Gorgasia thamani is an eel in the family Congridae (conger/garden eels). It was described by David Wayne Greenfield and Sean Niesz in 2004. It is a marine, tropical eel which is known from Fiji, in the western central Pacific Ocean. It is known to dwell at a depth range of 14 to 15 metres (46 to 49 ft). Males can reach a maximum total length of 119 centimetres (47 in).The species epithet "thamani" was given in honour of Randolph R. Thaman, of the University of the South Pacific in Fiji.
KINANA "GEITA IENDANE NA THAMANI YA DHAHABU YA MKOA HUO"
Makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali mstaafu Abdulrhaman kinana amemshauri mkuu wa mkoa wa Geita Martin Shigella kuangalia namna nzuri ya kuupanga mji wa Geita uwe na Muonekano mzuri na wa kisasa na si...
Ndugu wana jukwaa natumai mna afya njema. Naomba nami ni changie kwenye hili jukwaa la story of change 2022.
Ndugu wanajukwaa, Tanzania kama ilivyo nchi nyingine, vijana wengi wamechangamkia elimu kama sehemu pekee inayoweza kuwasaidia kutimiza ndoto zao za kuishi maisha bora hapo badae...
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) yateketeza bidhaa zenye thamani ya takribani Sh Milioni 400 bidhaa hizo hazikidhi Viwango vya ubora na kuisha Muda wake wa matumizi. Kwa upande wa Vipodozi ni vile vyenye viambato sumu zisizofaa kwa matumizi kwa binadamu.
Dk. Kandida P. Shirima (Kaimu...
Ni matumaini yangu ulishawahi kusikia makundi mbalimbali ya vyakula kipindi unasoma elimu ya msingi. Ambapo ulijifunza kuwa kuna Kabohaidreti/wanga, protini, fati, vitamini na madini asilia.
Katika kundi la protini ulisoma kuwa, ni vyakula vinavyosaidia katika ukuaji wa mwili pamoja na...
Mama Samia alikuwa na muda wote wa kutuwekea misingi imara ya Tanzania mpya yenye haki kamili. Tukawa na Tanzania isiyokuwa na malalamiko. Sote tukajisikia kuwa na haki sawa.
Ajabu na kweli mzuka uliompitiliza wa 2025 umempiga upofu. Haoni wala hasikii.
Haya matozo yanayopigiwa kelele kila...
Chagua tarehe yako ya kuzaliwa kutoka 1 hadi 31
Nambari ambayo ni ya kwanza katika tarehe yako ya kuzaliwa inaashiria msingi, msingi wa kiakili wa utu na inaweza kutuambia kuhusu kile mtu hutoka katika uchaguzi wake. Mmoja anazungumza juu ya watu binafsi, wawili wanazungumza juu ya wanajamii...
Nadhani hili ni dili! Ukraine inapewa silaha hewa halafu wajanja wanaweka fedha mfukoni!! Kuna taarifa ilitoka kuwa ni asilimia 30 tu ya silaha zinazotolewa na nchi za magharibi kwenda ukraine ndizo zinazowafikia walengwa!! Watoa kodi wa nchi za magharibi wanapigwa pakubwa sana!! Silaha za dola...
Leo asubuhi nilikuwa na Google thamani fedha kwa nchi mbalimbali za Afrika dhidi ya Dola ya Marekani. Nimeshituka kuona kwamba 1$=16.20 kwacha ya Zambia. Kwa kweli sijaelewa, naomba ufafanuzi tafadhali.
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Tanzania inaendelea kukua katika sekta yake ya kilimo, hasa kwa vyakula vikuu kama mahindi, mihogo, mpunga, mtama na ndizi.
Mradi huo mpya wa umwagiliaji utaboresha mavuno ya ngano katika mazingira ya ukame wa Mbeya...
Filamu ya Tanzania Royal Tour, imeelezwa kuchangia kupandisha thamani ya madini ya Tanzanite.
