tozo za miamala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Ongezeko la tozo za miamala ya simu na bei ya mafuta ni uthibitisho wa ubutu wa Bunge

    Kulingana na 'statistics on mobile telecom services in africa- global market', m-pesa, tigo-pesa, na airtel money, jan- mar 2020 zilifanya miamala 93.8bilion sawa na miamala 375.2 bilioni kwa mwaka. Miamala ilihusisha kulipia bills, uhamishaju binafsi wa pesa, kutuma na kutoa pesa. Kwa tozo la...
  2. Analogia Malenga

    Mwigulu: Tozo za miamala zipo kisheria, Waziri hawezi kuzifuta

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba tozo za miamala na muda wa hewani zimepitishwa na bunge hivyo yeye kama waziri hawezi kuziondoa ila anaweza kuangalia kanuni kujua namna ya kurekebisha Amesema hayo alipohojiwa na BBC Swahili ambapo amesema kwa sasa wananchi wanatakiwa...
  3. pakaywatek

    Badala ya Bunge kuwa mtetezi wa wananchi, limekuwa mbunifu mkuu wa kunyonga Wananchi

    Alitoa hoja bwana Zungu kuwa wananchi wachangie serikali kupitia line za simu bila kujua kuwa tayari wanachangia kupitia kununua vocha na kutuma na kupokea pesa. Sasa zungu akatoa hoja nyingine ya wananchi kulipishwa mara mbili kwenye huduma moja, yaani pale unapotuma hau kutoa pesa kuna kodi...
  4. Lord OSAGYEFO

    Kama tumeshindwa kuinua uchumi kwa rasilimali zilizopo hatuwezi kuuinua kwa tozo

    Hakika Tanzania ni moja ya nchi zilizobarikiwa kuwa na RASILIMALI nyingi sana. Tanzania ina Maziwa Mito Mabawa Mbuga za Wanyama Mabonde Milima Ardhi Watu Pamoja na Vyote hivi Tanzania ni nchi huru kwa Miaka 60 sasa bado Tanzania ni nchi masikini. Tumewasikia viongozi wetu Wakijitatapa kuwa...
  5. MURUSI

    Historia ya wananchi kuvamia mabunge yanayopitisha sheria za ovyo

    Ukitaka orodha ya Mabunge yanayo pitisha sheria za hovyo basi Bunge la Tanzania hupaswi kuliacha kabisa. Pale Dodoma Bunge limegeuka kuwa taasisi ya kupitisha kula kinacho pangwa na Serikali, haijawahi tokea wakakipinga hata ile ya kinafiki. Kila kinachoplaniwa na Serikali lazima wakipitishe...
  6. nusuhela

    Tozo za miamala na Masoud Kipanya

    Hili suala la tozo limekua na mguso mkubwa sana kwa watumiaji wa miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu za mkononi. Ni vilio kila kona na nyuso zisizo na furaha. Kila mmoja analiongelea hili suala. Sio mtandaoni na wala sio uswahili kwetu. Kila mmoja analalamika na kunung'unika kivyake kwa...
  7. Abdul Nondo

    Sauti za Wananchi, Vyama Pinzani na Wanaharakati zasikika Tozo za miamala

    Sauti za wananchi zimesikika Binafsi ninapongeza maamuzi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati suala hili. Sioni haja ya watu kugeuka tena kusema mbona Rais huyo huyo alisaini sheria na sasa anatengua? Kwani malalamiko yetu dhidi ya hizi tozo yalikuwa na lengo gani? Lengo lake ilikuwa...
  8. Shujaa Mwendazake

    Ummy Mwalimu: Wizara ya TAMISEMI itanufaika na tozo za miamala ya simu

    Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo itanufaika na tozo za miamala ya simu kwa kujenga vyumba vya madarasa 10,000 na kukarabati shule kongwe za msingi 2,100. Ameeleza kuwa hadi sasa kuna uhaba wa madarasa 100,005 kwenye shule za msingi na sekondari nchini. My Take: Nakumbuka...
  9. Ngomamalick

    SoC01 Ushauri kwa Serikali kuhusu jinsi ya kukabiliana na tozo kubwa za miamala

    Ushauri wangu kwa Serikali kukabiliana na tozo la kodi kuwa kubwa na makato kwa wananchi na kutotegemea kwenye miamala ya fedha tu Serikali ingetazama namna ya kuwaokoa wananchi kwenye wimbi hili Ili pia kuongeza mapato na kuacha kutegemea sehemu moja kwenye ukusanyaji wa kodi Kwa kufanya...
  10. Miss Zomboko

    Mwigulu: Tumesikia malalamiko ya Watanzania kuhusu tozo za miamala na Rais ametoa maelekezo ya kuzitazama upya

    Mhe. Rais naye ameguswa na jambo hili, amesikia maoni ya Watanzania wote, ameshatoa maelekezo kwamba tuyafanyie kazi haya malalamiko ambayo wananchi wanayatoa." - Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba. Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, amesema jambo hilo tayari limefika...
  11. Lord OSAGYEFO

