Tija Gomilar Zickero (born 12 May 2000) is a Slovenian handball player for RK Krim and the Slovenian national team.She represented Slovenia at the 2020 European Women's Handball Championship.
Serikali inatia aibu wakati mwingine.
Imejikita kuwasaidia madada wa Tanzania kuwa housegirls huko Uarabuni badala ya kuwasaidia diaspora ambao wanafanya kazi za maana na wenye uwezo wa kusaidia nchi kama sheria zikiwekwa sawa. Hatutaweza kuendelea kwa $300 kwa mwezi!
Na unyanyasaji na...
Ukipata bahati ya nafasi ya kufanya kazi au biashara katika umri mdogo (kuaznia 18 hadi 27)usidharau kazania sana kujua io kazi zaidi katika umri huo.
Kuna utofauti wa mtu aliyeanza kazi kwenye age io na yule aliyeanza above io age. ndo mana baadhi ya wenye mali huanza kuwalithisha mipango na...
Lengo la sera ni kuondoa changamoto zinazoikabili jumua/jamii, mfano tunayo changamoto ya umeme katika taifa letu, bunge limekaa kikao cha kupitisha sheria/sera ya umeme kwa kumgaia udhibiti na mamlaka shirika la umeme kudistribute na allocate eletricity, halkadhalika EWURA, LATRA, CNA CAG vyote...
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta...
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri, lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.
Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.
Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na...
Katika ziara ya kongamano la uwekezaji huko Lindi nimemsikia wakisema Mama katengeneza mazingira ya wawekezaji ambayo ni rafiki, wawekezaji waje, kaulu ya kwamba sisi matajiri wakati hatuna uwezo wa kuyatoa hayo madini aridhini haina tija tuwape wenye uwezo. ni kauli sahihi kabisa.,
Lakini kwa...
Nimejitahidi kusikiliza hoja za wanasiasa katika majukwaa tangia mama aliporuhusu mikutano nimechoka kabisa! Huwezi ukaelewa Nini hasa mkakati wa wanasiasa!
Ni ajabu ni matusi na vijembe na kucharuana hakuna siku tukasikia watu wanaongea fact! Magufuli aliona mbali sana kupiga stop hii...
Wadau mwezi huu mwishoni Mungu akipenda navuna nyanya shambani kwangu Nimejaaliwa kulima heka 3 na zimebeba vizuri. Shamba lipo morogoro eneo la Dakawa. Ninachojivunai zaidi nimejifunzia humu humu Jamii forum kilimo hiki. Heko kwa wote ambao mmekuwa mskijitolea kutoa mafunzo mbali mbali...
Mbunge wa Jimbo la Momba Mkoa wa Songwe, Mhe. Condester Mundy Michael Sichalwe leo tarehe 02 Julai, 2023 amefanya kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Halmashauri Kuu ya CCM Kata ya Myunga na Mtaalamu wa Kilimo kutoka Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko na Benki ya NMB
Mbunge...
Imeelezwa kuwa Tanzania imesaini mikataba 19 ya uwekezaji wa nchi na nchi (BIT) hadi kufikia mwaka 2022, ambayo baadhi yake bado haijaridhiwa.
Akizungumza leo Agosti 02, 2023 katika mjadala wa Twitter space ulioendeshwa na Mwananchi, Mhariri wa Takwimu wa Kampuni ya Mwananchi Communications...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo amesema Watanzania kwa ujumla wao wameonesha utayari na uhitaji mkubwa wa kuona uwekezaji na uendeshaji utakaoleta maboresho, ufanisi na kuongeza mapato katika Bandari ya Dar Es Salaam, hivyo ameielekeza Serikali ya Chama Cha...
Nawasalimia kwa Jina la Jamhuri ya Nchi yetu.
Wote tunatambua kuwa wanawake ni watu makini sana na waoga linapokuja jambo lisilo la maslahi kwa Nchi.
Hivi Karibuni mkataba wa Tz Bara na Dubai ulishughulikiwa na mihimili 2 inayoongozwa na wamama ikiwa ni Serikali (Mama SSH) na Bunge ( Tulia)...
Utangulizi:
Uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu katika kuhakikisha maendeleo thabiti na ustawi wa sekta yoyote. Katika andiko hili, tutajadili mbinu na mikakati ambayo inaweza kuchochea mabadiliko chanya katika uwajibikaji na utawala bora. Lengo letu ni kuboresha ufanisi na uwazi na...
Mabadiliko yenye tija katika ufugaji ni ubeti unaoimbwa kila muda Tanzania,Afrika na duniani kwa ujumla wake. Hii inachagizwa na umuhimu wa suala la ufugaji katika maeneo makubwa matatu ambayo ni
01. Utunzaji wa Mazingira
02. Afya za wanaadamu na
03. Afya na haki za mifugo zenyewe. Licha ya...
Ni muhimu kwa Tanzania kuendelea kufanya marekebisho ya sera na sheria zake za usimamizi wa rasilimali ili kuhakikisha uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma.
VITU AMBAVYO SERIKALI INATAKIWA KUFANYA ILI KUCHOCHEA MAENDELEO.
Serikali inapaswa kuweka mifumo imara...
Mtaala ni mpango wa masomo ambao hutumiwa na shule au mfumo wa elimu kuamua ni nini cha kufundishwa na jinsi ya kufundisha. Tanzania inatumia Mtaala wa Elimu ya Msingi na Mtaala wa Elimu ya Sekondari, ambayo huwa na malengo ya kufundisha wanafunzi ujuzi, mawazo na maadili wanayohitaji kukua na...
Ni muhimu kwa Tanzania kuendelea kufanya marekebisho ya sera na sheria zake za usimamizi wa rasilimali ili kuhakikisha uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma. Katika usimamizi mzuri wa rasilimali serikali unatakiwa kufanya yafuatayo.
Serikali inapaswa kuweka mifumo...
Kwakuwa TRA imekuwa moja ya sehemu zenye ufanisi mdogo na utendaji mbovu kabisa serikalini, ni kwanii mamlaka hii isibinafsishwe hata kwa waarabu tu ili kuongeza tija na ufanisi katika ukusanyaji mapato?
Kama Serikali imeamua kubinfsisha Bandari kuongeza ufanisi.
Mimi mawazo yangu tuanze kwanza kubinfsisha Serikali. Serikali haina ufanisi kusimamia mambo mengi sana. Kususua kwa miundombinu mbali mbali, Kususua kukusanya mapato na upotevu mkubwa wa mapato. Kususua kwa huduma mbali mbali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.