Mussa Zungu, Mbunge wa Ilala amesema haya
Hoja kuhusu viwango vya tozo za miamala ziko juu ni kweli yaani Laki moja inatafutwa kwa mbinde halafu ada inakatwa mara tatu, ndio maana Rais Samia ametoa maagizo kwamba litizamwe wapi tulipokosea.
Hii kodi tumeiweka kwa ajili ya wenye uwezo, kati ya...