Malalamiko 75 yalipokelewa TAKUKURU kati ya Januari - Machi 2022. Kati ya Malalamiko hayo, 49 yalihusu Rushwa na 26 hayakuhusiana na Rushwa
Idara mbalimbali zilizolalamikiwa ni pamoja na Afya, Elimu, Ardhi, Watendaji wa Kata, TANESCO, Mahakama, Bandari, Mamlaka ya Mapato (TRA), Watu Binafsi...