tozo za miamala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mitindo huru

    Athari tano za kiuchumi zinazoweza kutokea baada ya kuongezeka kwa tozo za miamala

    Hii leo, Julai 15 2021 gharama ya miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu nchini Tanzania imepanda baada ya serikali kupandisha tozo ya miamala hiyo. Sintofahamu kubwa inashuhudiwa hii leo kwa wananchi wa Tanzania ambao wengi wao ni watumiaji wakubwa wa huduma hiyo. Hali hii imepelekea...
  2. DENLSON

    Kodi ya Uzalendo: Tuna mengi ya kujadili kama taifa

    Leo tarehe 15 Julai 2021, Selikari isiyopenda kukusanya kodi ya dhulma kupitia wizara yake ya fedha imeanza rasmi kutekeleza makato ya kodi ya kizalendo inayokatwa moja kwa moja katika miamala ya kifedha ya mitandao ya simu. Sina tatizo na kodi hiyo ila tuna mengi ya kujadili kuhusiana na...
  3. live on

    Serikali imeamua kuua huduma za miamala ya simu

    Kutuma Tshs 300000 Ada ya mtandao Tshs 1500 Tozo za serikali Tshs 3500 JUMLA TSHS 5000 Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti Ada ya mtandao Tshs 2300 Tozo za serikali Tshs 3500 JUMLA TSHS 5800 Kutoa Tshs 300000 Ada ya mtandaoTshs 6500 Tozo za serikali Tshs 3500 JUMLA TSHS 10000 Ukweli ni Kwamba...
  4. Logikos

    SoC01 Kupata Kidogo kwenye Kingi ni bora kuliko kupata Kingi kwenye Kidogo

    Ni bora kupata 1% kutoka kwenye elfu moja kuliko kupata 50% kutoka kwenye 10 (hapo utaona kwenye 1% utapata 10 na kwenye percent 50% utapata 5. Serikali imeamua kuongeza mapato kupitia miamala ya simu; unless otherwise sababu ni kuziua hizi kampuni za simu ili ushindani urudi kwenye mabenki...
  5. fasiliteta

    Mwigulu, it's enough. You MUST resign!

    Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa Tozo ya Mafuta juu Tozo ya Fedha mitandaoni juu Tozo ya kiwanja kwa luku Makato ya kwenye vocha juu. Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha) Mnataka tuishije sasaa? Najiuliza inamaana...
  6. Miss Zomboko

    Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

    "Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?” "Mimi naunga mkono dira ya...
  7. Nanyaro Ephata

    Serikali ingefanya Utafiti ingegundua watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu na songesha

    Kodi ya SALIO Hapa serikali ilipaswa kufanya utafiti ingegundua kuwa watu wengi wanaweka salio kupitia nipige tafu,songesha, na nyingine za kukopa kupitia makampuni ya simu..yaani wananchi hawana uwezo wa kununua hata vocha hasa baada ya sekta binafsi kugandamizwa na awamu ya tano! Watu...
  8. chinchilla coat

    Zungu: Miamala ya M-Pesa kwa mwaka ni trilioni 50, wananchi tulipe kodi tuache kulia

    Mbunge wa Ilala Azzan Zungu ameunga mkono kodi ya makato kwenye mihamala ya simu na kusema serikali inapoteza mapato makubwa sana, amedai makampuni yana lobby kuwa wananchi wataumia kumbe watakoumia ni wao, amewataka wananchi kuacha kulalamikia kodi kwani serikali inategemea kodi kufanya...
  9. bulama

    Serikali yazidiwa nguvu kodi ya simu

    Dar es Salaam. Kuna kila dalili kwamba Serikali inajipanga kufuta kodi ya Sh1,000 kila mwezi kwa wamiliki wa laini za simu baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa wananchi, taasisi na baadhi ya kampuni za simu nchini. Hiyo inatokana na kauli ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na...
Back
Top Bottom