tigray

Tigray Province, formerly known as Agame, is a historical province of northern Ethiopia that exists in the present day Tigray Region. It encompasses most of the territories of Tigrinya-speakers (and a few minority groups closely linked with them) in Ethiopia; Tigray is separated from the northern Tigrinya territories by the River Mereb, now serving as the state border to Eritrea.The great majority of inhabitants are Orthodox Christians (95.5% in 1994), with the exception of a small, but important Muslim subgroup (Jeberti) and a few Catholics (mainly Irob). Protestantism is only a very recent urban phenomenon. Despite a general impression of ethnic and cultural homogeneity, there are a few ethnic minorities, especially at the borders of Tigray, belonging to a non-Tigrinya groups, such as the Saho-speaking Irob at the north-eastern border to Eritrea, the Raya Oromo in the south-east (mostly speaking Tigrinya today), the Agaw-speaking H̬amta in Abergele north of Wag, a few Kunama in the Habesha Kunama woreda east of Humera, and scattered peripheral groups in the western lowlands, such as the Chare of the Sellim Bet (related with the Gumuz) and Tukrir in the Humera area. Some of these groups have adopted Tigrinya as their first language.
Tigray's administrative capital is Mekelle. Administratively, Tigray was divided into four, later six zones (zoba), which replaced the former awrajjas in 1991 (names with number of inhabitants of the four original zones in the year 2005 with their capitals): Western Zone (ca. 1 million inhabitants; Humera), Eastern Zone (ca. 800,000 inhabitants; Adigrat), Central Zone (ca. 1.3 million inhabitants; Aksum), Southern Zone (ca. 1.2 million inhabitants; Maychew); in a recent administrative reform some of these were split and first a North-Western Zone (Enda Selassie Shire) and later a South-Eastern Zone (Mekelle) were created.
Tigray went through numerous administrative changes in the course of its history. In 1991 Tigray was radically reshaped. During the reign of Haile Selassie I and also the following Derg period, Tigray did not yet encompass Welqayt (until 1991 having been part of Begemder), while Enderta in eastern Tigray extended over large Afar areas including the salt plains, which were given to Afar kəlləl. Still in the 1930s the regions south of Enderta, i.e. Wajjarat and Angot, formed the separate governorate called "Southern Tigray". Modern Tigray is the result of a merger of diverse historical northern provinces (with Tigrinya and Agaw speakers), which were often independent from each other.
At the mid of Haile Selassie's rule of Ethiopia (in 1941 and 1943), Welkait, Tselemti, Raya (i.e. Lasta & Wag) and some other provinces (which all were mostly inhabited by Tigrayan people) were taken away from the governance of the old Tigray Province and they were given to Begemder and to Welo provinces. One of the reasons why Raya (Lasta and Wag) was given to Wollo was because Haile Selassie's son Crown Prince Amha Selassie was appointed as the governor of Wollo. Welkait and some other provinces were given to Begemder since there was armed rebellion in Tigray against Haile Selassie's rule (so it was part of the effort to divide and rule Tigray). Therefore, until the 1995 administrative reorganization, Welkait was part of Begemder province and Raya Azebo was part of Wollo. Welkait was then split into two parts once ethnic federalism was established in Ethiopia (in 1995). One of the two parts, which now turned to have Amhara ethnic majority went to the new Amhara Region's North Gondar Zone. The other (which kept the old name), still had a majority of Tigrayan ethnic people (over 90% Tigrayan ethnic people) so it was returned to the governance of the new Tigray Region (like it was for most of the 3000 years history of Ethiopia, before Haile Selassie changed it in 1941/1943).

View More On Wikipedia.org
  1. Hypersonic WMD

    Ethiopia iliwezaje kushinda vita ya Tigray waliokua wanakaribia Adis Ababa afu DRC inashindwa na m23 kisa vifaaa?? Inashindwa kukopy na kupaste

    Jeshi la kongo na Ethiopia yote yapo top 10 ya majeshi yenye nguvu. Lakini kama unavo jua Technologia huwa haimsamehe mtu. Anaeendana nae mara zote huwa na faida kubwa kwene vita. Jeshi la Waasi wa tigray waliku na support ya Western technologically. Hapa n pamoja na kuwavujishia satellite na...
  2. BARD AI

    Ripoti AU: Vita ya Serikali ya Ethiopia na Tigray inaweza kuwa imeua watu 600,000

