya mashabiki

    Nimeumia sana kuona mchezaji (Mshambuliaji)wangu ndani ya kikosi changu cha Msimbazi KOPE MUSHIMBA MUGALU akibezwa na baadhi ya mashabiki wasiojielewa. Nani hajui mziki wa huyu jamaa? Nani hajui mchango wake kimataifa? Kwanini hamtaki kumpa hadhi yake huyu mkongomani? Bila shaka hiyo ni...
  3. R

    Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

    Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri . Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:- 1. Rais Hussein Mwinyi 2. Bashiru Ally 3. Askofu...
  4. N

    Video: Upendo wa Senzo akimtuliza Manara akiipigania timu yake

    Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih...
  5. N

    Mshindo Msolla anatosha, kaipa timu (Yanga) mafanikio makubwa

    Team mwaka huu imechukua ubingwa chini ya Msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa Afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata Urais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la Afrika Mashariki yaani the MIGHTY DAR YOUNG AFRICANS.. Kubabaika na wageni toka Somalia ni ukosefu wa akili, twende na...
  6. Jamii Opportunities

    Administration and Procurement Team Leader at WASSHA inc Tanzania

    1. JOB INFORMATION Organization: Division: Corporate WASSHA Inc. Tanzania Workstation: Dar es salaam Department: Number of applicants; 1 Administration Application email: hr@tz.wassha.com Job Title: Application dealdline:23rd May 2022 Procurement and administration Team...
  7. Chachu Ombara

    Kenya 2022 Raila Odinga Names His 'Dream Team'

    Azimio La Umoja coalition leader Raila Odinga has announced a list of nominees who will be part of his Cabinet if he ascends into power in the August General Election. He was speaking on Monday at the Kenyatta International Conference Center (KICC) as he unveiled his presidential running mate...
  8. Jamii Opportunities

    Team Member - Data Quality Assurance (multiple positions) based in Mwanza at ICAP

    Job no: 496272 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Mwanza Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks...
  9. Jamii Opportunities

    Team Leader - Data Quality Assurance (multiple positions) at ICAP

    Job no: 496273 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Mwanza Categories: Research ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly qualified candidates to serve as Team Leader...
  10. Q

    Raia Mwema: Umoja Party chahusishwa na Team Magufuli

  11. mugah di matheo

    Caf confederation cup team of week

    Nimeifuma mahala
  12. Linguistic

    Simba SC wanatupa somo la mpira, kwamba uwanja wa nyumba ndio uwanja Sahihi wa Team kusonga mbele

    Wakuu Mimi ni Mwanachama na Shabiki Wa Team Ya Yanga. . Kimsingi nimepanda Jinsi Simba walivyoonesha domination ya uwanja wa Nyumbani. . Haijalishi ni Uwanja Wa Mkapa au Uwanja wowote Wa Nyumbani. . Team makini na Sahihi haiwezi kukubali Kupoteza Kwenye Uwanja Wa Nyumbani kwao ingawa mpira una...
  13. OKW BOBAN SUNZU

    Team Kiduku tunamtaka Mwakinyo tumchakaze

    Kabangu ameendelea na dharau kwamba Mwakinyo ndiyo bondia bora kwa Tanzania. Hata baada ya jana kumpa kichapo bado ameendelea na msimamo wake uleule. Sasa tunatoa tamko kama kweli Mwakinyo kidume atoe tamko yupo tayari. Sisi tupo tayari popote hata kama ni Mkwakwani tunakuja kumchakaza
  14. Superbug

    Rais Samia ni team waungwana adui hawamuumizi wala hawamtesi, wanamvuta karibu na kummonita

    Mama ni muungwana na anafwata ushauri wa kikwete na jk alikuwa ni mtu muungwana. MFANO WA MWANDOSYA Wakati wa utawala wa jk MWANDOSYA alikuwa tishio sana na infact MWANDOSYA na JK walishazinguana miaka ya 90 wakati wa utawala wa mwinyi. Wakati huo JK alikuwa waziri wa nishati na MWANDOSYA...
  15. Jamii Opportunities

    Water Resources Management Team Lead (1 Position) at Tetra Tech International

    Water Resources Management Team Lead The Tanzania Maji na Usafi wa Mazingira (MUM) Activity funded by USAID/Tanzania and implemented by Tetra Tech International Development (International Development) is currently accepting expressions of interest for qualified candidates to fill various...
  16. Jamii Opportunities

    Cluster Team Lead, Maternal Newborn Child Health (1 position) at Jhpiego

    Cluster Team Lead, Maternal Newborn Child Health Location: Dodoma Position Overview: The Cluster Team Lead will lead regional operations and oversee program implementation in the 3 MNCH regions supported by the project. S/he will work closely with the Regional MNH Officer and RHMTs to set...
  17. M

    Natafuta Team kwa ajili ya tourism event

    Habari wadau, Kuna kijana mwezetu anawazo la kufanya tukio la kitalii,, linahitaji watu takribani watano (5) wa kujitolea kuratibu na kuandaa event hii, watajitoa kwa hali na mali na kulipana baada ya kufanikisha event. Interested?...... contact 0719225113
  18. W

    Askofu Gwajima: Spika Ndugai ni boss wangu lakini namshangaa sana, ajiuzulu haraka sana

    Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa' Aidha amesema suala la...
  19. chiembe

    Sisi Team Polepole kinachotuuma ni mtu wetu kunyan'ganywa V8, yaani hatukubali komredi apande starlet

    Tunaomba mtuelewe, sisi tumeumia sana jamaa yetu kunyan'ganywa V8, tena zile mpya zilizotumika kwenye kampeni, tunaomba mtuelewe maumivu yetu. Hii krismas hataenda kijijini kwake maana watamuuliza liko wapi wakti alishawaambia alilinunua yeye
  20. N

    Kibatala and Team, Mwenyezi Mungu anawasimamia -- msikate tamaa kamwe!

    Mpaka sasa mmeshafanya kazi kubwa sana! Kesi za jinai huangalia Kanuni ya "Beyond reasonable doubt" na mpaka sasa meshatengeneza "doubts" kibao na hata Mh. Jaji anajua fika. Mtafikiri Jaji hayupo na ninyi lakini ukweli ninamwona kabisa yupo na ninyi na mnafanya kazi kubwa sana. Mwisho wa siku...
Back
Top Bottom