Kama mnavyo ona ndugu zetu waliopata ajira TRA hili tangazo ni la ukweli maana mwanzo walisema makao makuu TRA walioitwa kazini wanapaswa kufika leo Wanasema ITA Mikocheni na masharti km yote
Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema.
Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi...
POST TAX MANAGEMENT ASSISTANT II – 71 POST
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To process application for new taxpayers’...
POST TAX MANAGEMENT OFFICER II – 184 POST
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To...
CUSTOMS OFFICER II - 45 POST at TRA
POST CUSTOMS OFFICER II – 45 POST
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION TRADES AND SERVICES
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION...
POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST
POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To assist in capturing user Customers Requirement Specifications;
ii. To...
POST CUSTOMS ASSISTANT II – 80 POSTS
POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING HR & ADMINISTRATION, LEGAL TAXATION AND SOCIAL PROTECTION
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To examine goods;
ii...
POST DRIVER II – 45 POST
POST CATEGORY(S) DRIVERS
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
xi. To drive motor vehicles in accordance with road traffic Rules and Regulations;
xii. To inspect motor...
Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?
======
#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati...
Mida ya usiku pale kwenye geti la kutokea Tanzania kuingia Rwanda maafisa wetu wa forodha huwa wanafanya uzembe unaohatarisha usalama wa taifa letu kwa wao kwenda majumbani ama nyakati zingine kwenda kuangalia mpira na pengine kwenda bar na mhuri huo hapo juu huachiwa vijana wa ving'amuzi...
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo
Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)
Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki...
Kuna vitu vinatia kunyaa Tanzania viongozi wapo maofisini hawana ubunifu na hawaendi na wakati wapo wapo tu
Likadi likubwa la A4 kama karatasi ya mtihani wakati siku hizi nchi nyingi wanatumia smart card 💳 tu na inabeba taarifa zote za gari
Au mnasubiri hadi mama aje awaambie ndio mshtuke...
Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu kamjulisha kuwa kuna habari inaendelea huko utumishi kuwa kuna uwezekano wa watu walioscore kuanzia 49...
Habari wakuu,
Kwa yeyote anayefahamu utaratibu wa kupata VFD/API kutoka tra kwa ajili ya kutoa risiti naomba anijulishe kwa vile nimejaribu kuangalia kwenye tovuti yao sijaona utaratibu.
1.Vigezo vya kupata VFD
2.Documentation (ndio muhimu zaidi)
Anayefahamu naomba nipate utaratibu.
Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha...
Ninatambua kwamba ni wajibu wa mfanyabiashara yoyote kulipa kodi ili kuchangia pato la Taifa na hatimaye kuwezesha maendeleo, na ninaunga mkono jambo hilo.
Lakini Kodi inapaswa kulipwa kutokana na kinachopatikana kwenye biashara husika na si vinginevyo.
Lazima tukubali kwamba ujenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.