Bei ya madini ya Tanzanite na uhitaji wa madini hayo umeongezeka maradufu baada ya filamu ya Royal Tour kumuonyesha Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye machimbo ya madini hayo.
Katika sehemu ya...
Kwa leo nitaongelea viatu 'used'/mtumba
Kuna siku nilitembelea duka moja la viatu vya mtumba mkoani Arusha; hivyo viatu vilikuwa vinatoka Italy, kuuliza bei, naambiwa sh. 185,000/=.
Hapo nikawa nimepata wazo la kiujasiriamali kichwani:-
Utaanzaje sasa:-
Nunua mashine ya kushonea viatu
Tafuta...
Sasaivi hakuna tena umuhimu wa ndoa kama hapo zamani kwasababu zifuatazo:
1. Sasa hivi wanawake wanataka haki sawa na wanaume yaani 50/50
2. Wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kusaka pesa za urithi au mirathi mume akifa.
3. Vipato vinazidiana sana
4. Watu wanaoa kwa show off tu
5. Mama...
Klabu ya Simba imeendelea kuonesha ukubwa wake.
Ni jinsi gani wachezaji wazawa inaendela kuwaamini katika kikosi chake na kuwathamini.
Thamani yao inakuja kutokana na kupewa kipaumbele cha kwanza ktk utambulisho.
Pia nawapongeza mashabiki na wadau wa mpira kwa mapokezi mazuri kwa wachezi...
Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu.
Kwa miezi kadhaa kabla ya machi 2022, pesa ilikuwa na thamani japo ilikuwa si rahisi sana kuipata kutokana na mirija mingi ya rushwa na ufisadi kufungwa. Leo hii pesa haina thamani. Tsh elfu 10 ni kama sh elfu 1.
Bidhaa bei ghali. Tozo kila mahali...
Hii picha ilipigwa mwaka 1970 nchini Buligaria katika mji wa Varna. Ma archeologists walichimba kaburi hili linalosadikiwa kuwa ni la miaka 500BC. Ubora wa dhahabu waliyoikuta wanasema haujawahi kuonekana tena duniani.
Wana harakati wana hoji hao archeologists walipata wapi kibali cha...
Uganda imegundua amana za dhahabu katika Wilaya ya Busia na Katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi hiyo, serikali imeipa leseni kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Kichina, Wagagai, ya kuanza kuzalisha bidhaa za dhahabu
Msemaji wa Wizara ya Nishati na Maendeleo ya Madini nchini humo, Solomon...
“Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale mamajusi, alighadhabika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wanaume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake mwote, tangu wenye miaka miwili na waliopungua, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale mamajusi”, Mt 2:16 SUV.
Jaribio la...
Habari!
Hii siijui niitaje kwa lugha ya kawaida isiyoumiza. Ila facts zitabaki kuwa facts.
Tembo , twigs, digidigi , paa n.k wamepewa thamani halisi.
Ukiwagonga kwa bahati mbaya utalipishwa kwa thamani yao halisi.
Tembo thamani yake iko kama 35 milioni za kitanzania. Huyo tembo akitoroka...
11 Juni 2022
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali ya Tanzania yasaini mradi wa thamani ya dola za Kimarekani 30 bilioni na mashirika makubwa ya Equinor la Norway na Shell la Uingereza kwa ajili ya ujenzi wa mitambo ya kuchakata gesi asilia yaani LNG (Liquified natural gas) ambao umeshuhudia na Rais...
Watu wengi hupenda kununua vitu vya thamani na kuishi navyo kwenye nyumba za kupanga (nyumba za wanaume wenzao, waliojinyima na kuweka mijengo).
Kufanya hivyo, kunawafanya watu wengi kuishi muda mrefu kwenye nyumba za kupanga, na kusahau kujenga nyumba zao.
Utakuta mtu ana kipato kizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.