tovuti

  1. Reginald L. Ishala

    Ni zipi tovuti za america na ulaya zenye muonekano mzuri, na language ipi imetumika?

    Habari zenu wakuu wa mambo! Ninahitaji kumiliki tovuti kwa ajili ya biashara, Naomba mnisaidie ni tovuti zipi za Ulaya na America zenye muonekano mzuri lakini hata Languages zilizotumiwa katika uundwaji wa tovuti hizo. NATANGULIZA SHUKRANI.
  2. T

    Muda muafaka wa kuanzisha tovuti ya ongea na Rais Samia

    Habari wakuu, Napenda kumshauri mama yetu Samia Hassan, ikimpendeza anzishe tovuti maalumu ya kuweza kupokea malalamiko, maoni na ushauri kutoka kwa wananch wake. Hii itasaidia kubaini tatendaji wabovu,manyanyaso na uonevu katika jamii moja kwa moja, tovuti hiyo ikishakusanya maoni, awepo mtu...
  3. Sarius

    Tatizo la tovuti ya Uhamiaji limekua sugu, njia mbadala inahitajika haraka kuwasaidia wasafiri

    Habari wakuu, Kumekua na tatizo la kutopatikana website ya ETD tangu tarehe 15 mwezi wa 6, imepelekea kukwama kwa safari za watu kwenda nnchi za nje kwa wanaotumia hati za dharura hasa madereva na wajasiliamali. Tunaomba vyombo husika viangalie njia mbadala ya kuwapatia hati za safari raia ili...
  4. I am Groot

    Mara yako ya mwisho kutumia tovuti hizi ni lini, nini unakumbuka?

    Kwa wale wazee kidogo tutakumbuka kipindi hicho kuna tovuti tulizitumia sana mfano 👉Waptrick 👉Toxicwap 👉Redwap Na nyingine nyingi. Kitu gani ukikaa unakikumbuka?😂 Ipi ulipendelea zaidi kutembelea.
  5. babu M

    Marekani: Mitandao ya kijamii, tovuti za Serikali na vyombo vya habari zaathiriwa na kukatika kwa mtandao

    Multiple outages hit social media, government and news websites across the globe on Tuesday morning, with some reports pointing to a glitch at U.S.-based cloud computing services provider Fastly. Reuters could not immediately confirm the issue affecting the sites. Fastly said it was...
  6. The Palm Tree

    Tovuti ya Serikali ya 'Wananchi' hivi inafanya kazi kweli?

    Hii tovuti wananchi.go.tz inaendeshwa na iko chini ya Wizara ya habari, utamaduni na michezo. Lengo lake kubwa ni kwa kila mwananchi mwenye kero, malalamiko, maoni, ushauri, kutoa ripoti za uhalifu, rushwa nk kuandika kero au taarifa yake kwa maandishi na wao wizara wanaipokea na kisha...
  7. Sam Gidori

    Trump afungua jukwaa lake la mawasiliano

    Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ameanzisha tovuti yake ya mawasiliano kwa lengo la kuchapisha taarifa “moja kwa moja kutoka mezani kwake.” Trump, ambaye alifungiwa katika mitandao ya kijamii kwa kudaiwa kuchochea vurugu katika Jengo la Bunge la Marekani Januari 6 mwaka huu, anatumia...
  8. Cute_Emmy

    Zijue tovuti za kusoma Simulizi na Chombezo

    Zifuatazo ni tovuti bora ambazo zitakuwezesha kusoma tovuti bure au kwa gharama 1. Jamiiforums Tembelea tovuti ya Jamiiforums kisha nenda katika jukwaa la Sports & Entertainment halafu chagua jukwaa la Entertainment Katika jukwaa hili utaweza kusoma simulizi na chombezo mbalimbali bure...
  9. Analogia Malenga

    Myanmar: Tovuti za jeshi zadukuliwa

    Wadukuzi wa Myanmar wamedukua tovuti za serikali baada ya Internet kuzimwa kwa siku ya nne mfululizo. Tovuti zilizodukuliwa ni pamoja na Tovuti ya Jeshi ya Kufanyia Propaganda, wavuti ya kituo cha Matangazo cha Taifa, tovuti ya mamlaka ya bandari na ya mamlaka ya chakula na Dawa. Kundi...
  10. isajorsergio

    Tatizo la upakiaji maudhui Instagram katika tovuti kupitia kompyuta

    Nakumbana na tatizo wakati wa upakiaji maudhui (Picha/Video) Instagram kupitia kompyuta. Nimetumia mbinu mbalimbali kuweza kutatua na kila jitihada pasi ya mafanikio, nawaza yaweza kuwa tatizo toka Istagram moja kwa moja. Kuna yeyote amekumbana na tatizo hili, Ipo namna ya kulitatua?
  11. Badmantebwe

