tra

  1. comte

    TRA mfumo wenu wa e-filing hasa kwenye VAT unasumbua-rekebisheni

    TRA mmeweka mfumo mpya wa E filing ikiwemo VAT - unasumbua mrekebishe kama siyo njia ya kusumbua walipa kodi
  2. King_Villa

    Kwa mliobahatika kuitwa kazini TRA someni hili Tangazo na mlielewe

    Mliopata kazi TRA someni hilo Tangazo tena.
  3. Meneja Wa Makampuni

    Barua za kuomba ajira za TRA utumishi tunaandika kwa mkono au Microsoft Word?

    Marafiki naomba kuuliza. Hivi barua za kuomba ajira za TRA utumishi tunaandika kwa mkono au Microsoft Word?
  4. Wababa13

    Nina Diploma ya Community Development. Kwa course hii naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management Assistant ya TRA?

    Habari za muda huu kwa mara nyingine, nina cha NTA Level 6 course ya Maendeleo ya Jamii. Naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management assistant II?
  5. Hunteroflove

    Kuna ukweli hapa

    Kama mnavyo ona ndugu zetu waliopata ajira TRA hili tangazo ni la ukweli maana mwanzo walisema makao makuu TRA walioitwa kazini wanapaswa kufika leo Wanasema ITA Mikocheni na masharti km yote
  6. Mr_positive

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

    Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema. Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
  7. Jamii Opportunities

    Tax Management Assistant II at TRA (71 Posts)

    POST TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 71 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To process application for new taxpayers’...
  8. Jamii Opportunities

    Tax Management Officer II at TRA (184 Posts)

    POST TAX MANAGEMENT OFFICER II – 184 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To...
  9. Jamii Opportunities

    Customs Officer II at TRA (45 post)

    CUSTOMS OFFICER II - 45 POST at TRA POST CUSTOMS OFFICER II – 45 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION TRADES AND SERVICES EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION...
  10. Jamii Opportunities

    ICT Officer II (Developer/Programmer) at TRA (50 Posts)

    POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To assist in capturing user Customers Requirement Specifications; ii. To...
  11. Jamii Opportunities

    Customs Assistant II at TRA (80 Posts)

    POST CUSTOMS ASSISTANT II – 80 POSTS POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION, LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To examine goods; ii...
  12. Jamii Opportunities

    Driver II at TRA (45 Posts)

    POST DRIVER II – 45 POST POST CATEGORY(S) DRIVERS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES xi. To drive motor vehicles in accordance with road traffic Rules and Regulations; xii. To inspect motor...
  13. L

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

    Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf? ====== #HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati...
  14. Suzy Elias

    Aibu kwa TRA idara ya forodha Rusumo; Mhuri nyeti huachiwa nyoka (kijana)

    Mida ya usiku pale kwenye geti la kutokea Tanzania kuingia Rwanda maafisa wetu wa forodha huwa wanafanya uzembe unaohatarisha usalama wa taifa letu kwa wao kwenda majumbani ama nyakati zingine kwenda kuangalia mpira na pengine kwenda bar na mhuri huo hapo juu huachiwa vijana wa ving'amuzi...
  15. CONSULT

    Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!

    Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! ! Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD) Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki...
  16. polokwane

    TRA mnasubiri Rais Samia awaambie mbadilishe teknolojia ya kadi za vyombo vya moto kuwa 'smart card' ndio mstuke?

    Kuna vitu vinatia kunyaa Tanzania viongozi wapo maofisini hawana ubunifu na hawaendi na wakati wapo wapo tu Likadi likubwa la A4 kama karatasi ya mtihani wakati siku hizi nchi nyingi wanatumia smart card 💳 tu na inabeba taarifa zote za gari Au mnasubiri hadi mama aje awaambie ndio mshtuke...
  17. kyagata

    Hili lina ukweli kuhusu waliopata 49-45 written interview ya TRA?

    Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu kamjulisha kuwa kuna habari inaendelea huko utumishi kuwa kuna uwezekano wa watu walioscore kuanzia 49...
  18. S

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata VFD/API kutoka TRA

    Habari wakuu, Kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata VFD/API kutoka tra kwa ajili ya kutoa risiti naomba anijulishe kwa vile nimejaribu kuangalia kwenye tovuti yao sijaona utaratibu. 1.Vigezo vya kupata VFD 2.Documentation (ndio muhimu zaidi) Anayefahamu naomba nipate utaratibu.
  19. L

    Kubadilika kutoka “selected for oral interview” kuwa “shortlisted interview”

    Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi. Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha...
  20. Erythrocyte

    TRA na Halmashauri tambueni kwamba Ujenzi wa miundombinu unaochukua muda mrefu unaathiri Wafanyabiashara, mnadaije kodi maeneo hayo?

    Ninatambua kwamba ni wajibu wa mfanyabiashara yoyote kulipa kodi ili kuchangia pato la Taifa na hatimaye kuwezesha maendeleo, na ninaunga mkono jambo hilo. Lakini Kodi inapaswa kulipwa kutokana na kinachopatikana kwenye biashara husika na si vinginevyo. Lazima tukubali kwamba ujenzi wa...
Back
Top Bottom