    Mpatanishi wa Umoja wa Afrika katika mzozo wa Tigray, #OlusegunObasanjo, ameliambia jarida la Financial Times (FT) kuwa idadi hiyo imetokea ndani ya miaka miwili ya mapigano. Mzozo ulianza Novemba 2020, baada ya Waziri Mkuu #AbiyAhmed kuamuru mashambulizi dhidi ya vikosi vya Tigray kwa maelezo...
  3. beth

    Athari zitokanazo na kuzima Mtandao zisipuuzwe. Biashara Nchini Ethiopia zapoteza Dola za Marekani Milioni 145.8

    Ripoti Mpya iliyochapishwa na Shirika la Top10VPN inasema kukosekana Mtandao huko Tigray, Ethiopia Mwaka 2022 kumezigharimu Biashara Nchini humo Dola za Marekani Milioni 145.8 Kuzuia Intaneti pamoja na kuweka vikwazo katika Upatikanaji wake huwaathiri Wananchi Kiuchumi, Kijamii na Kisiasa...
  4. Sildenafil Citrate

    TPLF:Eritrea yaanza mashambulizi makubwa katika eneo la Tigray nchini Ethiopia

    Wanajeshi wa Eritrea wamefanya mashambulizi makubwa katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, msemaji wa kundi la waasi la Tigrayan, TPLF, amesema. Mjumbe wa Marekani alisema kuwa Marekani inafahamu kuhusu wanajeshi wa Eritrea kuvuka kuingia Tigray, na akalaani kitendo hicho. Serikali ya Eritrea...
  5. Lady Whistledown

    Ripoti mpya ya UN yaishutumu Serikali ya Ethiopia kwa Ukatili dhidi ya Watu wa Tigray

    Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wanasema wanaamini kuwa Serikali ya #Ethiopia inahusika na uhalifu dhidi ya binadamu unaoendelea katika eneo la #Tigray, Kaskazini Mwa Nchi hiyo Katika Ripoti hiyo, Tume ya Wataalamu wa Haki za Kibinadamu iliangazia kile ilichokiita taarifa za kuaminika za mauaji...
  6. Lady Whistledown

    Vikosi vya Majeshi ya Tigray vyaondoka Mkoani Afar

    Msemaji wa chama cha Tigray People's Liberation Front (TPLF),alikaririwa na vyombo vya habari akidai Aprili 25, 2022 majeshi yao yaliondoka Mkoani Afar, akiongeza kuwa anatumai kwamba msaada wa chakula unaohitajika sana unaweza kuwasili Tigray. Vikosi hivyo vimekuwa vikishikilia Mkoa wa Afar...
  7. beth

    WHO yapata idhini ya kusambaza vifaa vya matibabu Tigray

    Shirika la afya ulimwenguni WHO limepata kibali cha kusambaza vifaa vya matibabu katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia, ikiwa ni mara ya kwanza ndani ya miezi sita, lakini uhaba wa mafuta bado unakwamisha zoezi hilo. Mkurugenzi wa shirika hilo, Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza kwamba...
  8. Kindeena

    Kilio cha Tigray: Jamii ya Kimataifa chukueni hatua

    Kumekuwa na kilio cha muda mrefu cha kuzorota kwa hali ya kibinadamu huko Tigray, Kaskazini mwa Ethiopia. Hali ya vita inasemekana kusababisha vifo, njaa na hata miundombinu msingi kama umeme, barabara na majengo. Kwa hali inayoripotiwa na viongozi wa Tigray, Jamii ya Kimataifa haijachukua...
  9. beth

    Ethiopia: Takriban 40% ya Wakazi wa Tigray wanakabiliwa na uhaba wa chakula

    Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hali mbaya ya Njaa Kaskazini mwa Nchi hiyo ikielezwa zaidi ya 80% ya Familia hazina uhakika wa chakula, hali inayopelekea Watoto chini ya miaka mitano kuwa na Utapiamlo. Mashirika ya Misaada yamekuwa yakipata changamoto kufikisha mahitaji Mkoa wa Tigray ambapo...
  10. beth

    Ethiopia kuondoa Hali ya Dharura iliyowekwa baada ya Vikosi vya Tigray kutishia kwenda Addis Ababa

    Serikali imeridhia kuondolewa Hali ya Dharura ya miezi sita iliyowekwa Novemba 2021 baada ya Vikosi kutoka Tigray kusema vilikuwa vinaelekea Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Addis Ababa Mwezi Desemba, Mamlaka zilisema Jeshi lilikuwa linaondoa Vikosi vya Tigray katika Mikoa ya Amhara na Afar. Waziri Mkuu...
  11. beth