    Aina 3 za blog zinazofaa kuanzisha 2021 ili kuongeza kipato

    Blog ni nini? Blogu ni aina ya tovuti ambayo inatoa taarifa za kila siku za tasnia Fulani, machapisho katika bloghuwekwa mara kwa mara ili kutoa taarifa husika za kila siku. Taarifa hizi za kila siku zinaweza wekwa kwenye blog zinaweza zikawa habari, tetesi muziki na matukio. Mfano wa blogu...
  12. N

    Tovuti ya fiqhi ya ibadah yenye picha zilizochorwa

    Ni mradi unaohusiana na kuwepesisha mafunzo ya hukumu mbali mbali ya Uislamu kwa lugha mbali mbali, kwa lengo la kueneza Uislamu ulio sahihi kwa waislamu. Mradi huu unajumuisha kitabu chenye picha kuhusu hukumu mbali mbali za Uislamu, ndani ya kitabu hiki kuna milango mitano nazo ni: a) Twahara...
  13. C

    Lini Tovuti ya TIN ya TRA itafanya kazi?

    Kila nikijaribu kuingia kwenye tovuti ya TIN ya TRA napata error messages. Hii inakera sana tena sana! Cha ajabu, leo asubuhi kupitia Richard Kayombo, TRA wanajinadi kwenye EFM Radio eti kila kitu kuhusu TIN kimerahisishwa kupitia tovuti ya TRA? Lakini siyo kweli hata kidogo. Tovuti ya TIN...
  14. BIN BOR

    Tovuti ya CHADEMA bado inatangaza Lissu kuteuliwa kuwa mgombea

    Nimeambatanisha screenshot 2. Moja ni tovuti ya chadema na ya pili ni tovuti ya republicans wa Marekani. Japo siungi mkono GOP ninataka CHADEMA kuona aibu hii ya kuwa nyuma sana kutoa mrejesho kwa watu wenye mapenzi na chama.
  15. Kurzweil

    Akaunti ya Twitter ya Tovuti ya Waziri Mkuu wa India yadukuliwa

    Mtandao wa Twitter umethibitisha kudukuliwa kwa akaunti hiyo na kueleza kuwa wadukuzi wakuwa wakiwaomba wafuasi michango ya fedha kupitia sarafu za mtandaoni (cryptocurrency) Tukio hili linajiri ikiwa ni wiki kadhaa tangu akaunti za Twitter za watu mashuhuri zidukuliwe Uongozi wa Twitter...
  16. Travis Walker

    Matarsoft company inatoa huduma ya kutengeneza tovuti ama website kwa bei na fuu

    Habari, Matarsoft Company inatoa huduma ya kutengeza tovuti ya aina yoyote kwa bei rahisi. Bei yetu ni kuanzia laki moja na nusu (150,000 Tsh) Mambo yanayopatikana katika huduma zetu. 1. Designing 2. Hosting 3 Domain Name (.com and so on) 4. Seo optimazation 5. First visitors 6. Payments...
  17. n00b

    Kanuni mpya za Maudhui ya Mtandaoni: Wenye 'channel' na tovuti za dini nao kusajiliwa

    Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA), Namba 3 ya mwaka 2010 inamruhusu Waziri kuleta Kanuni za kusimamia maudhui ya mtandaoni. Waziri mwenye dhamana ya Mawasiliano amesitisha matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni Namba 133 ya mwaka 2018 zilizochapishwa mwaka mnamo Machi...
  18. Samedi Amba

    Natafuta tovuti ya bei ya vyakula Tanzania na Afrika Mashariki

    Habari za leo wanajamvi, Mimi mwenzenu natafuta tovuti inayotoa taarifa ya bei ya vyakula nchini Tanzania (hasa nafaka) na pia Afrika ya Mashariki na Kati. Msaada tafadhali. Nawatakia siku njema.
  19. T

    Tunatoa huduma ya kutengeneza website (tovuti) kwa bei nafuu

    Tunatoa huduma ya kutengeneza website (tovuti) kwa bei nafuu. Tunahudumia wateja mikoa yote na hata nje ya nchi. Malipo ya kutengeneza tovuti unalipa baada ya kazi kukamilika Tumenefanya kazi na wateja kutoka mikoa mingi ya Tanzania na nje ya nchi pia (Canada & Sweden). Bei > TZS 450,000...
  20. Barackachess

    Tuwafundishe watoto wetu kutembelea tovuti hizi ziwasaidie katika elimu

    Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA) ikitumika vizuri katika sekta ya elimu itasaidia kujenga mazingira mazuri na kuwezesha kuwepo kwa mbinu bora katika ufundishaji na ujifunzaji. Nimetembelea tovuti mbalimbali za elimu hapa TANZANIA, Nimeona mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu hasa...
Back
Top Bottom