Habari zinadai muunguja hataki kwenda mazoezini hadi alipwe chake je kuna ukweli juu ya hilo?
Means yanga wanadaiwa bado?
Gsm kazi yao IPI?
Source ni facebook pages za wanayanga
Niwapongeze sana Mwita Waitara na Dr Mollel wao hawakutaka kushangaa shangaa barabarani wametoka chama kikuu cha upinzani Chadema na kuhamia direct chama tawala CCM.
Bado sijaelewa sababu za msingi kwa Lwakatare kuhamia Cuf hata kama ameahidiwa ukatibu mkuu lakini Ngangari bado ni chama kidogo...
Mtoto wako wa kiume kuanzia miaka mitano (miezi 60) atahitimu mahudhurio ya kliniki. Hakikisha anafahamu namna ya kutumia zana za hapo nyumbani ikiwemo namna ya kutumia panga, shoka, nyundo, msumeno, jembe, fyekeo, reki, manati, na usafi wa bustani, iwe bustani ya mboga au ya mauwa kutamsaidia...
Yafuatayo ni Mawasiliano ‘ Kiduchu ‘ kwa njia ya Meseji ( SMS ) kati ya Mchezaji Mwandamizi wa Simba SC Hassan Dilinga ( HD ) na Kiungo wa Timu Masikini na inayoenda Kushuka daraja nchini kwa Msimu huu Yanga SC hasa baada ya Kusikia kuwa Rafiki yake huyo pamoja na Wenzake wa Simba SC leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.