toto

  1. mugah di matheo

    Yanga vs Fei Toto kuna amani kweli?

    Habari zinadai muunguja hataki kwenda mazoezini hadi alipwe chake je kuna ukweli juu ya hilo? Means yanga wanadaiwa bado? Gsm kazi yao IPI? Source ni facebook pages za wanayanga
  2. J

    Wabunge wa CHADEMA kuhamia NCCR/ CUF ni sawa na mchezaji mahiri kuhama Simba kwenda Toto Africans badala ya Yanga!

    Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM. Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo...
  3. OCC Doctors

    Zingatia haya kwa mtoto wako wa kiume wa Miaka mitano

    Mtoto wako wa kiume kuanzia miaka mitano (miezi 60) atahitimu mahudhurio ya kliniki. Hakikisha anafahamu namna ya kutumia zana za hapo nyumbani ikiwemo namna ya kutumia panga, shoka, nyundo, msumeno, jembe, fyekeo, reki, manati, na usafi wa bustani, iwe bustani ya mboga au ya mauwa kutamsaidia...
  4. GENTAMYCINE

    Baada ya wachezaji wa timu tajiri nchini ya Simba SC kukabidhiwa pikipiki, hivi ndivyo mchezaji wa Yanga SC Fei Toto alivyopewa makavu yake

    Yafuatayo ni Mawasiliano ‘ Kiduchu ‘ kwa njia ya Meseji ( SMS ) kati ya Mchezaji Mwandamizi wa Simba SC Hassan Dilinga ( HD ) na Kiungo wa Timu Masikini na inayoenda Kushuka daraja nchini kwa Msimu huu Yanga SC hasa baada ya Kusikia kuwa Rafiki yake huyo pamoja na Wenzake wa Simba SC leo...
Back
Top Bottom