thread

  1. n00b

    Tanzanian opposition party says its leader's whereabouts unknown

    NAIROBI, April 18 (Reuters) - Tanzania’s main opposition party said on Friday it could not establish the whereabouts of its leader Tundu Lissu after he was moved from a jail where he was being held following his arrest on treason charges last week. Senior CHADEMA party officials, Lissu's...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

    Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake. Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa. Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu...
  3. Beira Boy

    Kwaresma na Pasaka Special Thread

    Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU katika kristo YESU Tumsifu YESU KRISTO. AMINA Tumshukuru MWENYEZI MUNGU kwa kila jambo hasa kwa kumtuma mwanae aje atukomboe . AMINA PASAKA ni nini pasaka ni kuteseka/mateso/ kifo/kufa/na kufufuka kwa YESU KRISTO PASAKA ilianzia misiri lakini badae wana...
  4. Nomadix

    Nostalgia threads: Nyuzi za kwanza

    Kwema!
  5. Davidmmarista

    Kama unapenda mwenyezi Mungu usipite hapa bila kulike hii thread na kucomment

    Kama unapenda mwenyezi Mungu usipite hapa bila kulike hii thread na kucomment "Asante Mungu"
  6. Mashamba Makubwa Nalima

    AFC Bournemouth (The Cherries) The Special Thread

    Full name: AFC Bournemouth Nickname(s) The Cherries Boscombe Founded: 1899; 126 years ago (1899) (as Boscombe) Ground: Dean Court Owner: Black Knight Football Club UK Limited Chairman: Bill Foley Manager: Andoni Iraola League: Premier League Website: afcb
  7. Mashamba Makubwa Nalima

    FCSB(FC Steaua București) Special Thread

    Nickname(s): Roș-albaștrii (The Red and Blues) Founded: 7 June 1947 President: Valeriu Argăseală Head Coach: Elias Charalambous League : League 1 Website: fcsb
  8. Daughterrr

    Sio kila mtu ni muandishi mzuri wa thread..

    Sababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui. Mmoja alikua chapombe nkampotezea Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo! Mmoja alikua...
  9. Powell Gonzalez

    Ulishawahi kuanzisha thread kisha kuwa na zero replies?

    Ulishawahi kuandika uzi then ukawa na zero replies yaani hakuna mtu kajibu chochote? ulijisikiaje?😅😅😅😅
  10. GadoTz

    Simulizi, Mikasa, Vitimbi na Visa vya wasanii wa zamani wa bongo fleva - A special thread

    Hii ni thread maalum ya simulizi mbalimbali pamoja na visa, mikasa na vitimbi vya wasanii wa zamani wa bongo fleva. Stay tuned....
  11. Mshana Jr

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno. Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa . Kushindwa...
  12. Nomadix

    New member: Ukisoma JF hata thread moja tu utake usitake utajiunga tu!

    Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje. Kwa miezi ya hivi karibuni since July, 2024 nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama...
  13. secretarybird

    Je, Erick Kabendera hajaiba thread zetu humu JF kushibisha kitabu chake kimhusucho Magufuli?

    Yeah! Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu. Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia...
  14. Fortilo

    Low IQ Thread: Mada nyepesi hapa, we listen we dont judge

    Wakuu Heri ya Mwaka Mpya 2025. Hii ni thread ya mada nyepesi.. Andika kitu chochote unachofikiri lakini unaogopa kukianzishia uzi... Mada nyepesi tafadhali...
  15. Teslarati

    Maneno ya mkosaji special thread

    Ndugu zangu huku tukisubiria mwaka mpa tutumie huu uzi kujuzana maneno ya wakosaji, yaani yale maneno wanayotumia wasionacho kujifariji wakiowaona wenye nacho. Mimi nitaanza na haya. "Kwani IST nayo gari sasa" (hapo jamaa anasubiri foleni ya mwendokasi Kimara - Morocco "Huyo dem tumegonga sana...
  16. Dialogist

    SPECIAL THREAD: Heri Ya Sikukuu ya Christmas 2024 Na Mwaka Mpya 2025.

    Welcome On board... Nawatakia wadau wote wa JamiiForum, wakiwemo members na non members na Uongozi mzima Wa JF, ukiongozwa na Director Maxence Melo, heri ya sikukuu ya Christmas 2024 na mwaka mpya 2025. Bwana Yesu amezaliwa kwa ajili yetu, basi tuende tukahubiri upendo na amani, kwetu na kwa...
  17. Nyafwili

    SI KWELI Iwapo tunda la nyanya linaonesha dalili kama hizi, linaweza kuwa na sumu kwa kung'atwa na nyoka

    Katika pita pita zangu, nimekutana na maada inayosema kwamba matunda kama nyanya yanaweza kushambuliwa na popo, au nyoka. Hivyo basi Ukiona nyanya ikiwa hivi(pichani) usipende kula mbichi au kuitumia kabisa kwa sababu Kuna wakati inakuwa imezuliwa na Nyoka, Popo au aina ya wanyama fulani...
  18. Mwakawasila

    USIPOELEWA NA HAPAA NAFUTA THREAD

    Ninaandaa mpango wangu WA BIASHARA Kisha naanza kuifanya baada ya kuona Sina kiwango Cha kutosha Natangaza watu wanao WEZA kudhamini BIASHARA yangu Kwa makubaliano ya kugawana faida Kwa hiyo kutokana na kwamba namimi nimeweka mtaji namimi nakuwa mmiliki wa kampuni Na nakuwa na Baadhi ya haki...
  19. KING MIDAS

    Dog Lovers Special Thread

    Huu ni Uzi maalum kwa wapenzi wa mbwa, wafugaji na wafanyabiashara wa mbwa, wauza madawa na tiba za mbwa, wauza vyakula vya mbwa, na wadau mbalimbali wa mbwa.
  20. MAKANGEMBUZI

    Jamiiforums GYM (mazoezi ) thread

    Wakuu mambo vipi....Binafsi sio mkufunzi(gym trainer) ila napenda sana mazoezi na ninayajua mazoezi kuliko hata hawa wanaojiita ma-trainer,nimeanza kupenda mzoezi ya gym nikiwa form 3 (2013) so unaweza kuona nina experience ya miaka 11. Mazoezi pia yanaambatana na aina ya vyakula tunavyokula...
Back
Top Bottom