About:
Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037
Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier)
Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY
Vacancy Time Zone: GMT+3Series/Grade:LE – 0420 7
Salary: TZS TSh29,568,947
Work Schedule: Full-time –...
Nina Idea ya product ya Educational technology.
Ila ipo kwenye mahandishi mpaka sasa.
Ni wapi naweza pata mfadhili au mtu wa kufanya nae partnership?
Naombeni msaada wa mawazo.
Watu wengi nimekuwa nikisoma thread zao humu kuhusiana na cryptocurrency, METAVERSE na NFT
Nimegundua vitu vifuatavyo
1. Watu wengi wamepitia changamoto nyingi sana katika utafutaji wao hasa online Hustler kiasi kwamba wameibiwa pesa zao na Kisha kupoteza matumaini Tena za vitu vyovyote...
December 25 2021 NASA kwa kushirikiana na shirika la anga la Canada na Ulaya wamerushe Telescope yenye thamani ya $10 Million yenye Tekinolojia ya hali ya juu sana kwenda kumulika anga za mbali na kutupa data za anga za Mbali kuona matukia ya Miaka 13 Billion iliyo pita.
Ina onesha kama upuuzi...
institute of construction technology morogoro, boarding school matron salary, school matron qualifications, information technology jobs 2021, application for the post of a matron, house matron jobs, day matron jobs, it job vacancy
Ref.No.JA.9/259/01-A/10 14th December, 2021
On behalf of The...
Serikali imeipongeza Kampuni ya Mafuta ya TotalEnergies, kwa kuunga mkono juhudi za Tanzania kujenga Tanzania ya viwanda kwa kujenga viwanda, kutoa ajira, na kuleta teknolojia kwa Watanzania, ambapo kabla ya ujenzi wa kiwanda cha vilainishi, Tanzania ilikuwa ina aagiza lubricants kwasababu...
Our drivers toward the vision of Digital Tanzania since 1961: From the Late Julius Kambarage Nyerere, through the late John Pombe Magufuli to President Samia Suluhu Hassan
Abstract
Today, we are celebrating the 22nd anniversary since the demise of the Tanzania’s Father of the Nation, Julius...
Elimu ya Tanzania haichangii chochote kwenye global science and technology kwasababu inahabiribiwa na mwingiliano wa lugha baada ya miaka 7 kuanzia kidato cha kwanza.
Hapo juu ni mada:
Karibuni tujadili kiundani:
Mimi nitatoa highlights zangu chache hapa:
Kuanzia kidato cha kwanza wanafunzi...
Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi.
Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi..
naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology) pale UDSM na tayari nimeshai-confirm.. but wengine wanasema et information technology ni bora zaidii...
Unahisi kuna lugha ngapi duniani?
6,500-7,117.
Tena hizi ni zile zinazojulikana na zikiwa kwenye hatari ya kupungua.
Vipi kuhusu zile ambazo hazijulikani?
Wewe je unajua na kuzungumza lugha ngapi mbali na Kiswahili, Kiingereza na lugha ya kabila yako (Kilugha)?
(Washiriki wa mafunzo ya...
I know there is a lot of things running in our heads when we hear or see the two terms Girls/ladies/women and Technology..
I will tell you what comes in so many People's minds and it's probably a true or verified assumption ......
Facebook ; As soon as you open your account there is a big...
Science and Technology
According to oxford reference science encompasses the systematic study of the structure and behavior of the physical and natural world through observation and experiment, and technology is the application of scientific knowledge for practical purposes.
Science and...
UTANGULIZI
Kila sifa njema anastahiki Mwenyezi. Ama baada, ningependa kuzibainisha nukta 03 zitakazo chambuliwa katika mnakasha huu.
01) Mapinduzi ya Viwanda kwa ujumla wake.
02) Hali ya Mapinduzi ya Viwanda Nchini Tanzania.
03) Mtazamo Juu ya Nini Kifanyike.
01) MAPINDUZI YA VIWANDA KWA...
Mifumo yetu ya malipo, Benki, utumaji pesa na ulipaji Kodi iendane na spidi ya Teknolojia (kutumia Blockchain technology).
Blockchain technology ni teknolojia mpya iliyogunduliwa mwaka 2008 na kushika kasi kuanzia 2014, ni mfumo madhubuti ambao ni ngumu Ku hack na kuiba data au pesa. kwa...
Mbezi, Dar es salaam ---- The capacities of mobile technology include enhanced communication via SMS messaging, as well as more accessible online education. Internet-based services are growing in popularity in developing nations, resulting in new jobs and revenue for people. Advances in mobile...
Tukiwaambia muache kulinganisha Nairobi na miji uchwara mnaona kama mnatukanwa...
Nairobi has been ranked as the only African city in the top 50 category of cities around the globe according to the 2021 Global Fintech Rankings. The city was ranked in position 37 ahead of Lagos which dropped to...
Habari wana board!
Namshukuru Mungu kwa uzima aliotukirimia, sifa, heshima na utukufu ni kwake Yeye Pekee!
Miaka 5 iliyopita nilianza kupata hamasa ya kujifunga mambo ya kuunda tovuti, hii ilichochewa na kuwepo kwa fursa nyingi sana ambazo mimi binafsi niliziona kwenye upate wa IT...
Two students of Kanga High school have invented a mobile phone application that will connect patients and doctors remotely.
The Covid-19 pandemic inspired the two, Ian Alindi and Keith Tren to come up with the invention owing to the fact that doctors risk their lives by being in contact with...