    Wananchi wanalalamika tozo, Mbunge badala ya kuwatetea anaipigia debe Serikali

    Nchi ya ajabu kupata Kutokea. Mbunge anachaguliwa na wananchi ili awawakilishe bungeni akawasemee mahitaji yao na kero zao. Mbunge kashiriki kupitisha sheria ya tozo ambayo ni kero kwa wananchi wake. Wananchi wanalalamika Mbunge anageuka wakala wa Serikali kuwataka wananchi wake wavumilie...
  12. CM 1774858

    Tozo za miamala zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025. Uzalendo zaidi unahitajika

    Tozo za miamala ya simu zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; Zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025, Uzalendo zaidi unahitajika kwani vizuri vinamaumivu, Tupige moyo konde, nikweli pesa hakuna,nikweli mzunguko wa pesa si mzuri sana ila tuwaache wenye pesa walisaidie...
  13. A

    Mdau: Mlitaka Rais afanye nini kuhusu tozo ya miamala ya simu?

    Katika awamu hii ya sita hakuna jambo ambalo linapaswa kupongezwa kama utulivu, hekima na maarifa aliyoyaonyesha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi hiki ambacho alipitia magumu kama Rais wa Nchi kwa kupambana na mtikisiko wa kiuchumi kutokana na janga la korona ambalo ni kwa Dunia nzima kila...
  14. wa stendi

    Je, kweli kuna laini ambazo hazikatwi tozo za miamala?

    Kufuatia ongezeko la kodi ya makato ya utumaji na utoaji pesa kwa njia mtandao masikia kuna laini ukienda kituo cha mtandao unaotumia unaenda na tin namba na leseni yaa biashara unapewa hiyo laini yenye namba ambayo ukitumia kutuma au kutoa pesa hukatwi chochote je! Ni kweli au mimi nimesikia...
  15. kidadari

    Baada ya makato ya simu sasa ni bei ya Mbolea

    Wakati wananchi wakipaza sauti kulalamikia tozo za miamala ya simu ambayo imeonekana kua mzigo na maumivu kwa wananchi sasa bei ya mbolea imeenda kupaa isivyo kawaida hivyo kuketa taharuki wa wakulima. Kilimo ndo uti wa Mgongo wa taifa ambapo zaidi ya 70% ya wananchi wanajishughulisha na...
  16. Sky Eclat

    Maisha yalivyokua kabla ya Miamala

    Miaka ile ilikua ni habari za mdomo tu, unafahamishwa wafanya biashara wenye huduma ya kutuma pesa. Wengi walikua Kariakoo. Walifanya huduma hii katika mikoa yenye biashara zao. Ukifika pale unatoa maelekezo ya ndugu yako aliye Arusha, jina lake na namba yake ya simu. Wanaandika katika...
  17. seedfarm

    Je, tozo za miamala ya simu ni matokeo ya wabunge wa CCM waliopelekwa Bungeni kinguvu?

    Tuna wabunge dhaifu na wengi wasiojielewa hawa wa CCM waliopita bila kupingwa na kulindwa na Mamlaka. Bungeni hawana uwezo wa kujenga hoja na wala hawana uelewa wa mambo ya Uchumi na Maendeleo. Tuna wabunge wapiga meza na makofi Bungeni, Hawaelewi ipi ni "a" ndogo na ipi ni "A" kubwa. Wabunge...
  18. Shujaa Mwendazake

    UVCCM Shinyanga: Rais Samia angalia upya suala la tozo za miamala ya simu kwa maslahi ya wananchi wa hali ya chini

    Baraza Kuu la UVCCM Mkoa wa Shinyanga chini ya Mwenyekiti Baraka Shemahonge limemtaka Rais Samia Suluhu kuliangalia upya suala la Tozo za Miamala ya Simu kwa manufaa ya wananchi wa hali ya Chini na Vijana wengi wasio na Ajira. Baraza limeonya kuwa Mzunguko wa Fedha utapungua
  19. Boligado

    Serikali ibadili tozo za miamala kuwa walau Tshs. 500 kwa muamala

    Tozo iwe tsh 500 kwa kila muamala itafikia lengo la makusanyo ya 1.254tr. (Bajeti ya serikali 2021/22) mapato yanayotegemewa kupatikana na tozo ya miamala.Kutegemea na idadi ya miamala iliyokuwa inafanyika kwa siku. ( Makampuni ya simu wanajua data hii) Inaelekea data ambazo makampuni walizotoa...
  20. J

    Tozo za Kizalendo zimeanza kuzoeleka, naona kafoleni hapa kwa mangi wa Tigopesa

    Kumbe kila jambo na wakati wake hapa Tegeta kwa mangi wa Tigopesa/ M pesa kuna kafoleni fulani watu wakidraw pesa kwa ajili ya shopping ya weekend. Kiukweli tusitishane kila mtu anapambana kivyake. Nawasalimu kwa jina la JMT!
Back
Top Bottom