    Ethiopia yadai kuidhibiti miji miwili kutoka kwa waasi

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuidhibiti tena miji miwili ya kimkakati ya Dessie na Kombolcha, mwezi mmoja baada ya kushikiliwa na wapiganaji wa Tigray Hatua hiyo ni ya hivi karibuni katika mfululizo wa ushindi wa haraka katika uwanja wa vita unaotangazwa na vikosi tiifu vya waziri mkuu Abiy...
  12. beth

    UN: Takriban watu 1,000 wanashikiliwa Nchini Ethiopia

    Umoja wa Mataifa (UN) umesema takriban watu 1,000 (wengi kutoka Tigray) wanashikiliwa katika Miji mbalimbali Nchini humo tangu Hali ya Dharura ilipotangazwa Novemba 02, 2021 Maelfu wamefariki dunia na zaidi ya watu milioni mbili wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na mzozo kati ya Mamlaka...
  13. and 300

    Tigray Kuna mkono wa Egypt?

    Tigray wanapataje silaha nzito nzito? Sio Wamanga wa Misri wanawapa kiburi? Suala la Kujenga Bwawa limewachefua Wamanga Koko
  14. beth

    Hali yazidi kuwa tete Ethiopia, Marekani yawataka raia wake kuondoka

    Jeshi la Nchi hiyo limewataka Wanajeshi wa zamani kujiunga nao wakati linapambana na Waasi. Wito huo unakuja baada ya Vikosi vinavyoongozwa na TPLF kuendeleza nia ya kwenda Mji Mkuu, Addis Ababa Hali inayoendelea Ethiopia imepelekea Marekani kutoa tahadhari kwa Raia wake kuondoka mapema...
  15. beth

    Umoja wa Mataifa waomba Ethiopia kuruhusu upelekaji misaada bila pingamizi

    Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres Jumatano ameitaka serikali ya Ethiopia kuruhusu utoaji wa haraka wa misaada ya kibinadamu kwa mamilioni ya watu kaskazini mwa nchi bila pingamizi. Hayo yanajiri wakati maafisa wa Umoja wa mataifa wakiripoti vifo kutokana na njaa. Wakati wa...
  16. Analogia Malenga

    Shinikizo laongezeka dhidi ya serikali ya Ethiopia kuhusu jimbo la Tigray

    Marekani yasema itaiwekea vikwazo Ethiopia baada ya serikali ya nchi hiyo kuwafukuza maafisa saba wa mashirika ya kutoa misaada ya Umoja wa Mataifa ambao wanadaiwa kujihusisha na maswala ya ndani ya nchi hiyo. Wizara ya mambo ya nje ya Ethiopia imewapa maafisa saba wa Umoja wa Mataifa muda...
  17. beth

    Tigray, Ethiopia: Umoja wa Mataifa waonya hali kuwa mbaya zaidi

    Miezi kumi tangu kuanza kwa vita vya Tigray, Umoja wa Mataifa umeonya hali ya kibinadamu katika mkoa huo wa kaskazini mwa Ethiopia inaelekea kuwa mbaya zaidi, ukilaumu kile ulichokiita mzingiro wa misaada kwa hali hiyo. Mapigano yalizuka Novemba 2020 kati ya vikosi vya serikali ya shirikisho na...
  18. beth

    Tigray yaituhumu AU kwa upendeleo katika mzozo wa Ethiopia

    Vikosi vya waasi kutoka mkoa uliokumbwa na vita kaskazini mwa Ethiopia wa Tigray, vimeushutumu Umoja wa Afrika kwa upendeleo, siku chache baada ya Jumuiya hiyo kumteua rais wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, kuwa mpatanishi katika mzozo huo. Msemaji katika chama cha ukombozi wa watu wa...
  19. beth

    Serikali ya Ethiopia yalaumiwa kwa hali mbaya ya Tigray

    Wakati Ethiopia ikiwalaumu Waasi kwa hali inayoendelea Tigray, Waasi hao wamesema vizuizi vilivyowekwa na Serikali ndiyo sababu ya hali mbaya ya eneo hilo wakisisitiza Jamii za Kimataifa kukwama kuchukulia hatua dhidi ya Waziri Mkuu kumeongeza tatizo Wamesema Mfumo wa Huduma za Afya umeharibiwa...
  20. Sam Gidori

    Tigray: Chakula cha Misaada kuisha wiki hii

    Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) limeonya hatari ya kuisha kwa chakula cha misaada kuanzia wiki hii katika eneo la mapigano la Tigray nchini Ethiopia. Zaidi ya watu 900,000 wapo katika hatari ya kukabiliwa na baa la njaa ikiwa ni kwa mara ya kwanza ndani ya kipindi cha...
Back
Top Bottom